mkuu nenda vodashop iliyokaribu nawe wakupe lain ambayo ni unlimited kwa ajili ya internet tu,bando zake zina vary kutoka 50GB/50K,100GB/80K n.k kwa mwezi achana na hiyo miserereko unayofundishwa huko mwisho wa siku utakuja ukamatwe ufunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.speed yake inakaribia 5G sasa sio 4G ya kawaida.