Nahitaji kubadili dini ili nioe

Nahitaji kubadili dini ili nioe

Na yeye anahitaki kua na wewe kwa kiwango wewe unachomuhitaji?

Nenden manispaa fungeni ndoa ya kisheria, watoto wakikua watachagua pakwenda... Just advice
 
Kama unabadili dini kwa ajili ya Mwanamke sikushauri ila kama kwa ajili ya imani fanya hivyo. Utakuja kujuta maisha yako yote utapoteza ndugu na baadae mkeo.
 
Kama unabadili dini kwa ajili ya Mwanamke sikushauri ila kama kwa ajili ya imani fanya hivyo. Utakuja kujuta maisha yako yote utapoteza ndugu na baadae mkeo.
swadakta... tatizo sio kubadili dini, tatizo sababu ipi inakufanya ubadili? sababu ya mwanamke ni yakipumbavu na yakilofa
 
mkuu acha mawazo hayo mbona wadau washa kuelekeza poa. wanawake si watu wa kuamini hata kidogo kama ngumu ye kubadili basi fungeni ya boman kila mmoja abaki na dini yake. sasa sijui watoto watafata wapi maana siamini kama umeshika dini ivo na mtarajiwa wako pia.

yeye mwenyewe pia ni mtu ambaye ameshka sana dini pia namimi mwenyewe nmepata mafunzo ya kidini
 
Abu_yazid

Sikushauri hata kidogo ufanye hvo japo mm ni mkristo usije ukajuta maishan kisa mwanamke
 
Last edited by a moderator:
Kama janet jacson kabadili dini ili aolewe na gaidi wee unashindwaje
 
swadakta... tatizo sio kubadili dini, tatizo sababu ipi inakufanya ubadili? sababu ya mwanamke ni yakipumbavu na yakilofa

najua wengi wetu tunaamini kuwa mwanamke ni mtu mwepesi sana kubadilika na ndio maana inakuwa vigumu sana kuamini kama mwanamke anaweza akawa na mapenz ya dhati, lakini endapo unakuwa hauamini kuwa mwanamke anaupendo wa dhat kwako na hawez kukusalit, hii hukupelekea moyo wako kuwa mwepes sana na kutaman kumpa nafas mtu yeyote utakayekutana nae, lakin endapo utamuamini huyo mwanamke ni vigumu sana moyo wako kuwa mwepes na ukawa tayar kumpa nafas mwanamke yeyote yule umuonae, sio kila mwanamke ni rahis kumsaliti yule ampendae
 
Abu_yazid

'Wala hatukuwa wenye kuwaadhibu mpaka tuwatumieni wajumbe'..."kwa imani uliyo nayo sasa abu_yazid ndoa hadi ijuzu inatakiwa shuruti zipi???USIKURUPUKE NDUGU UTAFELI.
 
Last edited by a moderator:
najua wengi wetu tunaamini kuwa mwanamke ni mtu mwepesi sana kubadilika na ndio maana inakuwa vigumu sana kuamini kama mwanamke anaweza akawa na mapenz ya dhati, lakini endapo unakuwa hauamini kuwa mwanamke anaupendo wa dhat kwako na hawez kukusalit, hii hukupelekea moyo wako kuwa mwepes sana na kutaman kumpa nafas mtu yeyote utakayekutana nae, lakin endapo utamuamini huyo mwanamke ni vigumu sana moyo wako kuwa mwepes na ukawa tayar kumpa nafas mwanamke yeyote yule umuonae, sio kila mwanamke ni rahis kumsaliti yule ampendae
haya kAbadilishe
 
Nakupongeza wewe ni mwanaume shujaa na unajua nini unataka. Unaweza kubadili au kama mkeo ni mkatoliki mnaweza kufunga ndoa mseto. Usisikilize maneno ya chuki upendo ni bora kuliko imani na matumaini
 
ndio mkuu namuamini sana
Kama unamuamini, badili dini umuoe umpendaye ili maisha yako yawe ya furaha. Usije ukawasikia wana JF humu ambao hata hawawezi kuhisi ni namna gani utaumia maishani kwa kupoteza kipenzi chako. Hata maisha ya ndoa na mwingine hayatadumu katika furaha kwani utaendelea kumfikiria huyu tu
 
Kama kweli umesoma uislam utakua unajua maana ya MURTAD, labda nikusaidie na nitimize wajibu wangu

1. unaachana na kalima ya Laa ilaha ila llah... ( hakuna Mola apaswae kuabudiwa ila Mola/Mungu mmoja) sasa unatamani kuabudu miungu zaidi ya mmoja..... madhara ya kufanya hivyo unayajua

2. Kumbuka siku ya mwisho,, Qiyama,, mapenzi yako hayatakufaa kitu,, mbele ya Mola utasimama peke yako na utakua huna hoja kabisa kama ulimkadhibisha Allah

3. Mapenzi huisha kabisa ,,,, je ukisuswa utarudia dini yao ya zamani?? ingekua vyema kubadili dini kwa kuielewa dini husika lakini sikwa tamaa ya mwili


Nakushauli kabisa kijana wangu kuwa strong,, wanawake hupenda watu strong,, ukikubali kubadili huo ni udhaifu mkubwa sana na hata ku value kabisa .....
 
Back
Top Bottom