Plaintiff
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 308
- 203
Jamani nahitaji eneo la gereji ambalo linapangishwa Dar es Salaam,
Sifa za eneo.
1. Liwe na fence na gate.
2. Likiwa na Ofisi itapendeza zaidi(Sipendelei sana iwe garage Bubu).
3. Sihitaji eneo kubwa sana, sina magari ya kuweka kwenye hilo eneo.(Ikiwa eneo ni kubwa basi mwenye nalo awe ameamua kulitoa kwa bei ndogo).
4. Ikiwa ni nyumba standalone ina eneo na mwenye nyumba amekubali tufanyie kazi yetu, itaweza kufaa pia. (Kuhusu suala la Oil asihofie kazi zetu nyingi ni za umeme pia tuko smart sana).
5. Eneo siyo lazima liwe barabarani, sitegemei wapita njia, kikubwa tu pawe panafikika.
Kama unalo tuwasiliane 0765 935 449.
Nasubiri simu zenu wakuu.
Sifa za eneo.
1. Liwe na fence na gate.
2. Likiwa na Ofisi itapendeza zaidi(Sipendelei sana iwe garage Bubu).
3. Sihitaji eneo kubwa sana, sina magari ya kuweka kwenye hilo eneo.(Ikiwa eneo ni kubwa basi mwenye nalo awe ameamua kulitoa kwa bei ndogo).
4. Ikiwa ni nyumba standalone ina eneo na mwenye nyumba amekubali tufanyie kazi yetu, itaweza kufaa pia. (Kuhusu suala la Oil asihofie kazi zetu nyingi ni za umeme pia tuko smart sana).
5. Eneo siyo lazima liwe barabarani, sitegemei wapita njia, kikubwa tu pawe panafikika.
Kama unalo tuwasiliane 0765 935 449.
Nasubiri simu zenu wakuu.