....bora uende tuu....nshakuchoka kwanza....
hhahaha we ndo huyo mume
Yawezekana JF ni kichaka atiiiiii.......Hahahah
Well said ICHANA. Love you so much, tatizo nafasi zimejaa.
Aisee....hongera sanaUsiondoke,si kaja kusoma tu akimaliza shule anaondoka zake,mimi kwangu nina wifi yangu ninakaa nae tokea niolewe,yaani nimeolewa tu akaja,nina shemeji zangu 3,na nina mtoto wa shemeji yangu 1,mtoto wa mme wangu 1,na wanangu watatu.Wewe kuletewa huyo tu mmoja tena kuna sababu kabisa ambayo kaja kusoma tu,Binti tulia kwako huyo anapita tu.Kama mme hajakujulisha samehe tu,itakuwa yeye alichukulia easy tu
kama ww unazira wenzio wala.... Jifunze kwa comment za wanawake wenzako waliochangia humu. Wenzio wameona tatizo dogo kwahyo kama ww unaona huo ni mzigo basi nenda mama wakubadili sasa hvi.
Halafu unaonekana mbinafsi ww unakimbia nyumba kisa ndg kaja! Huuuu yesu wangu
Wifi yangu ndo msumbufu ana 28yrs,lakini huwa nampa makavu,pia namuombea tu aolewe nae aende kwake,ki ukweli huwa sisumbui kichwa changu kuhusu wao as ninajua ni wapitaji tuAisee....hongera sana
Unawezaje kuishi nao wote? Je hawakusumbui?
kumbe ni mama wa drama?
Safi sana! Mimi nasema ndugu wote wawe wa mume au mke ni vyema wasaidiwe huko waliko kwanza watakuheshimu
Unalosema ni kweli aisee ingawa wataponda kusaidiwa huko.waliko ndo vizuri kuliko kuleta usumbufu tena wengine wanakuja dada mtu shemeji shangazi binamu cjui nani wanakuja kwako maisha yenyewe siku hizi magumu msaada wapewe huko waliko
Usiondoke,si kaja kusoma tu akimaliza shule anaondoka zake,mimi kwangu nina wifi yangu ninakaa nae tokea niolewe,yaani nimeolewa tu akaja,nina shemeji zangu 3,na nina mtoto wa shemeji yangu 1,mtoto wa mme wangu 1,na wanangu watatu.Wewe kuletewa huyo tu mmoja tena kuna sababu kabisa ambayo kaja kusoma tu,Binti tulia kwako huyo anapita tu.Kama mme hajakujulisha samehe tu,itakuwa yeye alichukulia easy tu
Hakika wewe ndiyo mkeUsiondoke,si kaja kusoma tu akimaliza shule anaondoka zake,mimi kwangu nina wifi yangu ninakaa nae tokea niolewe,yaani nimeolewa tu akaja,nina shemeji zangu 3,na nina mtoto wa shemeji yangu 1,mtoto wa mme wangu 1,na wanangu watatu.Wewe kuletewa huyo tu mmoja tena kuna sababu kabisa ambayo kaja kusoma tu,Binti tulia kwako huyo anapita tu.Kama mme hajakujulisha samehe tu,itakuwa yeye alichukulia easy tu