Nahitaji kubadilisha fani ya uwalimu

Ila cha kukusaidia..
Mshahara wa serikali hutambua Certificate, Diploma na Bachelor.

Iko hivi, mfano....
Mimi na wewe tuliajiriwa walimu diploma..

Ukaenda kusoma Law then ukaunga na masters.

Nikaenda kusoma BAED nikiishia hapo.

Wote tukarudi kazini.

Wewe utafanyiwa recategorization na kuanza na Mshahara TGS E ila kwa kuwa una masters utapewa TGS E3

Masters haina daraja la mshahara ila in added advantage, imekupa increment mbili.

Mimi nitafanyiwa categorization na kupewa TGS D1.

ELEWA KWANZA MAANA YA CATEGORIZATION na RECATEGORIZATION.

#YNWA
Ukiwa na PhD unaongezewa daraja ngapi? Mfano ukaunga masters to phd..
 
Kuhusu madaraja.......
Kulingana na muongozo wa utumishi uliotoka 2012 serikali imezuiwa kuajiri watendaji wenye Diploma na Watu wa mifugo wenye Certificate.

Ila kwa kuwa Kuna uhaba wa watumishi sheria iliwalinda wale waliokuwepo kazini WASIFUKUZWE.

Kwahiyo, hizo Dip na cert mentioned hapo juu ni DYING LEVEL.

Yaani mtendaji ili apande daraja lazima awe na Bachelor.
Bila hivyo atatumikia hiyo TGS C yake mpaka anastaafu.

Na bwana mifugo ili apande daraja inatakiwa awe na Dip.
Bila hivyo atakaa hapo mpaka anastaafu.

Kwa hali ilivyo sasa, watumishi lazima waende Shule.

#YNWA
Ushauri mzuri sna
 
Je na cc ma engineer na ma technian tulioajiriwa katika ualimu wa ufundi katika serikali ya awamu ya tano, tunalipwa Kama walimu wa sayansi, na tsc wamegoma kutoa barua ya ajira kwamba tsc wanatoa barua za ajira kwa walimu pure cc kada nyingine tusubiri muongozo kutoka kwa katibu mkuu utumishi wa umma hii imekaaje great thinkers.
*YAN KWA KIFUPI TSC HAWATUTAMBUI CC KAMA WALIMU NDIO MAANA HAWATUPI BARUA YA AJIRA WANASUBIRI UTUMISHI UTOE MUONGOZO, JE MUONGOZO HUO NI RECATEGORIZATION AU?
 
Je na cc ma engineer na ma technian tulioajiriwa katika ualimu wa ufundi katika serikali ya awamu ya tano, tunalipwa Kama walimu wa sayansi, na tsc wamegoma kutoa barua ya ajira kwamba tsc wanatoa barua za ajira kwa walimu pure cc kada nyingine tusubiri muongozo kutoka kwa katibu mkuu utumishi wa umma hii imekaaje great thinkers.
Take action bro..

Ajira.go.tz inatoaga fursa hata walio ndani ya ajira waombe ajira.

Nenda Dodoma UTUMISHI kaongee na wakubwa KUHUSU sakata lako

Ila pia kuna transfer post kila mara huwa advertised kwa watumishi kuhama ofisi.

The choice is YOURS.

#YNWA
 
Shida ni mabosi Ded, Afisa elimu ukishawaambia hizo habari yani wanchanganyikiwa kabisa na hata mafaili yetu yametengwa (yamefichwa) na ya walimu wengine, yan wakuu wetu wakazi hawataki kabisa kusikia hiyo habar
 
Uhamiaji niki maanisha wizara ya uhamiaji nimesema fani niki maanisha IT au computer science nafikiri uwandishi ila natumaini umenielewa
UWANDISHI???Duuh Tanzania tuna safari ndefu sana. Jifunze kuandika ndo uanze kuwaza kuhamia fani zingine.
 
