Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
jamani me sijaelewa ni ktu gani hiyo mbaula ila maelezo yenu nimecheka bila kuelewa nacheka nini
Tupo wengi, khaaaa.
jamani me sijaelewa ni ktu gani hiyo mbaula ila maelezo yenu nimecheka bila kuelewa nacheka nini
Tupo wengi, khaaaa.
Nimecheka mpaka walio karibu yangu wananiona kama mwehu,kaka unataka kwenda kuingia na mlango bungeni,naomba siku hiyo utakayoenda urekodi tukio zima ili tumuone bi Kitoboto anavyotoka mkuku na joho lake....
Itakuwa vizuri kama utapata na tnt na iwe ya kutosha. Yaani unamalia kazi pale pale tuanze upya. Kama inawezekana asitoke hata mmoja na baada ya jengo kuteketea kabisa, mimi nitakwenda kumwaga chumvi.
ipo moja hapa bt matairi ni vipara kila ki2 kipya unastart na kuondoka bei mil 1:5 only
Tupo wengi, khaaaa.