Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Unajua maana za ndani za neno "Sihr"??!!, nitakuja na maana na ufafanuzi kutoka kwenye Arabic-English lexicon by W E Lane.
Kuna maana zaidi ya moja neno sihr limetumika ndani ya Qur'an? Kama ipo na ni njema haihusiani na uchawi na kiini macho utakuwa umemaliza kunielewesha. Kama hakuna itakuwa vigumu sana kubadilisha maana kusudiwa na ijulikanayo na itakuwia ugumu kunielewesha.

Kuna maneno ambayo nafahamu yanatokana na root word " shr" kama vile (suhur) ikimaanisha daku au "sahr" kukesha, lakini hayo yote hayabadilishi maana ya neno "sihr" kuwa ni uchawi. No pun intended.
 
Kuna maana zaidi ya moja neno sihr limetumika ndani ya Qur'an? Kama ipo na ni njema haihusiani na uchawi na kiini macho utakuwa umemaliza kunielewesha. Kama hakuna itakuwa vigumu sana kubadilisha maana kusudiwa na ijulikanayo na itakuwia ugumu kunielewesha.

Kuna maneno ambayo nafahamu yanatokana na root word " shr" kama vile (suhur) ikimaanisha daku au "sahr" kukesha, lakini hayo yote hayabadilishi maana ya neno "sihr" kuwa ni uchawi. No pun intended.




Auntie Faiza, sikiliza kile ninachosema; mimi ninaunga mkono kauli ya Mungu (swt) ndani ya Qur'an kuhusu maana ya neno "sihr" lilivyotumika, mimi sipingi aslan.

Ila lazima uuangalie muktadha mzima wa habari, neno "sihr" limetumika ndani ya Qur'an kwa maana hiyo uliyoisema na ndiyo maana kama hii iliyofafanuliwa na kamusi la "Aqrab":-

The noun سحر means anything the source of which is not quite visible; showing off FALSEHOOD in the form of truth; a crafty device; craftness;mischief; enchantment.

Katika kamusi la Lane iko hivi:-

----- it also means producing what is false in the form of TRUTH; any event of which the cause is hidden and which is imagined ti be different from what it really is; embellishment by falsification and deceit.

Sasa tuache "Sihr" inayozungumzwa na Qur'an, na hapa ninazungumzia matumizi ya "sihr" kwa manufaa ya binadamu "in positive sense" ambapo tunapata katika maana hii iliyopo hapo juu kwenye Lane:-

"Any event of which the cause is hidden and which is imagined to be different from what it really is"

👆🏻katika hali hiyo mtu anaweza kwa matumizi mazuri ya hiyo "phenomenon" kutengeneza kitu cha manufaa kwa watu, nikatoa mfano, phenomenon hiyo inaweza kutumika kama "War strategy" vitani, yaani unatengeneza "sihr" kumpumbaza adui asikuone nk,

Maana yangu ndiyo hiyo na si vinginevyo, na hapa nilitaka watu wajue matumizi mazuri ya "sihr" (the good use of sihr).

Nitakupa mfano, katika miaka ya 1800, ni mtu gani ungeweza kumuambia atumie kinyesi cha binadamu, (ambacho kwa mafundisho ya dini kinaitwa NAJISI), kwa ajili ya manufaa yake angalikubali??!!😁😁, lakini leo kinyesi hicho watu tunakitumia kwa ajili ya kuzalisha BIOGAS na mbolea hasa huko china, na tomato likitoka hapo wewe Antie Faiza ukiunga mchuzi wake ni balaa!!😁😁.

Hayo ndiyo matumizi mazuri ya akili zetu na elimu aliyotujalia Allah, na hapo ndiyo maana ya positivity na sio Negativity ile inayozungumzwa na Qur'an kuhusu "sihr".

Lugha ya kiswahili ni finyu kulinganisha na kiarabu au kiingereza, Maneno, Magic,Black magic, sorcery, witchcraft, voodoo juju,juggling nk, yote hayo Kwa kiswahili tunatumia neno moja tu UCHAWI, uwe wa tunguli na kuwanga, kusambira nk, wote huo waswahili tunaita UCHAWI no distinction !!?
 
Auntie Faiza, sikiliza kile ninachosema; mimi ninaunga mkono kauli ya Mungu (swt) ndani ya Qur'an kuhusu maana ya neno "sihr" lilivyotumika, mimi sipingi aslan.

Ila lazima uuangalie muktadha mzima wa habari, neno "sihr" limetumika ndani ya Qur'an kwa maana hiyo uliyoisema na ndiyo maana kama hii iliyofafanuliwa na kamusi la "Aqrab":-

The noun سحر means anything the source of which is not quite visible; showing off FALSEHOOD in the form of truth; a crafty device; craftness;mischief; enchantment.

Katika kamusi la Lane iko hivi:-

----- it also means producing what is false in the form of TRUTH; any event of which the cause is hidden and which is imagined ti be different from what it really is; embellishment by falsification and deceit.

Sasa tuache "Sihr" inayozungumzwa na Qur'an, na hapa ninazungumzia matumizi ya "sihr" kwa manufaa ya binadamu "in positive sense" ambapo tunapata katika maana hii iliyopo hapo juu kwenye Lane:-

"Any event of which the cause is hidden and which is imagined to be different from what it really is"

👆🏻katika hali hiyo mtu anaweza kwa matumizi mazuri ya hiyo "phenomenon" kutengeneza kitu cha manufaa kwa watu, nikatoa mfano, phenomenon hiyo inaweza kutumika kama "War strategy" vitani, yaani unatengeneza "sihr" kumpumbaza adui asikuone nk,

Maana yangu ndiyo hiyo na si vinginevyo, na hapa nilitaka watu wajue matumizi mazuri ya "sihr" (the good use of sihr).

Nitakupa mfano, katika miaka ya 1800, ni mtu gani ungeweza kumuambia atumie kinyesi cha binadamu, (ambacho kwa mafundisho ya dini kinaitwa NAJISI), kwa ajili ya manufaa yake angalikubali??!!😁😁, lakini leo kinyesi hicho watu tunakitumia kwa ajili ya kuzalisha BIOGAS na mbolea hasa huko china, na tomato likitoka hapo wewe Antie Faiza ukiunga mchuzi wake ni balaa!!😁😁.

Hayo ndiyo matumizi mazuri ya akili zetu na elimu aliyotujalia Allah, na hapo ndiyo maana ya positivity na sio Negativity ile inayozungumzwa na Qur'an kuhusu "sihr".

Lugha ya kiswahili ni finyu kulinganisha na kiarabu au kiingereza, Maneno, Magic,Black magic, sorcery, witchcraft, voodoo juju,juggling nk, yote hayo Kwa kiswahili tunatumia neno moja tu UCHAWI, uwe wa tunguli na kuwanga, kusambira nk, wote huo waswahili tunaita UCHAWI no distinction !!?

Hakuna sihr iliyo njema.

Hata hizo maana ulizoleta nje ya Qur'an hakuna hata moja iliyounga mkono.

Jambo jema kulifanya kwa siri au jambo ovu kulifanya kwa siri haliwi sihr. Mfano mzuri kuzini, kuzini mara nyingi hufanywa kwa kificho na wazinifu lakini uzinifu haujawa sihr.

Pia kuna mambo kama ya siri za tiba, ambayo ni siri lakini lakini hayawi sihr. Mfano mtu anakupa mzizi ukachemshe usukutue kutibu jino linalokuuma, unafanya hivyo lakini hata umuulize hakupi jina la mti wa huo mzizi. Huo si uchawi ni siri tu.

Sihr ni uchawi.

Kiarabu ni kipana sana lakini hapo hauna justification!

Nafahamu nini ulimaanisha na kama nilivyokwambia nitarudi, kwa bahati nzuri kabla sijarudi umefunga kazi wewe mwenyewe. Umejaribu lakini haikuwezekana.
 
Auntie Faiza, sikiliza kile ninachosema; mimi ninaunga mkono kauli ya Mungu (swt) ndani ya Qur'an kuhusu maana ya neno "sihr" lilivyotumika, mimi sipingi aslan.

Ila lazima uuangalie muktadha mzima wa habari, neno "sihr" limetumika ndani ya Qur'an kwa maana hiyo uliyoisema na ndiyo maana kama hii iliyofafanuliwa na kamusi la "Aqrab":-

The noun سحر means anything the source of which is not quite visible; showing off FALSEHOOD in the form of truth; a crafty device; craftness;mischief; enchantment.

Katika kamusi la Lane iko hivi:-

----- it also means producing what is false in the form of TRUTH; any event of which the cause is hidden and which is imagined ti be different from what it really is; embellishment by falsification and deceit.