Ndugu wadau nilikuwa naomba ushauri wenu nipo kwenye ajira ya uwalimu kutokana na. Mda nilioka nahitaji kubadilisha kutoka uwalimu kwenda uhamiaji au Computer science au ICT katika wizara yoyote au hata ndani ya Elimu hiyo hiyo nina level ya Elimu shahada BAED naomba ushauri wenu nifanyeje ili nitimize malengo maana hivo ndio vitu ambavyo nilitaman kuvifanya tangu nakuwa ila kutokana na familia zetu na mambo ya mkopo wa chuo nikajikuta nimeangukia kwenye Uwalimu

Naomba kuwasilisha
Naomba nikushauri kitu kimoja, nafasi/ajira uliyoipata ya kufundisha ni ya kipekee sana na sio kila mtu aliekua anaitamani hiyo nafasi ameipata hivyo mshukuru sana MUNGU kwa hicho ulichopata. Usipende sana kutanguliza suala la maslai kwenye kazi mfano labda unona hiyo kazi haina mshahara mkubwa, wewe jitolee kwa moyo wako wote na ridhika na hicho ulifaniliwa kukipata. Mimi binafsi nilikua na ndoto ya kuwa rubani lakini kutokana na changamoto za mfumo wetu wa elimu ikashindikana na ninamshukuru sana MUNGU kwa hii position niliyonayo sasa japo iko nje na ndoto yangu.....

NB:
Usipojifunza kumshukuru MUNGU, hata hiko kidogo ulipata hakitakua na manufaa yeyote kwako na mwisho wa siku utakosa vyote kabisa, "I WISH YOU BEST OF GOD".
 
Sikia huu USHUHUDA labda UTAWEZA kukusaidia..

Niliajiriwa Idara x katika halmashauri z, nilikua na diploma.

Ila kiukweli Mimi nilipenda sanaa fani y.

Baada ya miaka 2 nika apply chuo course y na kuomba ruhusa ya masomo.

Nikaenda kusoma masomo ya fani y.

Nikaunga na masters kabisaa ya fani y.

Nilivyorudi kutoka masomoni nikahamishiwa bomani kutoka kijijini nilipokuwa naitumikia fani x, nikawa mfanyakazi wa Idara y bomani.

Nikakuta mkuu wa Idara y amepata shavu la kwenda kusoma phD ulaya, hivyo nikawa na kaimu huku jamaa ananifundisha kazi.

Nasubiri mwezi wa 7 kufanyiwa RECATEGORIZATION ili niwe mkuu wa Idara kamili wa y.

Then na wewe.....

Nenda chuo kasome bachelor ya IT then maliza.
peleka Cheti kwa utumishi wako subiri RECATEGORIZATION.

Huku unasubiri kubadilishiwa muundo.

Ukimaliza unaweza kuwa unatafuta Kazi kwengine kupitia ajira.go.tz au wizara ya utumishi huwa wanapost nafasi kibao za kufanyia Kazi UN na AU na kwengine huko (int. Org) kwa watumishi wa umma..

Chukua hatua....

Mimi nilichukua hatua, sikutaka ndoto zangu zife.

Sikuipenda Kazi x, umasikini wa nyumbani ulinifanya nikaisomee na kuajiriwa serikalini ili tu nitoke kwenye mikono ya kulelewa na ndugu.

Sikuacha ndoto zangu za kuwa y KUFA.


#YNWA
Mkuu naomba kuuliza hapa,ulifanya kazi kwa miaka miwili then ukaenda shule ulivyorudi ukafanya recategorization,bila shaka haujafika ngazi ya senior katika hiyo kada mpya.Je inawezekana kuwa mkuu wa Idara kamili bila kua senior officer?
 
Naomba nikushauri kitu kimoja, nafasi/ajira uliyoipata ya kufundisha ni ya kipekee sana na sio kila mtu aliekua anaitamani hiyo nafasi ameipata hivyo mshukuru sana MUNGU kwa hicho ulichopata. Usipende sana kutanguliza suala la maslai kwenye kazi mfano labda unona hiyo kazi haina mshahara mkubwa, wewe jitolee kwa moyo wako wote na ridhika na hicho ulifaniliwa kukipata. Mimi binafsi nilikua na ndoto ya kuwa rubani lakini kutokana na changamoto za mfumo wetu wa elimu ikashindikana na ninamshukuru sana MUNGU kwa hii position niliyonayo sasa japo iko nje na ndoto yangu.....

