Nahitaji kurudi nyumbani

Nahitaji kurudi nyumbani

ha ha ha ha uuuuuupsi ondoka wenzio tuhamie loo

acha utot kaa na mumeo muongeee

kumbuka baba ni kichwa cha familia kosa alofanya ni kukutokukushirikisha tu

Well said ICHANA. Love you so much, tatizo nafasi zimejaa.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?
Pole sana mpendwa manka,situation kama hiyo inaweza kukufanya ufikirie vitu vingi sana negative,sema nadhani ni busara sasa ukakaa na mwenza wako mzungumzie hili swala na umuulize maswali ambayo utapima majibu yake ili uweze kufanya maamuzi zaidi,usifanye uamuz ukiwa umepanic my dear!
 
Usiondoke,si kaja kusoma tu akimaliza shule anaondoka zake,mimi kwangu nina wifi yangu ninakaa nae tokea niolewe,yaani nimeolewa tu akaja,nina shemeji zangu 3,na nina mtoto wa shemeji yangu 1,mtoto wa mme wangu 1,na wanangu watatu.Wewe kuletewa huyo tu mmoja tena kuna sababu kabisa ambayo kaja kusoma tu,Binti tulia kwako huyo anapita tu.Kama mme hajakujulisha samehe tu,itakuwa yeye alichukulia easy tu

Hongera sana kwa Moyo Wako mwema,mini nlisomeshwa kwa staili hiyo ya kukaa kwa ndugu,yawezekana mlalamikaji Ana tabia ya kutopenda ndugu wa mumewe,that's why mumewe ameamua ku-dictate kumleta nduguye bola taarifa,nkifikiria kwa kina juu ya tabia za namna hii naahirisha hata kuoa,bora nkae single tu!!!
 
manka labda nkukumbushe tu kwamba ndoa inajengwa na wanandoa kwa hivyo ukiacha nyumba yako hata kwa masaa achilia mbali wiki tayari ni kumvunjia mume wako heshima, kwa hivo nikushauri tu ya kua kabla hujachukua maamuz jaribu kumshirikisha Mungu ili uwe mvumilivu na mwenye hekima katika maamuzi yako.Mungu akubariki
 
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?

Kwani akikaa huko kwak akalipiwa ada chuo hakisomeki? Watanzania tumezidi looh. Seriously, kumsaidia mtj si kazima umlete nyjmbani kwako msaidie huko alipo ndo maana nyumba zetu zinakuwa na watu 12 au zaidi na kati ya hao wanaostahili kuwepo ndani yake ni 4 tu, baba mama na watoto 2 tu, wengine mara shangazi, binamu, jirani kule kwetu mgombani mara sijui mtoto wa nje wa ba mdogo wakati mwingine undugu wa kuvuta na kamba yaani kujipa mizigo tusiyostahili. Sikatai kusaidiana lakini ii kuepuka gharama na mizigo inayoepukika pamoja na migogoro majumbani basi ni vyema misaada ikatolewa wakiwa huko huko majumbani mwao. Hata heshima inakuwepo
 
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?
Jamani familia zina mambo sana!
1. Unaonekana mbaguzi, sema binamu yako na sio wa mumeo!
2. Unamaanisha ulipokulia kila kilichaopangwa na wazee uliambiwa hadi ujihakikishie hilo?
3. Hizo gharama, sijui 3000/=, umeambiwa ni juu yako wewe
4. Unaonekana kumzidi kipato mumeo
5. Unaonekana uko na mmeo na hamjajaaliwa kupata mtoto hapo nyumbani kiasi kwamba ukitaka kuondoka ni wewe na handbag yako tu ikiwa na vi'lipstick basi.
Nakubaliana na wewe kuwa kushirikishana ni muhimu sana ila hii sio sababu ya kukurudisha nyumbani, tafadhari kaeni mzungumze kwani ni tatizo dogo la sivyo utakuza mambo.
 
mmh!kwani ww unahofu nn hadi uondoke?hiyo ndio ndoa ndugu sio magorofa na kero kama hizo za kujiamulia mambo bila kushirikishana ukikutana nazo unazikabili.Lakini si kwa kusepa home,kwanza ukiondoka kisha ukirudi mnaanzia pale mlipoishia(alipokuja binam) Sema nae
 
Usiondoke,si kaja kusoma tu akimaliza shule anaondoka zake,mimi kwangu nina wifi yangu ninakaa nae tokea niolewe,yaani nimeolewa tu akaja,nina shemeji zangu 3,na nina mtoto wa shemeji yangu 1,mtoto wa mme wangu 1,na wanangu watatu.Wewe kuletewa huyo tu mmoja tena kuna sababu kabisa ambayo kaja kusoma tu,Binti tulia kwako huyo anapita tu.Kama mme hajakujulisha samehe tu,itakuwa yeye alichukulia easy tu

Hii kiboko, hivi vitu ni vigumu mno kumbe. Maisha kama hayo nathubutu kusema ni magumu. Hivj kuna ubaya gani tukiwapa ndugu zetu misaada huko walipo? Aaaagh
 
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?

kama ww unazira wenzio wala.... Jifunze kwa comment za wanawake wenzako waliochangia humu. Wenzio wameona tatizo dogo kwahyo kama ww unaona huo ni mzigo basi nenda mama wakubadili sasa hvi.
Halafu unaonekana mbinafsi ww unakimbia nyumba kisa ndg kaja! Huuuu yesu wangu
 
Hii kiboko, hivi vitu ni vigumu mno kumbe. Maisha kama hayo nathubutu kusema ni magumu. Hivj kuna ubaya gani tukiwapa ndugu zetu misaada huko walipo? Aaaagh
Huko kwao itakuwa hakuna chuo,ndo maana kaenda kwa binamuye.
 
ha ha ha ha uuuuuupsi ondoka wenzio tuhamie loo

acha utot kaa na mumeo muongeee

kumbuka baba ni kichwa cha familia kosa alofanya ni kukutokukushirikisha tu

ICHANA nmekupenda bure tena nafasi bado ipo.
Nilikumis sana japo nilikuwa nakuonea dirishan tu
 
Last edited by a moderator:
utakuwa na mchepuko umekuita some where wewe huwezi kuwa na maamuzi ya matope kama haya
 
Weeee!!!! acha ujinga uondoke kwenda wapi? Utoto huo!!! kweli amefanya kosa kwa kutokujulisha mapema ujio wake, wekeni mambo sawa, mseme atambue kosa lake, halafu mambo mengine yaendelee kama kawaida na usimnyime akirudi
 
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,

Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.

Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo binti kuja tatizo kwa nini hakunijulisha kama walishapanga amlete hapo nyumbani.

Nilichofikiria mimi naondoka niende nyumbani kwetu kidogo nirudi baada ya wiki moja coz haya mambo hata katika familia nilivyokulia baba hawezi fanya kitu kama hicho bila kumjulisha mama.

Hapa nipo sahihi wapendwa?

Kama mna uwezo mtafutieni hosteli itamsaidia kupata muda mzuri pia wa kusoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom