Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,817
- 7,344
Hii siku hizi inanizingua, haiconnect!Maisha yapo less sana.
km watak free internet tumia ha tunnel vpn View attachment 1875967
Hii siku hizi inanizingua, haiconnect!Maisha yapo less sana.
km watak free internet tumia ha tunnel vpn View attachment 1875967
Kimya mkuuKuna kampuni moja naweza kukupa link nayo.
Unlimited shusha unavoweza mpaka uchoke
Hizo gb 6 ndogo sanaNjoo nikuunge gb 72 kwa mwaka KILA mwezi gb 6 unapewa nipo seriously na hill
Niunge na mimi mkuuNjoo nikuunge gb 72 kwa mwaka KILA mwezi gb 6 unapewa nipo seriously na hill
Nielekezeni na mimi nahitajiZinafanana zote na zote zinafanya Kazi.Tumia yeyeto sahau kununua bando
Mbona bado inacost wewe unatumia ipi hapo?Hili ndio suluhisho la matatizo. Hili kwakweli limekua msaada wangu. Ni tigo post paid mega bundles View attachment 1877120
Wewe ni hujui kitu unaongea...kazi kumeza theoryUjui kitu kaa kimya
Naomba uniunge mkuuNjoo nikuunge gb 72 kwa mwaka KILA mwezi gb 6 unapewa nipo seriously na hill
Upo sawa ila uili uweze kufanikiwa kuhack inabidi uwe na vifaa expensive sana,siyo viwembe na simaku,hizo ni sarakasi za kwenye YouTube zinazowawezesha hao wanao upload huo upuuzi,waweze kigain viewership.Technology ni unlimited,kama watu wanaweza hack, kuchezea system ,nk nini wanashindwa?. Elimu ni pana huwa atujifungii kimazoea.
Eti leo watu wanahoji chanjo ya corona tafiti zake hazijachukua miaka kila siku sayansi inakimbia.Miti ilikuwa unasubiri miaka 15 hadi 20 ndipo uvune,siku hizi miaka 7 tu unavuna sababu ya technology imeleta dawa ya kufupisha time.
sio sawa na hiyo, yenyewe inakua ni lain special tu kwa matumizi ya internet tofauti na hizo unazozifahamu.Lain za kawaida bando lake ndani ya nusu saa limekata lakini hiyo ni 4G na bando liko vile vile mwezi mzimaHii mbona ipo hata kwenye line za kawaida?!
Nataka hiyo ya kuunga na KijiKo
tuna coverage kubwa hapa dar es salaam,kisarawe,mbeya na arusha na inawezekana kufunga na kupata internet unlimited na ndo habari ya mjini sasa hivi,Dar kuna maeneo ndio yana hizo huduma kama vile Masaki, Oysterbay, Upanga, Posta, Kinondoni thats why nikamuuliza anaishi wapi?
mhh soma kwa umakini sana janjajanja zipo nyingmimi pia ninakerwa na mwenendo wa vifurushi, sema hii huduma ya unlimited ndo huwa sielewi. naiona kwenye orodha ya vifurushi vya mtandao wa smile lakini sijahoji inakuwaje hiyo. msaada tafadhali
Habari za jioni.
Nna uhitaji wa huduma ya kupata internet unlimited ambayo ntakuwa nalipia gharama fixed kwa mwezi.
Nimechoshwa na vifurushi vya mitandao yetu
Tapeli kaziniNjoo nikuunge gb 72 kwa mwaka KILA mwezi gb 6 unapewa nipo seriously na hill
Kwa arusha mnapatikana wapi?tuna coverage kubwa hapa dar es salaam,kisarawe,mbeya na arusha na inawezekana kufunga na kupata internet unlimited na ndo habari ya mjini sasa hivi,
kama upo willing wasiliana nami kupitia
0713254553
Kapscom africa limited
kabisaaaTapeli kazini