Nahitaji kurudi nyumbani

Nahitaji kurudi nyumbani

Usiondoke best kweli mumeo amekosea hajakushirikisha mapema na hilo muonyeshe kama hujapenda siku nyingine asirudia alafu uwamuzi anaondoka nyumbani kwako kisa mgeni mpita njia sio fresh, fikiria endapo utaondoka.

1. binamu nyama ya hamu asije akukufanyia ufedhuri ndani ya nyumba yako, unajua mambo mengine wanawake tunayasababisha wenyewe kwakutokua wavumilivu kuondoka kwako unaweza msababishia mumeo upweke wa siku moja akatafuta babycare akikolezwa huko unadhani atakukumbuka tena.
 
Uondoke nyumbani kwako kwa sababu ya mtu?

Tena kwanza ulipaswa umseme mumeo kuwa next time muarifiane.

Pili unampa do and don'ts za nyumbani kwako mbele ya mumeo asijesema hajui

Baada ya siku 3 unampa majukumu yakr ya kufanya kila siku

Mwisho mwache asafishe macho


Ila chunga binamu nyama ya hamu....
 
Aione Asprin, chunga matesha na binamu zake.

Kuna ka kijana kanataka kuoa mtoto wa mamkubwa wake, kameshaapa hilo na kusema, we are not siblings, just cousins.

Uondoke nyumbani kwako kwa sababu ya mtu?

Tena kwanza ulipaswa umseme mumeo kuwa next time muarifiane.

Pili unampa do and don'ts za nyumbani kwako mbele ya mumeo asijesema hajui

Baada ya siku 3 unampa majukumu yakr ya kufanya kila siku

Mwisho mwache asafishe macho


Ila chunga binamu nyama ya hamu
....
 
Usiondoke,si kaja kusoma tu akimaliza shule anaondoka zake,mimi kwangu nina wifi yangu ninakaa nae tokea niolewe,yaani nimeolewa tu akaja,nina shemeji zangu 3,na nina mtoto wa shemeji yangu 1,mtoto wa mme wangu 1,na wanangu watatu.Wewe kuletewa huyo tu mmoja tena kuna sababu kabisa ambayo kaja kusoma tu,Binti tulia kwako huyo anapita tu.Kama mme hajakujulisha samehe tu,itakuwa yeye alichukulia easy tu

Khaaaa watu 10!!!
 
Hongera sana kwa Moyo Wako mwema,mini nlisomeshwa kwa staili hiyo ya kukaa kwa ndugu,yawezekana mlalamikaji Ana tabia ya kutopenda ndugu wa mumewe,that's why mumewe ameamua ku-dictate kumleta nduguye bola taarifa,nkifikiria kwa kina juu ya tabia za namna hii naahirisha hata kuoa,bora nkae single tu!!!

hahahahaaaa,,,,,, we unafikria kutokuoa, ukae single, huyu mankaa anafikiria kurudi kwao; sasa tofauti yako na yeye ni ipi? Ushasoma maoni hapa, jifunze namna ya kuishi na mke na ndugu, kaoe utengeneze tofauti. Cha!
 
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?

Achana nae huyo nenda kwa huyu..


Habar zenu hopE mko good,

okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali kidogo na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike

Mie hyo hadi nilipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprise sikuamini nilivutiwa sana na muonekano wake na yeye akafurahi sana kuniona .

Tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radhi kwa lolote he doesn't care!ananihitaji .

Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yoyote .

Nipeni msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa JF nimempenda tena sana.

Ili sio swala geni ni kawaida yako jikumbushie na hapa....

Naamin hamjambo na mnaendelea vzr na kutusaidia ushaur sisi wenye matatz ya hapa na pale.

ni miezi minne imepita toka nimchukuwe mdogo wangu (mtoto wa baba mdogo) kijijini baada ya yeye kufeli form four na kuzalisha mtoto nikaona nimchukue nije nae mjini kwenye biashara yetu angalau apate pesa za maziwa ya mtoto

basi tumeishi vizuri siku zote na juz ndiyo akaniaga anataka arudi nyumbani akamuone mwanae,nikamwambia hakuna tatizo jiandae nkamwandalia pesa za safari vzr bas akaondoka jana.
baada ya kuondoka mume wangu akaniweka kwa mazungumzo nanukuu( mdogo wako kanieleza mambo ya kusikitisha umekuwa na mazoea mabaya na wanaume pale kwenye biashara wengne wanakuja kila siku,wengne wanaenda china wanakuletea zawadi unanidhalilidha,umekuwa malaya kwa kuzoeana na wanaume lukuki pale kazini na maneno meng sana)

Ukweli n kuwa hayo aliyoeleza mengne ni kweli nimezoeana na hao watu ni wateja wetu wazuri lakn hakuna cha zaidi hata huyu mdogo wangu anaelewa ukweli kwani muda wote nipo nae kazini.
nimemweleza mama yangu hajaamini kashangaa sana yani.
nafikiria najiuliza au huyu mdogo wangu alitumwa na mama yake kuja kuniharibia ndoa au ni kipi nilichomkosea au kosa langu kumsaidia had sasa amekuwa nae mtu anaonekana?au. ni kipi bado sielewi

mpaka sasa mume wangu ana kinyongo,
Huyo mdogo wangu cjamuuliza kitu chochote
nafikiria nimwambie neno gani ajue jinsi amenikosea au ninyamaze?

nishaurini wapendwa nifanye nini?


 
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?

Vumilia ni moja ya mitihani ya ndoa!me nilivumilia sana kabla ya kumfukuza mama Mkwe wangu.
 
Tatizo threads zako huwa haziaminiki bi mkubwa...
MKuu watu nane umestuka mapema daaa kuna uongo hadi una kera.....

quote_icon.png
By Mankaa
Habar zenu hopE mko good,

okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali kidogo na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike

Mie hyo hadi nilipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprise sikuamini nilivutiwa sana na muonekano wake na yeye akafurahi sana kuniona .

Tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radhi kwa lolote he doesn't care!ananihitaji .

Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yoyote .

Nipeni msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa JF nimempenda tena sana
 
pole sana kwa hilo kaa na mwenzio myarekebishe yaishe unajua kufumba macho sio njia ya kuikwepa ngumi ya uso

Na pili akumbuke makabila mengine binamu kwenye yale mambo yetu ni ruksa so asije akaenda akarudi akakuta mke mwenzie kitmbo ndii
 
Aione Asprin, chunga matesha na binamu zake.

Kuna ka kijana kanataka kuoa mtoto wa mamkubwa wake, kameshaapa hilo na kusema, we are not siblings, just cousins.

Mke mwenza acha kabisa na "mabinamu" halafu mabinamu wakishaanza kutafunana hawaachi...
 
Kuna watu jf hawana adabu kabisa....
Wanatupindisha migongo watu wazima kutoa ushauri kumbe chai tupu.....
Heri kuhamia habari mchanganyiko...

MKuu watu nane umestuka mapema daaa kuna uongo hadi una kera.....

quote_icon.png
By Mankaa
Habar zenu hopE mko good,

okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali kidogo na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike

Mie hyo hadi nilipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprise sikuamini nilivutiwa sana na muonekano wake na yeye akafurahi sana kuniona .

Tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radhi kwa lolote he doesn't care!ananihitaji .

Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yoyote .

Nipeni msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa JF nimempenda tena sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom