Nahitaji chupi ngapi?

Wewe ni wa kike au wa kiume!jieleze vizuri!kama ni punga nafikiri utahitaji chupi nyingi zaidi!!!

Ina maana hujui kusoma ? Kama unajua huelewi ulichosoma? No wonder watu kama nyie ndo mnaharibu kura zenu?
Japo sijauliza Kama una knowlege na uzoefu mapunga yaahitaji ngapi ni vizuri utuhabarishe. teh teh teh wenye akili watakuelewa
 
Sijui idadi ya nilizonazo ila naweza kuvaa chupi moja kila siku kwa wiki mbili bila ya kurudia
 
nadhani hata ukiwa na chupi moja lamsingi ni iwe safi tu,hivyo basi unaweza kufua usiku make sure asb imekauka vizuri piga pasi kuuz vijidudu then vaa,lkn kwa hii moja nina uhakika itachakaa mapema so ni vywema ukiwa na zaidi ya moja at least kila siku unavaa iliyo safi all in all cha muhimu hapa ni usafi unaweza kuwa na madazani yoooote yakawa yananuka uvundo tu.usafi muhimu kaka na hasa ukizingatia sehem yenyewe inapovaliwa chupi ni nyeti.

Interestin, najifunza hapa nilidha usiku pia wanavaa nanihii ....................:bowl:
 
Kauka nikuvae inakubalika. Nakubaliana na wote waliosema hata kufuli (chupi moja inatosha) Jioni ukishaoga unafua kufuli lako unalianika. Then, unapiga usingizi ukiwa hujavaa kufuli, asubuhi ukiamka unatinga kufuli lako unaendelea na kazi. Onyo: hili linawezekana kwa mtu na chumba chake, kama ni kwenye mabweni au mzungu wa nne. uwe mwangalifu otherwize wenzako wanaweza kukufaidi bila ridhaa yako.
 
kwa hiyo kama ni safi naweza kuivaa siku tatu au nne mfululizo?

Hapo inabidi tujiulize, chupi safi kwako wewe ni ipi? Maana nijuavyo mimi chupi inavaliwa mara moja tu, kisha inafuliwa. Huwezi kurudia kuvaa chupi mara mbili. Ukifanya hivyo matokeo yake unakuwa unatoa harufu za ajabu ajabu na kukera wenzio kwenye daladala!
 
Jamani wengine hawavai hata hizo chupi kwani jino moja mswaki wa nini

Oooh! Yeah! Especially weekends, unavaa chupi ya nini? Kwa hiyo ukiwa nazo tano zinatosha, yaani za kuvaa J'tatu mpaka Ijumaa! Full stop. Weekend unahitaji kupunga upepo kidogo!
 
Uwe na angalau chupi dozen mbili kama unafulia kwa mashine...........lakini kwa mkono hata tatu zatosha lakini kauka nikuvaee nayo yaweza kuwa na madhara ya unyevunyevu ambao waeza kukuleta fungus au algae.....................chupi lazima ziwe kavy kabla hujazivaa............chupi nunua nyningine unapoona mipira yake imeanza kulegealegea.............................
 
KUVAA KUFULI NI ANASA: HIVI FUNCTION YAKE NINI KAMA SIO KUJILIMBIKIZIA MAJASHO YASIOYALAZIMA? Ninachofahamu mimi, kule kunakua na nguvu zaidi kunapokuwa exposed to fresh air! Nimezaliwa na nimekua bila kufuli, wazungu wanavaa makufuli kwa sababu ya baridi kwa sababu ile jiografia ni ya ajabu sana; haitakiwi ipate joto sana wala baridi sana, so vaa kufuli kuendana na hali ya hewa ya mahali: DAR, TANGA, PWANI na kwingineko kufuli ni la nini?
 
Mwanamke hahitajiki kuwa na chupi in short! jiulize kwanza ya kazi gani? kuzuilia mavumbi yasipande na kuingia au?
Kwa mwanaume pia kunahitajika pensi tu tano zinatosha kwa maana atazivaa siku za kazi tu, weekend n holidays no more....:smile-big:
 
Aisee, huku bondeni niliko mbona wanawake ( sijui kwakuwa mara nyingi wanavaa jeans) huwa hawavai chupi hivyo mambo huwa sio complicated na yankuwa yamerahisishwa sana!!! hivyo ishu za chupi sanasana huwa hazipo.....hahahaaaaaaaa

BB,wanavaa, sema zinakuwa ndogo sana unakuwa huoni bila kuwa makini. Hata ukiiona imeanikwa huwezi kutambua kama ni giddamu ya viatu au ni chupi
 
Back
Top Bottom