Nahitaji kubadili dini ili nioe

Nahitaji kubadili dini ili nioe

Zungumza kingine ndugu sio dini coz yaonejana hata maana ya neno dili ulifahamu vizuri
 
Dini ilikuharibu, 23yrs unafikiri kubeba majukumu ya Mtu 30yrs.
Unajua nini kutunza familia?
Unajua kulea watoto?
Unajua kulea mimba?
Je, uchumi wa familia yako unayotaka kuanzisha ni tegemezi kwa asilimia ngapi?
Dini yako imekufundisha kukwepa Zinaa....!!!
Ngono kwa sana,
Usisahau kuuliza, nini baada ya kukwepa xxx?

Kijana Amka
Maisha yako yako mikononi mwa MAAMUZI yako na sio DINI AMA WAZAZI.....!!!
Wazazi watakufa na kukuacha...!!
DINI itakuacha.....!!
DINI itakuhukumu kwa sababu imekuacha...!!!

LAKINI , Dhamiri yako na Roho yako itabaki MUNGU WAKO ATAKUWA NA WEWE MILELE.

Wako wengi watakutisha na Dini zao Wazazi, Ndugu.

Lakini, niviumbe kama ulivyo wewe
Watakuangamiza ufanane na wao.

Wewe ni Kiumbe sahihi na chenye MAAMUZI kamili. FULL STOP

sina maana kwamba ndio nimefikia muda wa kuwa na familia, ninachojaribu mimi ni kuweka mtazamo wa mbele hata itakapofika siku nafanya maamuzi nisijiulize mara mbili mbili
 
yeye mwenyewe pia ni mtu ambaye ameshka sana dini pia namimi mwenyewe nmepata mafunzo ya kidini

Inamaana yeye kashika sana mafunzo yadini yake kuliko wewe? Mpaka wewe ukaamua kubadili kwa lugha nyingene wewe mafunzo yako ni buree!
 
Dini haikufikishi mbinguni ila matendo yako. Kaa jitathimini mwenyewe na ukimuomba Mungu akuongoze njia sahihi.lkni hujakosea sana washirikishe wajomba na shangaz bila kusahau bibi na Babu kabla hujalipeleka kwa wazazi
 
Ubadili dini kwa ajili ya mwanamke??
Jiulize huyo mwanamke hawezi kubadili??
Wanawake wa dini yako wamekwisha??
Pepo ipo chini ya wazazi wawili ????
Upo tayari kuweka uhasama na ndugu zako???
 
mkuu unapotea,kisa demu unabadili dini??

unajifanyisha tu kusema hivi lakini unahangaika kwa sababu ya demu........ No way out


japo sipingi wala kulubali abadili dini lakini usiseme demu........ Wala usiwadharau
 
sina maana kwamba ndio nimefikia muda wa kuwa na familia, ninachojaribu mimi ni kuweka mtazamo wa mbele hata itakapofika siku nafanya maamuzi nisijiulize mara mbili mbili

Mwenzako anafanya jitihada gani kukusaidia.
 
Unaoa dini au mtu? Fungua akili ndugu yangu mambo mengine mnafanya ni kwasababu ya kukaririshwa tu, hayana hata maana kabisa!
 
nahtaj kuwa nae katika maisha yangu, yeye kubadili dini wazaz wake hawataki kabisa hata kidogo, ila mimi nahtaj kuwa nae katika maisha yangu

Nawewe,wazazi wakikataa utafanyaaaje??!!😮

Kwanza ni udhaifu sana kwa mwanaume kubadili dini na kumfuata mwanamke.

Inatokea mara chache sana.
 
miaka ishirn na tatu

Sasa miaka 23 na wewe unataka kuoa? Huyo binti naye ana umri gani? Inshort watoto mmekutana nyege zunawasumbuwa, kuowa/ na zaidi ya kupigana dyudyu.

Dini zote ni magumashi tu ila tumezaliwa na tumerithi, Mwanaume kubadili dini ni kwa ajili ua mwanamke ni uzuzu usiokuwa na maelezo, badili dini kwa kuvutiwa nayo kiimani na si vinginevyo.

Kama umekolea sana kila mtu atoke half way mfunge ndoa serikalini cheti ni kilekile kwa familis ambazo hazijalewa mvinyo wa udini hili wala halina shida, kila mtu abaki na dini yake aliyorithi.
 
Sasa miaka 23 na wewe unataka kuoa? Huyo binti naye ana umri gani? Inshort watoto mmekutana nyege zunawasumbuwa, kuowa/ na zaidi ya kupigana dyudyu.

Dini zote ni magumashi tu ila tumezaliwa na tumerithi, Mwanaume kubadili dini ni kwa ajili ua mwanamke ni uzuzu usiokuwa na maelezo, badili dini kwa kuvutiwa nayo kiimani na si vinginevyo.

Kama umekolea sana kila mtu atoke half way mfunge ndoa serikalini cheti ni kilekile kwa familis ambazo hazijalewa mvinyo wa udini hili wala halina shida, kila mtu abaki na dini yake aliyorithi.

Wanakimbia Zinaa.
 
Wewe sio muislam mwenye mafunzo ya kiislam hata kwa kiwango kidogo.
Umeshindwa kuwa na mapenz na dini uliyozaliwa nayo utakuwa na mapenz na mtu uliekutana nae ukubwa.
 
Back
Top Bottom