Nahitaji kubadili dini ili nioe

Nahitaji kubadili dini ili nioe

mtoto wakiume kuwa na msimamo wewe, mkazanie binti abadili kama anakupenda atabadili tu

sawa nitamkazania abadili but nahtaj maombi haswa, kutokana na hali ya wazazi wake
 
yani bado hujui kwanini huna akili? ushapewa limbwata

hapana si lipwata hata kdogo, nmempenda kutokana na sifa alizonazo za kuwa mke bora mbele ya mume, na miongoni mwa wanawake wachache sana wa aina hyo
 
hapana si lipwata hata kdogo, nmempenda kutokana na sifa alizonazo za kuwa mke bora mbele ya mume, na miongoni mwa wanawake wachache sana wa aina hyo
wewe duniani hamna mke bora wala mume bora, acha habari zako... utaumia.
 
Abu_yazid

We mgalatia acha kufanya watu wajinga hapa.
Toka lini ukitaka kuoa mgalatia mpk ubadili dini?
Kanuni hizo Tunazo sisi tu tunaohifadhi Imani Yetu. Wagalatia wala Hawajali wewe ni Muhindi au Mpagani! Kikubwa ni Pochi yako tu.

We unaonekana hata Hela ya kula pia inakupa tabu.
Kupenda vya bure Ni hatari
Chunga tu usije olewa!
 
Last edited by a moderator:
We badili tu ila siku ukikuta dume mwenzio yupo kifuani usirudi kwenye uislam tena maana wanawake wa sasa ni presha tu hawaaminiki tena
 
Na iyo ndoa unatarajia uifunge lini? na je huyo ulienae umemchunguza vya kutosha? Na utamudu maisha ya ndoa?

ndoa sio leo wala kesho ni mpango wa muda mrefu wa kuwa pamoja, hata miaka miwili baadae, na nimemchunguza vizur, hata kwao pia nimeona maisha anayoish, kwa ufupi nimeona anavyoish akiwa nyumbani na hata akiwa nje na nyumbani
 
We badili tu ila siku ukikuta dume mwenzio yupo kifuani usirudi kwenye uislam tena maana wanawake wa sasa ni presha tu hawaaminiki tena

japo kwamba mungu ndiye ajuae, ila huyu nimemchunguza vya kutosha na ameniridhisha,
 
nahtaj kuwa nae katika maisha yangu, yeye kubadili dini wazaz wake hawataki kabisa hata kidogo, ila mimi nahtaj kuwa nae katika maisha yangu

Demu sijui ana umri gani? ila 23 ya kwako inanipa shaka!! Ila calculate risk ujitathmini kwa undani maana wanasema"don't trust a woman because they are weak creature"" Huo ni uamuzi mkubwa sana.Amua ukiangalia mbele zaidi.
 
We mgalatia acha kufanya watu wajinga hapa.
Toka lini ukitaka kuoa mgalatia mpk ubadili dini?
Kanuni hizo Tunazo sisi tu tunaohifadhi Imani Yetu. Wagalatia wala Hawajali wewe ni Muhindi au Mpagani! Kikubwa ni Pochi yako tu.

We unaonekana hata Hela ya kula pia inakupa tabu.
Kupenda vya bure Ni hatari
Chunga tu usije olewa!

sawa mkuu nitazingatia kwani na huu pia ni ushauri, ila ni mungu pekee ndio anajua mwanadamu anamiliki nini mfukoni mwake, yeye ndiye anayejua riziki ya mja wake ikoje
 
ndoa sio leo wala kesho ni mpango wa muda mrefu wa kuwa pamoja, hata miaka miwili baadae, na nimemchunguza vizur, hata kwao pia nimeona maisha anayoish, kwa ufupi nimeona anavyoish akiwa nyumbani na hata akiwa nje na nyumbani

Kua makini usije kubadili dini kisha mkaja kuachana ukabaki kujuta, na kwa mtazamo wangu mtoto wa kike ndo anatakiwa akufate wewe. Mimi pia imenibidi nikatishe mahusiano kwa sababu ya utofauti wa dini na mpenzi wangu. Kama umejiridhisha nae we muombe Mungu na kubadili saivi ni mapema sana maana uwezi jua nn kitatokea siku za mbele na wanawake ni zaifu sana na nirahisi kubadilika
 
sawa mkuu nitazingatia kwani na huu pia ni ushauri, ila ni mungu pekee ndio anajua mwanadamu anamiliki nini mfukoni mwake, yeye ndiye anayejua riziki ya mja wake ikoje

Mungu unamjua wapi wewe?
Au umeskia kwenye redio habari za Mungu?
We ungekuwa Muislamu wa kweli Ungeandika upuuzi huu?

Vitimoto vibaya sana, acheni kula mtaathirika
 
Demu sijui ana umri gani? ila 23 ya kwako inanipa shaka!! Ila calculate risk ujitathmini kwa undani maana wanasema"don't trust a woman because they are weak creature"" Huo ni uamuzi mkubwa sana.Amua ukiangalia mbele zaidi.

sawa mkuu ni ushaur naufanyia kaz, na ni kwel pia umri wangu sio mkubwa ukilinganisha na maamuz yangu, na pia namuamin sana huyo mwanamke, mimi naamin iman ndio inakupeleka katka mafanikio, nimemuona nimemtathmin, na anafaa
 
Mungu unamjua wapi wewe?
Au umeskia kwenye redio habari za Mungu?
We ungekuwa Muislamu wa kweli Ungeandika upuuzi huu?

Vitimoto vibaya sana, acheni kula mtaathirika

sawa ni ushauri pia nitaufanyia kazi, ila hakika ya dhana ni upotofu, sijawah kula hcho unachodhani natumia
 
sawa mkuu ni ushaur naufanyia kaz, na ni kwel pia umri wangu sio mkubwa ukilinganisha na maamuz yangu, na pia namuamin sana huyo mwanamke, mimi naamin iman ndio inakupeleka katka mafanikio, nimemuona nimemtathmin, na anafaa

mkuu acha mawazo hayo mbona wadau washa kuelekeza poa. wanawake si watu wa kuamini hata kidogo kama ngumu ye kubadili basi fungeni ya boman kila mmoja abaki na dini yake. sasa sijui watoto watafata wapi maana siamini kama umeshika dini ivo na mtarajiwa wako pia.
 
sawa mkuu ni ushaur naufanyia kaz, na ni kwel pia umri wangu sio mkubwa ukilinganisha na maamuz yangu, na pia namuamitn sana huyo mwanamke, mimi naamin iman ndio inakupeleka katka mafanikio, nimemuona nimemtathmin, na anafaa
unamuamini?
 
Kua makini usije kubadili dini kisha mkaja kuachana ukabaki kujuta, na kwa mtazamo wangu mtoto wa kike ndo anatakiwa akufate wewe. Mimi pia imenibidi nikatishe mahusiano kwa sababu ya utofauti wa dini na mpenzi wangu. Kama umejiridhisha nae we muombe Mungu na kubadili saivi ni mapema sana maana uwezi jua nn kitatokea siku za mbele na wanawake ni zaifu sana na nirahisi kubadilika

sawa mkuu nimekuelewa na siwez nikafanya haraka kubadil dini, kwani huu ndio mwanzo wa kutafuta kile kitakacho nifanya nisijutie maamuz yangu
 
Back
Top Bottom