Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 2,876
- 8,697
Ushauri: Tunza hela uje kununua kiwanja muda wa mvua kubwa ili uone uzuri na ubaya wa eneo.
Lina ukubwa gani?Lete 15m nikupe eneo Madale
550sqmLina ukubwa gani?
Dogo sana hilo. Halifai kwa ujenzi wa kisasa.550sqm
SawaDogo sana hilo. Halifai kwa ujenzi wa kisasa.
Chanika maeneo gani, umbali gani kutoka High way main road.Hiyo no Mali yangu, nakukabidhi na ramani yake
Kiluvya iko wapi?Kuna eneo linauzwa kiluvya madukani 20*20 Bei ml 3
Mpakani mwa kibaha na DarKiluvya iko wapi?
Kl ngapi toka brbr kuuKuna eneo linauzwa kiluvya madukani 20*20 Bei ml 3
Kuna umbali km 2 toka lamiKl ngapi toka brbr kuu
AsanteKwa hiyo pesa yako nakushauri nenda Kibaha Maili Moja. Kuna eneo nilimnunulia sister yangu Kiwanja kwa Bei poa Sana. Havijapimwa bado na hakujajengeka Sana Ila watu ndio wanakimbilia uko kwa Sasa. Nauli ni 2000 kwa bodaboda toka Loliondo au Maili Moja. Nilimchukulia 30/30 kwa 1.7 M