NB:
Usipojifunza kumshukuru MUNGU, hata hiko kidogo ulipata hakitakua na manufaa yeyote kwako na mwisho wa siku utakosa vyote kabisa, "I WISH YOU BEST OF GOD".
Nakaa brazaa.....

Mimi nilikomaa na kukimbiza ndoto zangu na sasa nazikaribia.

Unapo onyesha nia Mungu fungua milango yake.

Soma page ya 1 Kuna post nimeeleza vizurii kwa USHUHUDA.

Hata siku moja USIACHE NDOTO ZAKO ZIFE..

PIGANIA NDOTO ZAKO.

INAWEZEKANA.

#YNWA
 
Sikia huu USHUHUDA labda UTAWEZA kukusaidia..

Niliajiriwa Idara x katika halmashauri z, nilikua na diploma.

Ila kiukweli Mimi nilipenda sanaa fani y.

Baada ya miaka 2 nika apply chuo course y na kuomba ruhusa ya masomo.

Nikaenda kusoma masomo ya fani y.

Nikaunga na masters kabisaa ya fani y.

Nilivyorudi kutoka masomoni nikahamishiwa bomani kutoka kijijini nilipokuwa naitumikia fani x, nikawa mfanyakazi wa Idara y bomani.

Nikakuta mkuu wa Idara y amepata shavu la kwenda kusoma phD ulaya, hivyo nikawa na kaimu huku jamaa ananifundisha kazi.

Nasubiri mwezi wa 7 kufanyiwa RECATEGORIZATION ili niwe mkuu wa Idara kamili wa y.

Then na wewe.....

Nenda chuo kasome bachelor ya IT then maliza.
peleka Cheti kwa utumishi wako subiri RECATEGORIZATION.

Huku unasubiri kubadilishiwa muundo.

Ukimaliza unaweza kuwa unatafuta Kazi kwengine kupitia ajira.go.tz au wizara ya utumishi huwa wanapost nafasi kibao za kufanyia Kazi UN na AU na kwengine huko (int. Org) kwa watumishi wa umma..

Chukua hatua....

Mimi nilichukua hatua, sikutaka ndoto zangu zife.

Sikuipenda Kazi x, umasikini wa nyumbani ulinifanya nikaisomee na kuajiriwa serikalini ili tu nitoke kwenye mikono ya kulelewa na ndugu.

Sikuacha ndoto zangu za kuwa y KUFA.


#YNWA
Ok
 
Shida ni mabosi Ded, Afisa elimu ukishawaambia hizo habari yani wanchanganyikiwa kabisa na hata mafaili yetu yametengwa (yamefichwa) na ya walimu wengine, yan wakuu wetu wakazi hawataki kabisa kusikia hiyo habar
Maisha yako yapo mikononi MWAKO.

Acha kusingizia watu.

#YNWA
 
Naomba nikushauri kitu kimoja, nafasi/ajira uliyoipata ya kufundisha ni ya kipekee sana na sio kila mtu aliekua anaitamani hiyo nafasi ameipata hivyo mshukuru sana MUNGU kwa hicho ulichopata. Usipende sana kutanguliza suala la maslai kwenye kazi mfano labda unona hiyo kazi haina mshahara mkubwa, wewe jitolee kwa moyo wako wote na ridhika na hicho ulifaniliwa kukipata. Mimi binafsi nilikua na ndoto ya kuwa rubani lakini kutokana na changamoto za mfumo wetu wa elimu ikashindikana na ninamshukuru sana MUNGU kwa hii position niliyonayo sasa japo iko nje na ndoto yangu.....

NB:
Usipojifunza kumshukuru MUNGU, hata hiko kidogo ulipata hakitakua na manufaa yeyote kwako na mwisho wa siku utakosa vyote kabisa, "I WISH YOU BEST OF GOD".
Hapana PIGANIA NDOTO YAKO.

Mi ni yatima hivyo nilisomeshwa na ndugu kwa kuungaunga.

Hivyo nilipofika form 6 nilipelekwa diploma.

