Nahitaji kubadilisha fani ya uwalimu

Nahitaji kubadilisha fani ya uwalimu

Kwa hiyo kufanyiwa recategorisation kwa diploma yako japo ulishaajriwa kwa bachelor haiwezekani?
Inawezakana Ila utatakiwa kushushwa daraja.
Bachelor huanza na mashahara TGS D au E na diploma ni TGS C.

Kwahiyo huyo mwalimu mwenye bachelor akiwasilisha diploma itabidi akubali kushushwa daraja.

Vinginevyo apeleke bachelor ili mshahara Ubaki uleule au upande.

Na mishahara ya Idara kwa Idara kwa wenye elimu moja hutofautiana kidogo sanaa.

#YNWA
 
Inawezakana Ila utatakiwa kushushwa daraja.
Bachelor huanza na mashahara TGS D au E na diploma ni TGS C.

Kwahiyo huyo mwalimu mwenye bachelor akiwasilisha diploma itabidi akubali kushushwa daraja.

Vinginevyo apeleke bachelor ili mshahara Ubaki uleule au upande.

Na mishahara ya Idara kwa Idara kwa wenye elimu moja hutofautiana kidogo sanaa.

#YNWA
Ok, shukran sana.

Nadhani haitakuwa na athari kubwa sana, kwa mwalimu mwenye bachelor huanza na daraja D, na mwenye diploma za Engineering au Science kama CS, IT huanza na daraja D pia kwenye halmashauri.
 
Serikali haiajiri masters.
Masters ni added advantage.
Mfano niliajiriwa na diploma, nikaomba ruhusa ya kwenda masomoni.
Huko masomoni nikachukua bachelor na masters.

Nimesoma bachelor tofauti na diploma yangu hivyo nimefanyiwa recategorization.

Nimehamishwa idara (kwasababu ya bachelor) ila nimekuwa mkuu wa Idara kwasababu ya masters.

Then iliyonipeleka kwenye hiyo Idara ni bachelor na ndio iliyonifanya nifanyiwe recategorization.

Mind you, kwenye utumishi wa umma Kuna categorization na recategorization, ni vitu viwili tofauti.

Pia hapo juu nimetoa mfano wa walimu walioajiriwa na bachelor ila kwasasa wanasaka post nyengine kwenye Idara nyengine.
Zisome utaelewa.

#YNWA
Kwa heshima yako mkuu naomba unitoe matongotongo mimi pamoja na kwa msaada wa wengine. Unapozungumzia recategorization na categorization unakuwa una maanisha nini? Yana maana gani nzito haya maneno maana ni kama yametawala mada na mimi binafsi nimeshindwa kabisa kuyaelewa
 
Mfano mm nimeajiriwa kwenye halmashauri x kwa level ya diploma lakini diploma yenyewe haiendani hata na kazi ninayoifanya kwa sasa Bado cjasibitishwa kazini ila Nina degree pia ya fani hiyohiyo je mnanishaurije nirudi nipambane na ajira portal kwa level ya degree au nitafute taasisi ya kuhamia kwa level ya degree. Ushauri wenu tafadhali kama hiyo inawezeka au haiwekani lakini.
 
Mfano mm nimeajiriwa kwenye halmashauri x kwa level ya diploma lakini diploma yenyewe haiendani hata na kazi ninayoifanya kwa sasa Bado cjasibitishwa kazini ila Nina degree pia ya fani hiyohiyo je mnanishaurije nirudi nipambane na ajira portal kwa level ya degree au nitafute taasisi ya kuhamia kwa level ya degree. Ushauri wenu tafadhali kama hiyo inawezeka au haiwekani lakini.
Sijakuelewa..
Umeajiriwa halafu ufanyi Kazi kulingana na vyeti vyako..
Sasa hiyo ajira umeipataje?
Kwamba uliajiriwa na certificate au ....?

Na degree pia SIJAELEWA.

Hebu Weka info vizuri...