Sasa tuache "Sihr" inayozungumzwa na Qur'an, na hapa ninazungumzia matumizi ya "sihr" kwa manufaa ya binadamu "in positive sense" ambapo tunapata katika maana hii iliyopo hapo juu kwenye Lane:-

"Any event of which the cause is hidden and which is imagined to be different from what it really is"

👆🏻katika hali hiyo mtu anaweza kwa matumizi mazuri ya hiyo "phenomenon" kutengeneza kitu cha manufaa kwa watu, nikatoa mfano, phenomenon hiyo inaweza kutumika kama "War strategy" vitani, yaani unatengeneza "sihr" kumpumbaza adui asikuone nk,

Maana yangu ndiyo hiyo na si vinginevyo, na hapa nilitaka watu wajue matumizi mazuri ya "sihr" (the good use of sihr).

Nitakupa mfano, katika miaka ya 1800, ni mtu gani ungeweza kumuambia atumie kinyesi cha binadamu, (ambacho kwa mafundisho ya dini kinaitwa NAJISI), kwa ajili ya manufaa yake angalikubali??!!😁😁, lakini leo kinyesi hicho watu tunakitumia kwa ajili ya kuzalisha BIOGAS na mbolea hasa huko china, na tomato likitoka hapo wewe Antie Faiza ukiunga mchuzi wake ni balaa!!😁😁.

Hayo ndiyo matumizi mazuri ya akili zetu na elimu aliyotujalia Allah, na hapo ndiyo maana ya positivity na sio Negativity ile inayozungumzwa na Qur'an kuhusu "sihr".

Lugha ya kiswahili ni finyu kulinganisha na kiarabu au kiingereza, Maneno, Magic,Black magic, sorcery, witchcraft, voodoo juju,juggling nk, yote hayo Kwa kiswahili tunatumia neno moja tu UCHAWI, uwe wa tunguli na kuwanga, kusambira nk, wote huo waswahili tunaita UCHAWI no distinction !!?
Sasa unataka kubadili neno sihr kuwa ipo sihr ambayo si uchawi kwa kuwa huna neno hilo katika Kiswahili?

Si neno hilo hilo hutumika, labda hujakutana nalo tu, sihiri.

Nasikitika sana unapojaribu kutaka ku justify sihr kwa yale ambayo neno lake lipo kwa kiarabu, kwa kuwa tu hujalifahamu au halikujii kichwani basi unapachika kuwa ni sihr.

Jaribu neno siri ambalo ni kinyume cha dhahiri. Labda ndilo unalolitafuta.

Umejaribu sana lakini haiji.

By the way, Kiswahili ni kipana sana kuliko unavyodhani. Limits zake ni kama ilivyo lugha ya Kiarabu.
 
Hakuna sihr iliyo njema.

Hata hizo maana ulizoleta nje ya Qur'an hakuna hata moja iliyounga mkono.

Jambo jema kulifanya kwa siri au jambo ovu kulifanya kwa siri haliwi sihr. Mfano mzuri kuzini, kuzini mara nyingi hufanywa kwa kificho na wazinifu lakini uzinifu haujawa sihr.

Pia kuna mambo kama ya siri za tiba, ambayo ni siri lakini lakini hayawi sihr. Mfano mtu anakupa mzizi ukachemshe usukutue kutibu jino linalokuuma, unafanya hivyo lakini hata umuulize hakupi jina la mtu wa huo mzizi. Huo si uchawi ni siri tu.

Sihr ni uchawi.

Kiarabu ni kipana sana lakini hapo hauna justification!

Nafahamu nini ulimaanisha na kama nilivyokwambia nitarudi, kwa bahati nzuri kabla sijarudi umefunga kazi wewe mwenyewe. Umejaribu lakini haikuwezekana.





Wapo walionielewa na hilo ndio la muhimu,


Uongo ni dhambi, mkojo wa binadamu ni najisi ndivyo tunavyofundisha na maandiko matakatifu, lakini nikuulize anapokuja muhalifu nyumbani kwako na ukatambua kuwa yeye ni muhalifu na akakuuliza kama mama yako yupo ili amdhuru na tufanye kweli mamayo yumo ndani ,je utamuambia ukweli kama yumo ndani au utamwambia UONGO ili kumnusuru mama yako??, kumbuka Uongo ni dhambi.

Mkojo ni najisi na unatakiwa utupwe mbali, lakini leo maendekeo na upeo wa elimu aliyotupatia Mungu, katika nchi za wenzetu mkojo unakusanywa ndani ya matenki na kupelekwa viwandani ku extract AMMONIA gas kwa ajili ya kutengenezea mbolea nk, na kulingana na maendeleobya dunia mambo mengi ambayo hapo zamani yalikuwa ni Nasty, cast off, left overs, takataka nk,manufaa yake leo yanaonekana.

Hiyo ndiyo "positive use" ninayoizungumzia mimi.

Lazima ufikiri katika "broad mind" siyo kui confine akili yako katika negativity tu ambayo nayo inayo muktadha wake. Hutakuwa huitendei haki AKILI yako.
 
Sasa unataka kubadili neno sihr kuwa ipo sihr ambayo si uchawi kwa kuwa huna neno hilo katika Kiswahili?

Si neno hilo hilo hutumika, labda hujakutana nalo tu, sihiri.

Nasikitika sana unapojaribu kutaka ku justify sihr kwa yale ambayo neno lake lipo kwa kiarabu, kwa kuwa tu hujalifahamu au halikujii kichwani basi unapachika kuwa ni sihr.

Jaribu neno siri ambalo ni kinyume cha dhahiri. Labda ndilo unalolitafuta.

Umejaribu sana lakini haiji.

By the way, Kiswahili ni kipana sana kuliko unavyodhani. Limits zake ni kama ilivyo lugha ya Kiarabu.



Sasa wewe unataka kudanganya watu!!?, kiarabu ndiyo lugha iliyokamilika kuliko lugha yeyote duniani, kiarabu ndiyo MAMA wa lugha zote duniani, hakuna lugha duniani isiyokuwa na msingi wa maneno ya kiarsbu na ndiyo maana Mungu akashusha Qur'an kwa kiarabu.

Lakini msingi mzima wa positive use ya SIHR ninaoutetea umeupata na nimekupa mifano hai.

Aurevoire.
 
Wapo walionielewa na hilo ndio la muhimu,


Uongo ni dhambi, mkojo wa binadamu ni najisi ndivyo tunavyofundisha na maandiko matakatifu, lakini nikuulize anapokuja muhalifu nyumbani kwako na ukatambua kuwa yeye ni muhalifu na akakuuliza kama mama yako yupo ili amdhuru na tufanye kweli mamayo yumo ndani ,je utamuambia ukweli kama yumo ndani au utamwambia UONGO ili kumnusuru mama yako??, kumbuka Uongo ni dhambi.

Mkojo ni najisi na unatakiwa utupwe mbali, lakini leo maendekeo na upeo wa elimu aliyotupatia Mungu, katika nchi za wenzetu mkojo unakusanywa ndani ya matenki na kupelekwa viwandani ku extract AMMONIA gas kwa ajili ya kutengenezea mbolea nk, na kulingana na maendeleobya dunia mambo mengi ambayo hapo zamani yalikuwa ni Nasty, cast off, left overs, takataka nk,manufaa yake leo yanaonekana.

Hiyo ndiyo "positive use" ninayoizungumzia mimi.

Lazima ufikiri katika "broad mind" siyo kui confine akili yako katika negativity tu ambayo nayo inayo muktadha wake. Hutakuwa huitendei haki AKILI yako.
Hayo yote siyo "sihr".

Siyo wapo waliokuelewa tu, nna uhakika kuwa wote wanaokusoma wanakuelewa na wote wanakushangaa kwa kutaka kulazimisha kuwa ipo "sihr" positive. Binafsi nakwambia hakuna.

Jaribu kutafuta maneno mbadala kwa hiyo mifano yako ya mkojo, uongo na mavi, maana juu kidogo huko ulianza na mfano wako wa mavi.
 
Sasa wewe unataka kudanganya watu!!?, kiarabu ndiyo lugha iliyokamilika kuliko lugha yeyote duniani, kiarabu ndiyo MAMA wa lugha zote duniani, hakuna lugha duniani isiyokuwa na msingi wa maneno ya kiarsbu na ndiyo maana Mungu akashusha Qur'an kwa kiarabu.

Lakini msingi mzima wa positive use ya SIHR ninaoutetea umeupata na nimekupa mifano hai.

Aurevoire.
Inaonesha unanisoma lakini huelewi. Nimekwambia "Kiswahili ni kipana sana kuliko unavyodhani. Limits zake ni kama ilivyo lugha ya Kiarabu."

Kwa kuwa kidogo u mgumu wa kuelewa ngoja nikurahisishie; Kiswahili kwa asilimia kubwa kina maneno ya Kiarabu na pale linapokosekana neno la Kiswahili kwa chochote basi Kiswahili huchukua neno hilo kutoka Kiarabu kwa asilimia kubwa, ndiyo maana ya Kukufahamisha kuwa "limits" zake ni kama lugha ya Kiarabu. Mfano mzuri tujisome tuliyoyaandika uone mangapi yanatokana na Kiarabu.

