Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Ulamaa gani alosema kuna uchawi mzuri?

Hata ukisema pombe tukitumia vizuri inafaa tukuache tu kwa kutumia mlango wa ikhtilaafu sio?

Wewe hujafikia darja ya kutetea mlango wa ikhtilaafu kwa sababu hujafikia darja ya kuwa Aalim hata robo,sasa unapozungumza lazima uwe na dalili hapa.

Hao ulamaa wenyewe wakitofautiana zinaangaliwa dalili zikoje kisha anafatwa mwenye dalili.

Wewe jambo ulilodai na kulitetea ni jambo la KUFRU kabisa eti kuna uchawi mzuriwakati Qurani inaeleza wazi kwamba uchawi ni ukafiri wa wazi.

Wewe unasema upo uchawi mzuri?

Wapi Qurani imesema kuna uchawi mzuri?



Wewe unataka kila kitu kiandikwe katika Qur'an!! sasa ni Wapi katika Qur'an imesemwa kwamba ukiikanyaga kwa mguu ni dhambi??, ingawa sote tunajua kufanya hivyo ni dhambi.Ni suala la kutumia akili na hiyo ndiyo kazi ya akili na siyo "cramming"

Maana yangu ni kwamba tumia akili kutafakari aya za Qur'ani siyo kusoma tu kama kasuku.


Ninaposema maulamaa wanatofautiana sikuwa na maana katika "Sihr' (kufanya kitu kionekane sivyo ndivyo ama kwa ubaya au wema), baliv katika masuala kadhaa ya kiimani.
 
Wewe unataka kila kitu kiandikwe katika Qur'an!! sasa ni Wapi katika Qur'an imesemwa kwamba ukiikanyaga kwa mguu ni dhambi??, ingawa sote tunajua kufanya hivyo ni dhambi.Ni suala la kutumia akili na hiyo ndiyo kazi ya akili na siyo "cramming"

Maana yangu ni kwamba tumia akili kutafakari aya za Qur'ani siyo kusoma tu kama kasuku.


Ninaposema maulamaa wanatofautiana sikuwa na maana katika "Sihr' (kufanya kitu kionekane sivyo ndivyo ama kwa ubaya au wema), baliv katika masuala kadhaa ya kiimani.
Sasa katika jambo la sihri unaletaje mambo ya ulamaa kutofautiana,au ndo katika mtindo wako wa kutoka nje ya mada?

Hyo Qurani kuikanyaga kwa mguu wala hakuhudiani na uchaawi nzuri.

Suala la uchawi limetajwa kwenye Qurani kwamba ni kufru,wewe unatolea mifano mambo ambayo hata hayakutajwa na Qurani,una akili kweli kadiani wewe?

Qurani inathibitisha wazi kwamba uchawi ni dhambi ya ukafiri wewe unatolea mifano ambayo haipo ndani ya Wurani.

Ututajie jambo gani ambalo limetajwa wazi kwenye Qurani ni dhambi alafu ulamaa wakatumia akili wakasema kinyume chaki baada ya huo uwazi wa Qurani?
 
Wewe ai ulimwambia alete aya yote na sio vipande vipande?

Kaleta sasa unahamia kwinginee,sasa hata akikifanya unachokitaka utahamia kwingine tuu.

Wewe eleza hoja yako ichambuliwe hapa na sio ukiambiwa hiki unaleta hiki na kile baada ya kukiruka cha kwanza.

Aya zinajieleza wazi kwanza,makusudio ya aya yanajieleza na aya yenyewe kwanza,au wewe unataka kusema maana yake hizo aya ni zipi kwanza?


