Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Mimi msukuma hii ya kuishi na watu wengi home ni kawaida tu,tunakuwa nayo.Kwa hiyo mimi nilipokuwa na kwangu wala hainisumbui kuwa na extended family
Kwahyo ni kama utamaduni?
Mimi msukuma hii ya kuishi na watu wengi home ni kawaida tu,tunakuwa nayo.Kwa hiyo mimi nilipokuwa na kwangu wala hainisumbui kuwa na extended family
hahahaha yaaani huwa nacheeeeeeka unavowaumbua wadauz?Teh teh teh!!!
Asubuhi kuwa natumia RAM kama brekifasti...
Mkuu nadhani haukunielewa vizuri,ni kwamba kuna baadhi ya wanawake hawapendi kabisa kusikia kitu kinaitwa ndugu,yaani wao wanataka mkae wenyewe tu,kitu ambacho kwa nature ya maisha yetu ni ngumu sana,ni lazima tufike mahali tuyajue na kuyakubali maisha yetu,tatizo watu wamekuwa wabinafsi sana!!!
kumbe wewe wifi yangu,ndo zetu hizo,japokuwa mimi sijaolewa na msukuma,tena wakati mwingine huwa natamani waongezeke.
.
Gharama za ada wanadai watalipa wao ila mwngne kama nauli hadi chuo ni 3000per day hujaweka chakula na mengne na sijajipanga nimeshtukizwa nashindwa nifanyaje[/QUOT
Mfukuze usijali binadamu watasemaje mjini mipango
Wachagga kwa roho mbaya mmezidi,..mgeni kafika asubuhi umejiandaa kwenda kazini umeona ugombe kwanza kwanini mgen kaja bila kujali utachelewa kazini....huyu mume wako ni lazima atakua ni kabila tofauti na wewe na anajua una roho mbaya ndio maana kaona asikuambie,....nampa big_up huyo jamaa....you just go back to your parent..and never come back.
Tatizo threads zako huwa haziaminiki bi mkubwa...
. Mwaka uliofuata (2013) akawa kwenye ndoa iliyodumu kwa miaka 7.Kwani akikaa huko kwak akalipiwa ada chuo hakisomeki? Watanzania tumezidi looh. Seriously, kumsaidia mtj si kazima umlete nyjmbani kwako msaidie huko alipo ndo maana nyumba zetu zinakuwa na watu 12 au zaidi na kati ya hao wanaostahili kuwepo ndani yake ni 4 tu, baba mama na watoto 2 tu, wengine mara shangazi, binamu, jirani kule kwetu mgombani mara sijui mtoto wa nje wa ba mdogo wakati mwingine undugu wa kuvuta na kamba yaani kujipa mizigo tusiyostahili. Sikatai kusaidiana lakini ii kuepuka gharama na mizigo inayoepukika pamoja na migogoro majumbani basi ni vyema misaada ikatolewa wakiwa huko huko majumbani mwao. Hata heshima inakuwepo
Comment yako imenifanya nimfukunyue nijiridhishe na unachokisema. Look what I have found.
Mwaka 2012 alikuwa na miaka 23 akiwa chuo second year na mtoto mmoja, hana ndoa kwasababu kila mwanaume anayetangaza ndoa yeyr anamuacha. Mwaka uliofuata (2013) akawa kwenye ndoa iliyodumu kwa miaka 7.