Nikatafute ajira serikalini kwa diploma yangu nikapata.

Sikuifurahia Kazi kabisaa kwakuwa haikua Kazi ya ndoto yangu.

Nilipata ruhusa nikaenda kusoma Bachelor ya ndoto yangu, nikaunga na masters.

Niliporudi halmashauri nilihamishiwa Idara ya ndoto yangu.

Kwasasa Mimi ndio mkuu wa Idara (kaimu).

Ila pia nimepata tobo la kuhama, kwasasa nasubiri barua.

huko niendako Kuna mshahara mkubwa na Kazi za ukweli.

KIFUPI NDOTO YANGU INAZIDI KUNG'AA.

Pigania ndoto yako, usisubiri ife.

#YNWA
 
Mkuu naomba kuuliza hapa,ulifanya kazi kwa miaka miwili then ukaenda shule ulivyorudi ukafanya recategorization,bila shaka haujafika ngazi ya senior katika hiyo kada mpya.Je inawezekana kuwa mkuu wa Idara kamili bila kua senior officer?
Ni kaimu.

Japo nishapata tobo jengine nalisikilizia ila kwa halmashauri kwenye hii post mpya sasa Nina Miaka 3.

Nimeambiwa nisubiri miaka mi2 ijayo niwe proper.

Then Kusubiri halmashauri SIWEZI.

#YNWA
 
Mkuu vipi kijana aliye ajiriwa kama mwalimu wa ufundi (Bachelor degree in Electrical engineering)

Je anaweza kufanyiwa recategorization? Au kubadilishiwa muundo

Ingali Hana degree ya ualimu?
Nadhani ameelewa, Ila lililokuu asisome masters nyengine ili ahame Idara.

Anachotakiwa ni kutafuta bachelor nyengine ili afanyiwe Recategorization au ataomba ajira mpya ofisi nyengine kama huko uhamiaji akutakako.

Na kama anaona kurudi chuo Tena ni changamoto basi asome OPEN.

#YNWA
 
Mkuu vipi kijana aliye ajiriwa kama mwalimu wa ufundi (Bachelor degree in Electrical engineering)

Je anaweza kufanyiwa recategorization? Au kubadilishiwa muundo

Ingali Hana degree ya ualimu?
Sijakuelewa..
Ana bachelor halafu sijui nini...

SIJAELEWA

#YNWA
 
Yaani mtu kaajiriwa kufundisha shule za ufundi ana degree ya umeme na hakusomea ualimu kbsa

Waliajiriwa kutokana na upungufu wa walimu wa ufundi
Yaani waliajiri maengineer kucover gepu la walimu wa ufundi

Je mtu uyu anaweza kufanyiwa recategorization na kwenda kweny uhandisi?
Sijakuelewa..
Ana bachelor halafu sijui nini...

SIJAELEWA

#YNWA
 
Mkuu usiwe unajibu kitu usichokijua,post graduate wanaajiliwa Sana serikalini,Nina watu watano wa karibu wameajiliwa wakiwa na sifa kama hiyo,hapa kituo ninapojipatia riziki Kuna watu watatu Wana degree za mazingira na Sheria lakini wameajiliwa kwa fani ya ualimu
uko sahihi kiongozi,,,hata kwenye tangazo la ajira za walimu sifa hii ya post graduate ilikuwepo.

kwenye ualimu wanaajir kwa sifa ya post graduate.
 
Nakaa brazaa.....

Mimi nilikomaa na kukimbiza ndoto zangu na sasa nazikaribia.

Unapo onyesha nia Mungu fungua milango yake.

Soma page ya 1 Kuna post nimeeleza vizurii kwa USHUHUDA.

Hata siku moja USIACHE NDOTO ZAKO ZIFE..

PIGANIA NDOTO ZAKO.

INAWEZEKANA.

#YNWA

Baada ya Kutofanikiwa kufanya kazi ya ndoto zangu nikaangukia kwenye fani ingine

Nikaamua kwamba financial freedom is my only hope

Naitumia Ajira kuifikia my only hope coz Hilo Ndio la Mai go
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom