Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,624
- Thread starter
- #201
Hii aya imeeleza wazi kabisa kwamba hao walikuwa wanawaambia watu SISI NI MTIHANI,MSIKUFURU kwa maana msijifunze uchawi ambao ni ukafiri.Na Wewe wapi imeandikwa sihr ni haramu ??!!,
Ni suala la "common sense", kwamba kile kitu ambacho hakijatajwa kwamba ni haramu au halali basi ni matumizi yake ndiyo yata determine uharamu wake au uhalali wake, yaani ni matumizi katia kipindi hicho ndiyo yanafanya kionekane "haramu" au "halali", zingatia sihr kimsingi ni "art" ya kufanya kitu kionekane "sivyo ndivyo" na art hiyo watu wanazaliwa nayo au wanajifunza mfano wacheza MAZINGAOMBWE.
واتبعوا ما تتلو الشياطين على ملك سليمان وما كفر سليمان ولكن الشياطين كفروا يعلمون الناس السحر وما أنزل على الملكين ببابل هاروت وماروت وما يعلمان من أحد حتى يقولا إنما نحن فتنة فلا تكفر فيتعلمون منهما ما يفرقون به بين المرء وزوجه وما هم بضارين به من أحد إلا بإذن الله ويتعلمون ما يضرهم ولا ينفعهم ولقد علموا لمن اشتراه ما له في الآخرة من خلاق ولبئس ما شروا به أنفسهم لو كانوا يعلمون
[ AL - BAQARA - 102 ]
Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.
Haya tuonyeshe kwenye Qurani namna ambavyo uchawi umetumika vizurii wapi???