Mimi nilimwambia kwamba Sihr katika hizo aya imo katika muktadha mzima wa aya zenyewe, yaani kwa Nabii Suleiman (as) wale watu mashetani waliwafundisha watu "sihr" (uongo/kuficha ukweli) juu ya mafundisho ya Nabii Suleiman, halikadhalika kwa Nabii Musa (as) wale wachawi waliyazuga macho ya watu ili waone kamba zimekuwa nyoka ili nabii Musa (as) aonekane si Nabii bali ni mchawi kama wao, yaani alitumia nguvu/elimu ya "sihr" kugeuza fimbo yake kuwa nyoka na hivyo hakuwa Nabii wa Mungu,

Katika mazingira hayo ndipo nikataka atoe ufafanuzi ni kwa jinsi gani yeye amezielewa hizo aya na si vinginevyo!!.

Mimi kwa kuzielewa hizo aya ni kwamba "Sihr" iliyotumika hapo ni kwa ajili ya kupinga haki/haki za manabii na ndiyo maana Allah akasema "sihr" yoyote ya aina hiyo haiwezi kufanikiwa na ni dhambi.

Lakini hiyo ni elimu/ujuzi ambao watu wanazaliwa nao au wanajifunza, elimu hiyo ni ule uwezo wa kubadilisha kitu kionekane sivyo ndivyo-- kama itatumika kupinga haki hiyo tunaweza sema ni uongo au udanganyifu.

Nikatoa mfano, kwamba umevamiwa na majambazi na unao uwezo wa kufanya macho ya majambazi waone mazingira mengine au waone ng'ombe wako kawa simba nk,na wakakimbia kwa hofu na ukawa salama, je hapo huoni the positive use of "sihr"??, na nimetoa mifano kadhaa ya aina hiyo lakini mmekuwa "blind folded mentally", mmekazania tu "the negative side of which like a one way traffic".

Ndiyo maana nikasema ,LET'S AGREE IN OUR DISAGREEMENT. kwa sababu tutakuwa tunarejea the same story.

Thanks,
 
Sasa katika jambo la sihri unaletaje mambo ya ulamaa kutofautiana,au ndo katika mtindo wako wa kutoka nje ya mada?

Hyo Qurani kuikanyaga kwa mguu wala hakuhudiani na uchaawi nzuri.

Suala la uchawi limetajwa kwenye Qurani kwamba ni kufru,wewe unatolea mifano mambo ambayo hata hayakutajwa na Qurani,una akili kweli kadiani wewe?

Qurani inathibitisha wazi kwamba uchawi ni dhambi ya ukafiri wewe unatolea mifano ambayo haipo ndani ya Wurani.

Ututajie jambo gani ambalo limetajwa wazi kwenye Qurani ni dhambi alafu ulamaa wakatumia akili wakasema kinyume chaki baada ya huo uwazi wa Qurani?



MKUU, 'tukubaliane kutokukubaliana", ili tuende mbele na mada zingine.

Thanks,
 
Kuna watu hadi leo hawaamini kuwa dunia ni duara, lakini tunaishi nao.
 
Sasa katika jambo la sihri unaletaje mambo ya ulamaa kutofautiana,au ndo katika mtindo wako wa kutoka nje ya mada?

Hyo Qurani kuikanyaga kwa mguu wala hakuhudiani na uchaawi nzuri.

Suala la uchawi limetajwa kwenye Qurani kwamba ni kufru,wewe unatolea mifano mambo ambayo hata hayakutajwa na Qurani,una akili kweli kadiani wewe?

Qurani inathibitisha wazi kwamba uchawi ni dhambi ya ukafiri wewe unatolea mifano ambayo haipo ndani ya Wurani.

Ututajie jambo gani ambalo limetajwa wazi kwenye Qurani ni dhambi alafu ulamaa wakatumia akili wakasema kinyume chaki baada ya huo uwazi wa Qurani?



MKUU, 'tukubaliane kutokukubaliana", ili tuende mbele na mada zingine.