#YNWA
 
Kwa heshima yako mkuu naomba unitoe matongotongo mimi pamoja na kwa msaada wa wengine. Unapozungumzia recategorization na categorization unakuwa una maanisha nini? Yana maana gani nzito haya maneno maana ni kama yametawala mada na mimi binafsi nimeshindwa kabisa kuyaelewa
Wewe ni mtumishi wa Umma?

1. Umeajiriwa na Diploma ya ualimu, ukaenda kusoma bachelor ya ualimu.
Ukirudi unatakiwa kupandishwa daraja kutokana na bachelor yako.
Huyu anafanyiwa CATEGORIZATION

2. Umeajiriwa mwalimu, ukaenda kusoma Uhasibu.
Aidha ulikua na Diploma ya ualimu ukaenda kusoma Bachelor ya uhasibu au ulikua na bachelor ya ualimu ukaona bora ukasomee Bachelor ya uhasibu.
Huyu atatakiwa kubadilishwa muundo, atafanyiwa RECATEGORIZATION.
Sasa iko hivi...
RECATEGORIZATION ina mambo mengii, unaweza kupanda daraja au ukabaki hapohapo.

#YNWA
 
Wewe ni mtumishi wa Umma?

1. Umeajiriwa na Diploma ya ualimu, ukaenda kusoma bachelor ya ualimu.
Ukirudi unatakiwa kupandishwa daraja kutokana na bachelor yako.
Huyu anafanyiwa CATEGORIZATION

2. Umeajiriwa mwalimu, ukaenda kusoma Uhasibu.
Aidha ulikua na Diploma ya ualimu ukaenda kusoma Bachelor ya uhasibu au ulikua na bachelor ya ualimu ukaona bora ukasomee Bachelor ya uhasibu.
Huyu atatakiwa kubadilishwa muundo, atafanyiwa RECATEGORIZATION.
Sasa iko hivi...
RECATEGORIZATION ina mambo mengii, unaweza kupanda daraja au ukabaki hapohapo.

#YNWA
Thank you
 
Sikia huu USHUHUDA labda UTAWEZA kukusaidia..

Niliajiriwa Idara x katika halmashauri z, nilikua na diploma.

Ila kiukweli Mimi nilipenda sanaa fani y.

Baada ya miaka 2 nika apply chuo course y na kuomba ruhusa ya masomo.

Nikaenda kusoma masomo ya fani y.

Nikaunga na masters kabisaa ya fani y.

Nilivyorudi kutoka masomoni nikahamishiwa bomani kutoka kijijini nilipokuwa naitumikia fani x, nikawa mfanyakazi wa Idara y bomani.

Nikakuta mkuu wa Idara y amepata shavu la kwenda kusoma phD ulaya, hivyo nikawa na kaimu huku jamaa ananifundisha kazi.

Nasubiri mwezi wa 7 kufanyiwa RECATEGORIZATION ili niwe mkuu wa Idara kamili wa y.

Then na wewe.....

Nenda chuo kasome bachelor ya IT then maliza.
peleka Cheti kwa utumishi wako subiri RECATEGORIZATION.

Huku unasubiri kubadilishiwa muundo.

Ukimaliza unaweza kuwa unatafuta Kazi kwengine kupitia ajira.go.tz au wizara ya utumishi huwa wanapost nafasi kibao za kufanyia Kazi UN na AU na kwengine huko (int. Org) kwa watumishi wa umma..

Chukua hatua....

Mimi nilichukua hatua, sikutaka ndoto zangu zife.

Sikuipenda Kazi x, umasikini wa nyumbani ulinifanya nikaisomee na kuajiriwa serikalini ili tu nitoke kwenye mikono ya kulelewa na ndugu.

Sikuacha ndoto zangu za kuwa y KUFA.


#YNWA
Umeniinspire sana kaka ...tunahitaji watu wengi Kama nyinyi katika jamii yeti!!
 
mkuu pole sana na changamoto yako

Piaa pole na changamoto za sisi wakosoaji kwenye uzi wako. watu wamekosoa kwa sababu unainekana hujui unachotaka au kama unakijua umeshindwa kukielezea


Any way............