Hapo umejaribu kuhamisha "magoli" lakini huwa si rahisi.

Narudia. Sihr ipo na haina jema.

Hakuna "positive" ya matumizi ya sihr, hapo unajidanganya kama ilivyo kwa wote wanaofanya sihr.
 
Inaonesha unanisoma lakini huelewi. Nimekwambia "Kiswahili ni kipana sana kuliko unavyodhani. Limits zake ni kama ilivyo lugha ya Kiarabu."

Kwa kuwa kidogo u mgumu wa kuelewa ngoja nikurahisishie; Kiswahili kwa asilimia kubwa kina maneno ya Kiarabu na pale linapokosekana neno la Kiswahili kwa chochote basi Kiswahili huchukua neno hilo kutoka Kiarabu kwa asilimia kubwa, ndiyo maana ya Kukufahamisha kuwa "limits" zake ni kama lugha ya Kiarabu. Mfano mzuri tujisome tuliyoyaandika uone mangapi yanatokana na Kiarabu.

Hapo umejaribu kuhamisha "magoli" lakini huwa si rahisi.

Narudia. Sihr ipo na haina jema.

Hakuna "positive" ya matumizi ya sihr, hapo unajidanganya kama ilivyo kwa wote wanaofanya sihr.
Huyu jamaa nimemsomma comment zake zote nimemshangaa naposema watu wanamuelewaa?
Ama kweli dunia ina mambo.

Ila sishangai kwa sababu kuna baadhi ya wapuuzi wa madhehebu fulani wanadai ati ramli ni kama x-ray tu sio haram.sasa huyu bwana mokaze anataka kutuambia kwa vile ina faida basi tuitumie katika faida.

Hizo faida ni zipi?

Basi na pombe nadhani kwa vile ina faida basi atatuambia halali huyu.

Jamaa anamaneno ya ajabu sana huyu.
 
Huyu jamaa nimemsomma comment zake zote nimemshangaa naposema watu wanamuelewaa?
Ama kweli dunia ina mambo.

Ila sishangai kwa sababu kuna baadhi ya wapuuzi wa madhehebu fulani wanadai ati ramli ni kama x-ray tu sio haram.sasa huyu bwana mokaze anataka kutuambia kwa vile ina faida basi tuitumie katika faida.

Hizo faida ni zipi?

Basi na pombe nadhani kwa vile ina faida basi atatuambia halali huyu.

Jamaa anamaneno ya ajabu sana huyu.
Binafsi nilianza kumshangaa pale alipoanza kwa kunipachika jina "answari sunna" lakini nikamfahamisha kuwa mimi ni Muislam.

Akaendelea kunishangaza zaidi alipokuwa anasema kuna "sihr" nzuri. Ndiyo nilipomwambia anioneshe kwenye Qur'an wapi neno sihr linatumika kwa maana nyingine zaidi ya uchawi. Ikashindikana.

Nimefurahi kuwa ndugu yetu Mokaze ameuchamgamsha sana uzi na ametufanya tufunguke kiasi. Natamani arudi tena lakini si kwa hili la sihr kwa sasa.

Hakika kila ikhtilafu huzidisha ilm na maarifa.
 
Kwa jinsi watu wengi wanavyo kufuatilia
Na hiyo ni kutokana uwezo wako wa kupambanua mambo

Ushauri wangu ungejikita kwenye kuelimisha na kujibu hoja za msingi
Sio kila anaekubwekea unamjibu

Kiukweli we una nafasi kubwa sana hapa jamiiforums
Zipuuzie hoja kila anaekuchokoza nje ya mada
Mwisho ningependa unifahamishe
Kama una group la whatsaApp.
Mimi ni Muislam.
 
Kwa jinsi watu wengi wanavyo kufuatilia
Na hiyo ni kutokana uwezo wako wa kupambanua mambo

Ushauri wangu ungejikita kwenye kuelimisha na kujibu hoja za msingi
Sio kila anaekubwekea unamjibu

Kiukweli we una nafasi kubwa sana hapa jamiiforums
Zipuuzie hoja kila anaekuchokoza nje ya mada
Mwisho ningependa unifahamishe
Kama una group la whatsaApp.
Ahsante sana kwa ushauri na kunizindua. Nitazingatia.

Sina group la WhatsApp zaidi ya lile la familia yangu tu.

Shukran sana. Nimekuelewa.
 
Binafsi nilianza kumshangaa pale alipoanza kwa kunipachika jina "answari sunna" lakini nikamfahamisha kuwa mimi ni Muislam.