Thanks,
 
Wewe unataka kila kitu kiandikwe katika Qur'an!! sasa ni Wapi katika Qur'an imesemwa kwamba ukiikanyaga kwa mguu ni dhambi??, ingawa sote tunajua kufanya hivyo ni dhambi.Ni suala la kutumia akili na hiyo ndiyo kazi ya akili na siyo "cramming"

Maana yangu ni kwamba tumia akili kutafakari aya za Qur'ani siyo kusoma tu kama kasuku.


Ninaposema maulamaa wanatofautiana sikuwa na maana katika "Sihr' (kufanya kitu kionekane sivyo ndivyo ama kwa ubaya au wema), baliv katika masuala kadhaa ya kiimani.
Hiyo tafsiri yako kwenye " brackets" ni kupotosha. Hakuna "sihr" ya "wema". " Sihr" ni uchawi na kufuru, Qur'an ipo wazi, maulamaa wapo wazi kwa hilo.

Toka tumenza mjadala wa "sihr" hujaleta dalil hata moja, iwe kutoka kwenye Qur'an au Hadith au Maulamaa yenye kukubaliana na dhanna yako potofu.
 
Madam hiyo dalili hana ndyo maana anakimbilia tukubaliane kutokubaliana ili yaishe.

Wakati kaharibu haribu hapo.


Hiyo tafsiri yako kwenye " brackets" ni kupotosha. Hakuna "sihr" ya "wema". " Sihr" ni uchawi na kufuru, Qur'an ipo wazi, maulamaa wapo wazi kwa hilo.

Toka tu!eanza mbadala wa "sihr" hujaleta dalil hata moja, iwe kutoka kwenye Qur'an au Hadith au Maulamaa yenye kukubaliana na dhanna yako potofu.
 
MKUU, 'tukubaliane kutokukubaliana", ili tuende mbele na mada zingine.

Thanks,
Huna haya mkuu,labda useme kwamba upo uchawi mzuri kwa mujibu wa matamanio yako hapo hatutakupinga kwa sababu ndivyo uonavyo.
Lakini Qurani ya Nabii muhammad aliyoteremshiwa ambayo inasema hakuna nabii baada ya muhammad alafu ikiri kuwa upo uchawi mzuri?

Mkuu kalale kwanza then uamke mana unataka kuhalalisha yaliyoharamishwa(kufru)
 
Hatuzungumzi kuamini,tunazungumza uhalisia.

Uhalisia si dunia ni duara au?

Wewe ukisema unaamini upo uchawi mzuri kwa mujibu wa hawaazako hatutaminyana,ila ukisema unaamini upo uchawi Mzuri kwa mujibu wa Qurani hapo ndo tunataka dalili sasa.

Kuna watu hadi leo hawaamini kuwa dunia ni duara, lakini tunaishi nao.
 
Huo mfano wako wa Ng'ombe kuwa simba unataka kutuonyesha kwamba uoo uchawi mzuri kama huo.kwa maana hata kama uchawi mbaya,umetajwa kuwa ni kufru katika Qurani lakini zipo faida zake pia kama hizo.

Lakini tukiangalia mfano wa pombe Qurani imekiri zipo faida za pombe kwa maana manufaa yapo,ila licha ya hivyo Qurani ikaharamisha.

Mfano wa manufaa ya pombe ni kuwa mtu anauza pombe alafu kipato chake anamsaidia mama yake na kuwalea watoto yatima,haya sio mambo makubwa katika dini ya uislamu,je sio faida za pombe hizi?

Lakini hizi faida zinaangaliwa katika uislamu kwamba pombe iwe halali?

Hizo faida ulizotaja za uchawi ni kama vile mtu anayefanya biashara haramu akawa anaitumia kumlea mama na mayatima.

