Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,254
- Thread starter
- #101
Sasa miaka 23 na wewe unataka kuoa? Huyo binti naye ana umri gani? Inshort watoto mmekutana nyege zunawasumbuwa, kuowa/ na zaidi ya kupigana dyudyu.
Dini zote ni magumashi tu ila tumezaliwa na tumerithi, Mwanaume kubadili dini ni kwa ajili ua mwanamke ni uzuzu usiokuwa na maelezo, badili dini kwa kuvutiwa nayo kiimani na si vinginevyo.
Kama umekolea sana kila mtu atoke half way mfunge ndoa serikalini cheti ni kilekile kwa familis ambazo hazijalewa mvinyo wa udini hili wala halina shida, kila mtu abaki na dini yake aliyorithi.
sina maana nataka kuoa nikiwa na umri huu wa miaka ishir na tatu, mipango ya kuoana kwetu sio kwa umri huu, kwasababu najua bado sina uwezo wa kuwa na familia kwa umri huu