Akaendelea kunishangaza zaidi alipokuwa anasema kuna "sihr" nzuri. Ndiyo nilipomwambia anioneshe kwenye Qur'an wapi neno sihr linatumika kwa maana nyingine zaidi ya uchawi. Ikashindikana.

Nimefurahi kuwa ndugu yetu Mokaze ameuchamgamsha sana uzi na ametufanya tufunguke kiasi. Natamani arudi tena lakini si kwa hili la sihr kwa sasa.

Hakika kila ikhtilafu huzidisha ilm na maarifa.



Mark your bottom line👇🏻

"Hakika kila ikhitilafu huzidisha elimu na maarifa"

👆🏻Umekiri kuwa Elimu yako na maarifa yako yameongezeka, angalau umekuwa miongoni mwa waliokiri hadharani wengine hawewezi kukiri ukweli huu.
 
Mark your bottom line👇🏻

"Hakika kila ikhitilafu huzidisha elimu na maarifa"

👆🏻Umekiri kuwa Elimu yako na maarifa yako yameongezeka, angalau umekuwa miongoni mwa waliokiri hadharani wengine hawewezi kukiri ukweli huu.
Kweli, imenibidi kuchimbua maana ya neno sihr na sikukuta maana nyingine njema kwa neno hilo.

Natumai na wengi wamefaidika.
 
Kweli, imenibidi kuchimbua maana ya neno sihr na sikukuta maana nyingine njema kwa neno hilo.

Natumai na wengi wamefaidika.



Haya, toa tafsiri ya hiyo sentensi ya kiarabu maana wewe ume "ilimit" akili yako na unataka wengine nao wawe kama wewe!!

Unashikilia vitu ambavyo huna elimu navyo!!.

سحر الفضة على ذهب
Neno "sihr" hapo limetumika, toa tafsiri hapo, na uniambie Waarabu wanapotamka maneno hayo huwa wanamaanisha nini???🤔🤔🤔

Unashikilia tu sihr ni uchawi na kwamba ni kitu kibaya, ndiyo lakini hiyo ni kulingana na matumizi yake, ukiitumia kwa njia mbaya kama wale wachawi wa Musa (as) kupinga haki hapo ndipo inakuwa ni kitu kibaya, wewe usiidhulumu nafsi na akili yako kwenye "negativity" tu, angalia pia na "positivity".

Chukuwa mfano wa kisu, katika "negativity", kisu kinaweza kutumika katika mauaji lakini katika "positivity" kisu tunakitumia katika kazi nyingi za manufaa, huelewi hapo??, au unataka utuaminishe kuwa kisu ni kibaya tu kwa sababu kimetumika kwenye mauaji!!!,

Mimi ninataka uiangalie "sihr" katika njia hiyo kama ya matumizi ya kisu, sihr ni zana kama kilivyo kisu na siyo kitendo kama vile zinaa au wizi.

"Sihr" ni SCIENCE ya kuficha uhalisia wa kitu na inafafanuliwa kisayansi, katika zama zile za nabii Musa (as) ilikuwa ni vigumu kuelezea "the phenomenon scientifically." Ndiyo ninasema kutokana na ule msingi wa Sihr (yaani kufunika uhalisia wa kitu) watu tunaweza kupata FAIDA kwayo.

Leo kuna ndege za kivita (fighter-jet), kuyokana na elimu ya sayansi zinayo sifa ya kutoonwa na radar (steathy), lakini magari na vifaa vingine vya kijeshi vinaonekana bila kizuizi, sasa, mfano, kama elimu ya sihr ikitumika huoni kama itasaidia??, na hapa kuna mifano kadhaa ni nafasi ya wanasayansi kutafiti.

Na hapa katika tafiti ndipo utaona tofauti kati ya sisi Waafrika/waarabu na Wazungu, mfano Wazungu wanasema Inzi anaeneza maradhi lakini Mtume (saw) alisema Inzi anapodondokea katika kinywaji chako umdidimize halafu ndipo umtoe na kumtupa kwani bawa lake moja limebeba maradhi na bawa jingine limebeba dawa---hapo Mtukufu mtume anatutaka tusiangalie "negativity" tu bali tuangalie pia "positivity" kuhusu Inzi,na leo wanasayansi/Wazungu wanaifanyia utafiti hiyo kauli ya mtume (saw) juu ya faida ya Inzi (positivity), Sisi waislamu/wanasayansi tumekaa tu kazi kupiga DOMO, tumewaachia wasiowaislamu wakifanya tafiti juu ya kauli za mtume wetu (saw).na huenda wakatunukiwa zawadi ya Nobel.