Elimu ambayo inakutambukisha kifani ni Degree. Hii ni muhimu sana.
Usijiangaishe na mambo ya post graduate hasa kama degree yako ya kwanza ni ya ualimu.

Fanya hivi, Soma Diploma potential ya kile unachokitaka, au kama una nguvu soma degree upya kabisa ndio uamze kutafuta ajira upya au kufanyiwa Recategorization

Pia kama hutojali, Jifunze fani ya udereva na uwe compitent uwe VIP driver halafu anza kuvizia nafasi za udereva kwenye Taasisi/ Mashirika ya umma. Huko kuna madereva wana hela hata maofisa wako hapo shuleni au wilayani hawatii mguu.

Kufanya icho nilicho kueleza haizidi mwaka mmoja kama utakuwa flexible.
Hii pia nzuri
 
Kusoma Masters tofauti na degree ni kupoteza muda.

Kuruhusiwa unaweza kabisa.

Ngoja Nikupe mifano miwili ya watu niwajuao.

1. Huyu Alisoma BAED with IT, kwahiyo aliajiriwa kama mwalimu Ila alipambana akahamishiwa bomani kuwa IT.
Akiwa bomani amesoma Dip ya IT na na mwaka huu ameomba ruhusa akasoma Bach. Ya IT.
Na taarifa chini ya kapeti ni kwamba barua yake imetoka, unasubiriwa muda muafaka wapewe barua zao waliomba. Na jina lake lipo..!!

2. Huyu Alisoma BAED, alipambana akaingia bomani, Ila yeye ndoto zake ni kuwa Muhasibu.
Hivi navyoandika hapa kamaliza semester ya kwanza open ya Accounts.

Kusoma masters tofauti na bachelor yako sio ushauri mzuri.

Hata waziri mkuu (Majaliwa) alishawahi kulisema hili.
Na alishauri watumishi wasome masters za bachelor zao.

Simshauri kabisaa asome masters isiyo ya bachelor yake Wala diploma.

Chakusoma ni hiyo Bach ya IT.
Na si lazima aende full time (huenda ana michongo yake, then akienda chuo itafeli), asome tu open.

Maana changamoto ya kwenda chuo mtumishi wa Umma, kama unategemea posho kutoka ofisini ina maana utazikosa zotee.

#YNWA
Aje open namkaribisha
 
Mkuu mishahara ya ualimu siyo midogo kama unavyodhani. Kuna watu wana mishahara midogo sema tu siyo watu wa kulalamika.

Hivi unajua nurses wa diploma anayeanza kazi hafikishi Laki 5 kwa mwezi?

Wafanyakazi wenye mishahara mikubwa ni wale wanaofanya kazi kwenye mashirika maana huko mishahara yao hupangwa na bodi. Lakini wote wanaotegemea kima cha chini haku a tofauti kubwa ya ajabu.

Na kupata kazi huko kwenye mashirika siyo rahisi.

Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba Ualimu hauna marupurupu+tips. Lakini Walimu wana muda mwingi sana.
Nikweli mkuu,mfano ni Hawa watendaji wa vijiji wenye diploma,Hawa huanza TGTs B Wakati mwalimu wa diploma anaanza TGTs C ,Wakati huo huo kwa watendaji wa Kijiji wenye certificate wanaanza na faraja A ilikhali mwalimu wa certificate anaanza na faraja B.

Ni ukweli usiopingika kuwa teachers are well paid compared to other sectors.,tatizo ni kuwa walimu hawana marupurupu ,mfano mtendaji wa kijiji mwenye daraja B na mwalimu mwenye daraja D wanaweza lingaana ,hii ni kutokana na vijipesa vidovidogo anavyovipata mtendaji wa Kijiji
 
Serikalini hawaajiri Postgraduate.
Postgraduate ni added advantage.