Bado una ukakasi na imani yako,wewe kama sio mchawi basi ni KADIANI.
Mimi nilimwambia kwamba Sihr katika hizo aya imo katika muktadha mzima wa aya zenyewe, yaani kwa Nabii Suleiman (as) wale watu mashetani waliwafundisha watu "sihr" (uongo/kuficha ukweli) juu ya mafundisho ya Nabii Suleiman, halikadhalika kwa Nabii Musa (as) wale wachawi waliyazuga macho ya watu ili waone kamba zimekuwa nyoka ili nabii Musa (as) aonekane si Nabii bali ni mchawi kama wao, yaani alitumia nguvu/elimu ya "sihr" kugeuza fimbo yake kuwa nyoka na hivyo hakuwa Nabii wa Mungu,

Katika mazingira hayo ndipo nikataka atoe ufafanuzi ni kwa jinsi gani yeye amezielewa hizo aya na si vinginevyo!!.

Mimi kwa kuzielewa hizo aya ni kwamba "Sihr" iliyotumika hapo ni kwa ajili ya kupinga haki/haki za manabii na ndiyo maana Allah akasema "sihr" yoyote ya aina hiyo haiwezi kufanikiwa na ni dhambi.

Lakini hiyo ni elimu/ujuzi ambao watu wanazaliwa nao au wanajifunza, elimu hiyo ni ule uwezo wa kubadilisha kitu kionekane sivyo ndivyo-- kama itatumika kupinga haki hiyo tunaweza sema ni uongo au udanganyifu.

Nikatoa mfano, kwamba umevamiwa na majambazi na unao uwezo wa kufanya macho ya majambazi waone mazingira mengine au waone ng'ombe wako kawa simba nk,na wakakimbia kwa hofu na ukawa salama, je hapo huoni the positive use of "sihr"??, na nimetoa mifano kadhaa ya aina hiyo lakini mmekuwa "blind folded mentally", mmekazania tu "the negative side of which like a one way traffic".

Ndiyo maana nikasema ,LET'S AGREE IN OUR DISAGREEMENT. kwa sababu tutakuwa tunarejea the same story.

Thanks,
 
Huo mfano wako wa Ng'ombe kuwa simba unataka kutuonyesha kwamba uoo uchawi mzuri kama huo.kwa maana hata kama uchawi mbaya,umetajwa kuwa ni kufru katika Qurani lakini zipo faida zake pia kama hizo.

Lakini tukiangalia mfano wa pombe Qurani imekiri zipo faida za pombe kwa maana manufaa yapo,ila licha ya hivyo Qurani ikaharamisha.

Mfano wa manufaa ya pombe ni kuwa mtu anauza pombe alafu kipato chake anamsaidia mama yake na kuwalea watoto yatima,haya sio mambo makubwa katika dini ya uislamu,je sio faida za pombe hizi?

Lakini hizi faida zinaangaliwa katika uislamu kwamba pombe iwe halali?

Hizo faida ulizotaja za uchawi ni kama vile mtu anayefanya biashara haramu akawa anaitumia kumlea mama na mayatima.

Bado una ukakasi na imani yako,wewe kama sio mchawi basi ni KADIANI.




Sasa umeanza kunitukana mimi kadiani?!!, je umeishiwa hoja, ewe mpagani?!!

Uislamu wako ndio unaokufundisha kutukana watu??
 
Huo mfano wako wa Ng'ombe kuwa simba unataka kutuonyesha kwamba uoo uchawi mzuri kama huo.kwa maana hata kama uchawi mbaya,umetajwa kuwa ni kufru katika Qurani lakini zipo faida zake pia kama hizo.

Lakini tukiangalia mfano wa pombe Qurani imekiri zipo faida za pombe kwa maana manufaa yapo,ila licha ya hivyo Qurani ikaharamisha.

Mfano wa manufaa ya pombe ni kuwa mtu anauza pombe alafu kipato chake anamsaidia mama yake na kuwalea watoto yatima,haya sio mambo makubwa katika dini ya uislamu,je sio faida za pombe hizi?

Lakini hizi faida zinaangaliwa katika uislamu kwamba pombe iwe halali?

