Kama kweli umesoma uislam utakua unajua maana ya MURTAD, labda nikusaidie na nitimize wajibu wangu
1. unaachana na kalima ya Laa ilaha ila llah... ( hakuna Mola apaswae kuabudiwa ila Mola/Mungu mmoja) sasa unatamani kuabudu miungu zaidi ya mmoja..... madhara ya kufanya hivyo unayajua
2. Kumbuka siku ya mwisho,, Qiyama,, mapenzi yako hayatakufaa kitu,, mbele ya Mola utasimama peke yako na utakua huna hoja kabisa kama ulimkadhibisha Allah
3. Mapenzi huisha kabisa ,,,, je ukisuswa utarudia dini yao ya zamani?? ingekua vyema kubadili dini kwa kuielewa dini husika lakini sikwa tamaa ya mwili
Nakushauli kabisa kijana wangu kuwa strong,, wanawake hupenda watu strong,, ukikubali kubadili huo ni udhaifu mkubwa sana na hata ku value kabisa .....