Qur'an ni kitabu, pamoja na nasaha na maonyo, kimejaa elimu ya sayansi, zingine ziko wazi na zingine zipo katika "fundamental level".

HITIMISHO:-

" It is through a use, one can determine pros and cons of a thing "
 
هذا بهتان عظيم

Kabla hatujaendelea niulize kwanza


Bwana mokaze unaweza kutuonyesha sehemu katika Qurani palipotumia nebo sihr kwa maana ingine nzuri ambayo sio maana ile ya uchawi?
Haya, toa tafsiri ya hiyo sentensi ya kiarabu maana wewe ume "ilimit" akili yako na unataka wengine nao wawe kama wewe!!

Unashikilia vitu ambavyo huna elimu navyo!!.

سحر الفضة على ذهب
Neno "sihr" hapo limetumika, toa tafsiri hapo, na uniambie Waarabu wanapotamka maneno hayo huwa wanamaanisha nini???

Unashikilia tu sihr ni uchawi na kwamba ni kitu kibaya, ndiyo lakini hiyo ni kulingana na matumizi yake, ukiitumia kwa njia mbaya kama wale wachawi wa Musa (as) kupinga haki hapo ndipo inakuwa ni kitu kibaya, wewe usiidhulumu nafsi na akili yako kwenye "negativity" tu, angalia pia na "positivity".

Chukuwa mfano wa kisu, katika "negativity", kisu kinaweza kutumika katika mauaji lakini katika "positivity" kisu tunakitumia katika kazi nyingi za manufaa, huelewi hapo??, au unataka utuaminishe kuwa kisu ni kibaya tu kwa sababu kimetumika kwenye mauaji!!!,

Mimi ninataka uiangalie "sihr" katika njia hiyo kama ya matumizi ya kisu, sihr ni zana kama kilivyo kisu na siyo kitendo kama vile zinaa au wizi.

"Sihr" ni SCIENCE ya kuficha uhalisia wa kitu na inafafanuliwa kisayansi, katika zama zile za nabii Musa (as) ilikuwa ni vigumu kuelezea "the phenomenon scientifically." Ndiyo ninasema kutokana na ule msingi wa Sihr (yaani kufunika uhalisia wa kitu) watu tunaweza kupata FAIDA kwayo.

Leo kuna ndege za kivita (fighter-jet), kuyokana na elimu ya sayansi zinayo sifa ya kutoonwa na radar (steathy), lakini magari na vifaa vingine vya kijeshi vinaonekana bila kizuizi, sasa, mfano, kama elimu ya sihr ikitumika huoni kama itasaidia??, na hapa kuna mifano kadhaa ni nafasi ya wanasayansi kutafiti.

Na hapa katika tafiti ndipo utaona tofauti kati ya sisi Waafrika/waarabu na Wazungu, mfano Wazungu wanasema Inzi anaeneza maradhi lakini Mtume (saw) alisema Inzi anapodondokea katika kinywaji chako umdidimize halafu ndipo umtoe na kumtupa kwani bawa lake moja limebeba maradhi na bawa jingine limebeba dawa---hapo Mtukufu mtume anatutaka tusiangalie "negativity" tu bali tuangalie pia "positivity" kuhusu Inzi,na leo wanasayansi/Wazungu wanaifanyia utafiti hiyo kauli ya mtume (saw) juu ya faida ya Inzi (positivity), Sisi waislamu/wanasayansi tumekaa tu kazi kupiga DOMO, tumewaachia wasiowaislamu wakifanya tafiti juu ya kauli za mtume wetu (saw).na huenda wakatunukiwa zawadi ya Nobel.

Qur'an ni kitabu, pamoja na nasaha na maonyo, kimejaa elimu ya sayansi, zingine ziko wazi na zingine zipo katika "fundamental level".

HITIMISHO:-

" It is through a use, one can determine pros and cons of a thing "
Mafundisho ya waislamu tunatoa vyanzo katika Qurani sasa hyo Qurani imefasiri neno sihr kwa maana gani?

Jibu swali usianze mizunguko ya kudai watu wamekuelewa..
 
Haya, toa tafsiri ya hiyo sentensi ya kiarabu maana wewe ume "ilimit" akili yako na unataka wengine nao wawe kama wewe!!

Unashikilia vitu ambavyo huna elimu navyo!!.

