PINGU ndio nzuri sana kwa mrembo kama weweSijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
Aseee hebu tafuta grants utazima fasta!
hataweza kumeza Grants ww!
kuna mtu kaniambia
Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
anza na redds,mbili za baridi ila uzinywe taratibu kama hutaki au kama umeshiba
kisha malizia na wine, red sweet wine pia iwe ya baridi au weka ice cubes. U can use dompo au altar, hope u'll enjoy. This is according to me usianze na vinywaji vikali hivi vitakupa raha flani ya utamu wakati unakunywa hasa kama hujazoea ladha ya uchungu ya pombe. Ila andaa supu ya nyama au samaki asubuhi.
Wine waweza kunywa nusu chupa au glass 3 tuu za wine baada ya hapo utakuwa byee au waweza hata usizimalize.
Usiache kutupa feedback, have a nice time na enjoy!!!!
PINGU ndio nzuri sana kwa mrembo kama wewe
Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
Ndivyo alivyokwambia? Amesema anataka kuzima so hata akipiga toti1 atasoma no!
from experience Grants ngumu ww. . . .basi achanganye na Amarula.
kwani uking'atwa na nyoka kwenye kojoleo unafunga wapi?aaahhh Bujibuji acha kumchuza atafunga wapi zile kamba wakati kavaa kimini mtoko wa week end