falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Ndio maana nikasema wewe bado mtoto ni utoto unakusumbuwa, una uwezo wa kupredict akili ya mwanamke kwa mwaka mmoja ujao?
Au wewe ukisikiaga wazenj wanaimba mapinduuuzi daimaa huwa unaelewa nini?
Ukipata demu ni mzuri basi ujuwe kuna zuzu limepigwa chini. Inapoona wenzako wananyolewa tia maji kabisa.
Tafuta pesa dogo mengine yatajileta yenyewe.
We bwana naona tunatishana sasa,unataka tusioe