سحر الفضة على ذهب
Neno "sihr" hapo limetumika, toa tafsiri hapo, na uniambie Waarabu wanapotamka maneno hayo huwa wanamaanisha nini???🤔🤔🤔

Unashikilia tu sihr ni uchawi na kwamba ni kitu kibaya, ndiyo lakini hiyo ni kulingana na matumizi yake, ukiitumia kwa njia mbaya kama wale wachawi wa Musa (as) kupinga haki hapo ndipo inakuwa ni kitu kibaya, wewe usiidhulumu nafsi na akili yako kwenye "negativity" tu, angalia pia na "positivity".

Chukuwa mfano wa kisu, katika "negativity", kisu kinaweza kutumika katika mauaji lakini katika "positivity" kisu tunakitumia katika kazi nyingi za manufaa, huelewi hapo??, au unataka utuaminishe kuwa kisu ni kibaya tu kwa sababu kimetumika kwenye mauaji!!!,

Mimi ninataka uiangalie "sihr" katika njia hiyo kama ya matumizi ya kisu, sihr ni zana kama kilivyo kisu na siyo kitendo kama vile zinaa au wizi.

"Sihr" ni SCIENCE ya kuficha uhalisia wa kitu na inafafanuliwa kisayansi, katika zama zile za nabii Musa (as) ilikuwa ni vigumu kuelezea "the phenomenon scientifically." Ndiyo ninasema kutokana na ule msingi wa Sihr (yaani kufunika uhalisia wa kitu) watu tunaweza kupata FAIDA kwayo.

Leo kuna ndege za kivita (fighter-jet), kuyokana na elimu ya sayansi zinayo sifa ya kutoonwa na radar (steathy), lakini magari na vifaa vingine vya kijeshi vinaonekana bila kizuizi, sasa, mfano, kama elimu ya sihr ikitumika huoni kama itasaidia??, na hapa kuna mifano kadhaa ni nafasi ya wanasayansi kutafiti.

Na hapa katika tafiti ndipo utaona tofauti kati ya sisi Waafrika/waarabu na Wazungu, mfano Wazungu wanasema Inzi anaeneza maradhi lakini Mtume (saw) alisema Inzi anapodondokea katika kinywaji chako umdidimize halafu ndipo umtoe na kumtupa kwani bawa lake moja limebeba maradhi na bawa jingine limebeba dawa---hapo Mtukufu mtume anatutaka tusiangalie "negativity" tu bali tuangalie pia "positivity" kuhusu Inzi,na leo wanasayansi/Wazungu wanaifanyia utafiti hiyo kauli ya mtume (saw) juu ya faida ya Inzi (positivity), Sisi waislamu/wanasayansi tumekaa tu kazi kupiga DOMO, tumewaachia wasiowaislamu wakifanya tafiti juu ya kauli za mtume wetu (saw).na huenda wakatunukiwa zawadi ya Nobel.

Qur'an ni kitabu, pamoja na nasaha na maonyo, kimejaa elimu ya sayansi, zingine ziko wazi na zingine zipo katika "fundamental level".

HITIMISHO:-

" It is through a use, one can determine pros and cons of a thing "
Naona Kiarabu kinakupiga chenga. Naamini zingine zote porojo lakini kiini ni hilo neno ulilolileta kwa Kiarabu. Kwa kuwa sikutaka kulipa jibu langu binafsi nikafanya hivi...

Nakushauri na wewe fanya kama nilivyofanya mimi, kisha uje kujibu umepata tafsiri ipi?

Hilo neno nimelitia kwenye google translate, ambayo haihusiki na mjadala wetu tena ni "automatic" imeleta jibu hili:

sahar alfidat ealaa dhahab...

More
Arabic – detected
The magic of silver on gold
سحر الفضة على ذهب

Na nilipobadili lugha Kiswahili ikaja hii:

Uchawi wa fedha juu ya dhahabu

Tafsiri yangu binafsi ingekuwa hivi... Uchawi wa fedha kuwa dhahabu.

Sasa hapo kuna mjadala zaidi kuhusu hilo?

Link: google translate - Google Search
 
هذا بهتان عظيم

Kabla hatujaendelea niulize kwanza


Bwana mokaze unaweza kutuonyesha sehemu katika Qurani palipotumia nebo sihr kwa maana ingine nzuri ambayo sio maana ile ya uchawi?Mafundisho ya waislamu tunatoa vyanzo katika Qurani sasa hyo Qurani imefasiri neno sihr kwa maana gani?

Jibu swali usianze mizunguko ya kudai watu wamekuelewa..
Hata hilo neno aliloleta limeleta majibu yanayompinga kutoka google translate.
 
Back
Top Bottom