Nenda kasome bachelor ya hicho upendacho, then unaajiriwa upya/kubadilisha muundo/recategorization.

Mimi nibadilishiwa muundo kwasababu ya bachelor na hii masters ndio imenipa hiyo nafasi ya ukuu wa Idara.

Wewe unatakiwa kusoma bachelor mpyaa.

#YNWA
Mkuu usiwe unajibu kitu usichokijua,post graduate wanaajiliwa Sana serikalini,Nina watu watano wa karibu wameajiliwa wakiwa na sifa kama hiyo,hapa kituo ninapojipatia riziki Kuna watu watatu Wana degree za mazingira na Sheria lakini wameajiliwa kwa fani ya ualimu
 
Mkuu usiwe unajibu kitu usichokijua,post graduate wanaajiliwa Sana serikalini,Nina watu watano wa karibu wameajiliwa wakiwa na sifa kama hiyo,hapa kituo ninapojipatia riziki Kuna watu watatu Wana degree za mazingira na Sheria lakini wameajiliwa kwa fani ya ualimu
Babu umeelewa nilichoandika?
Hebu soma post zotee nilizoandika.
By the way mi ni mwajiriwa serikalini tokea 2013.
Na kwasasa nina masters.
Soma kwanza comment zangu zotee ndio uje useme "Sijui nilichoandika"

#YNWA
 
Mkuu usiwe unajibu kitu usichokijua,post graduate wanaajiliwa Sana serikalini,Nina watu watano wa karibu wameajiliwa wakiwa na sifa kama hiyo,hapa kituo ninapojipatia riziki Kuna watu watatu Wana degree za mazingira na Sheria lakini wameajiliwa kwa fani ya ualimu
Ila cha kukusaidia..
Mshahara wa serikali hutambua Certificate, Diploma na Bachelor.

Iko hivi, mfano....
Mimi na wewe tuliajiriwa walimu diploma..

Ukaenda kusoma Law then ukaunga na masters.

Nikaenda kusoma BAED nikiishia hapo.

Wote tukarudi kazini.

Wewe utafanyiwa recategorization na kuanza na Mshahara TGS E ila kwa kuwa una masters utapewa TGS E3

Masters haina daraja la mshahara ila in added advantage, imekupa increment mbili.

Mimi nitafanyiwa categorization na kupewa TGS D1.

ELEWA KWANZA MAANA YA CATEGORIZATION na RECATEGORIZATION.

#YNWA
 
Nikweli mkuu,mfano ni Hawa watendaji wa vijiji wenye diploma,Hawa huanza TGTs B Wakati mwalimu wa diploma anaanza TGTs C ,Wakati huo huo kwa watendaji wa Kijiji wenye certificate wanaanza na faraja A ilikhali mwalimu wa certificate anaanza na faraja B.

Ni ukweli usiopingika kuwa teachers are well paid compared to other sectors.,tatizo ni kuwa walimu hawana marupurupu ,mfano mtendaji wa kijiji mwenye daraja B na mwalimu mwenye daraja D wanaweza lingaana ,hii ni kutokana na vijipesa vidovidogo anavyovipata mtendaji wa Kijiji
Kuhusu madaraja.......
Kulingana na muongozo wa utumishi uliotoka 2012 serikali imezuiwa kuajiri watendaji wenye Diploma na Watu wa mifugo wenye Certificate.

Ila kwa kuwa Kuna uhaba wa watumishi sheria iliwalinda wale waliokuwepo kazini WASIFUKUZWE.

Kwahiyo, hizo Dip na cert mentioned hapo juu ni DYING LEVEL.

Yaani mtendaji ili apande daraja lazima awe na Bachelor.
Bila hivyo atatumikia hiyo TGS C yake mpaka anastaafu.

Na bwana mifugo ili apande daraja inatakiwa awe na Dip.
Bila hivyo atakaa hapo mpaka anastaafu.

Kwa hali ilivyo sasa, watumishi lazima waende Shule.

#YNWA
 
Back
Top Bottom