Hizo faida ulizotaja za uchawi ni kama vile mtu anayefanya biashara haramu akawa anaitumia kumlea mama na mayatima.

Bado una ukakasi na imani yako,wewe kama sio mchawi basi ni KADIANI.



Halafu hamuelewi mimi ninasema nini na hata hamuelewi Qur'an imewasemaje wale wachawi hata hamuelewi uchawi ulioelezwa na Qur'an nyinyi mnachanganya "black magic" na "Sihr", Black magic ni uchawi wa kuua, kuwanga,tunguli, ni ushirikina na ni dhambi kubwa.

"Sihr" ni art ya kukifanya kitu kionekane sivyo ndivyo na inapotumika kuficha haki hapo inaitwa UONGO, UDANGANYIFU, elewa ewe mpagani, unakariri Qur'an??, unatakiwa ui study.
 
Kwani kadiani ni tusi?

Uchawi ambao unautetea ni tusi?
Sasa umeanza kunitukana mimi kadiani?!!, je umeishiwa hoja, ewe mpagani?!!

Uislamu wako ndio unaokufundisha kutukana watu??
 
Halafu hamuelewi mimi ninasema nini na hata hamuelewi Qur'an imewasemaje wale wachawi hata hamuelewi uchawi ulioelezwa na Qur'an nyinyi mnachanganya "black magic" na "Sihr", Black magic ni uchawi wa kuua, kuwanga,tunguli, ni ushirikina na ni dhambi kubwa.

"Sihr" ni art ya kukifanya kitu kionekane sivyo ndivyo na inapotumika kuficha haki hapo inaitwa UONGO, UDANGANYIFU, elewa ewe mpagani, unakariri Qur'an??, unatakiwa ui study.
Hapa unapiga blaa blaa tuu.

Hayo unayosema yanadalili gani katika Qurani?

Mbona Qurani imeeleza kwa ujumla kwamba uchawi ni kitu kibaya na ni kufru,wewe mgawanyiko huo umeugawanya kwa mujibu wa Aya zipi katika Qurani?

Kwani Qurani imeeleza hyo black magic ni kitu gani?

Na hyo Qurani imeeleza hyo sihr ni kitu gani?
 
Hapa unapiga blaa blaa tuu.

Hayo unayosema yanadalili gani katika Qurani?

Mbona Qurani imeeleza kwa ujumla kwamba uchawi ni kitu kibaya na ni kufru,wewe mgawanyiko huo umeugawanya kwa mujibu wa Aya zipi katika Qurani?

Kwani Qurani imeeleza hyo black magic ni kitu gani?

Na hyo Qurani imeeleza hyo sihr ni kitu gani?




Wewe ni mtu wa ajabu, we unadhani Qur+an itaandika in detail kila kitu, nani angeweza kuibeba au kuisoma??.

"Sihr" kama ile ya wachawi wa musa (as) ni pysche power, kuna watu wenye uweze wa kuathiri mawazo na akili za wengine wanapotaka iwe hivyo, (the great power of mind), mtu kama huyo ukikaa naye anaweza akakuathiri vibaya na akakupoteza vibaya.---(aladhi yuwasiwasi fii sudur nnasi--) hawa watu wa aina hii ndiyo wanaofanya "sihr" ya kupoteza na kutia wasiwasi ndani ya akili za watu.

Umeonyesha kuwa pombe ni haramu, naam,ni kweli. Sasa wapi "sihr" ni haramu??
 
TAHADHARI,

Nakuomba usianze kutukana, hiyo ni TAHADHARI, kwa sababu inaonyesha domo lako ni jepesi kwa matusi.
 
Wapi sihr ni halali?
Wewe ni mtu wa ajabu, we unadhani Qur+an itaandika in detail kila kitu, nani angeweza kuibeba au kuisoma??.

"Sihr" kama ile ya wachawi wa musa (as) ni pysche power, kuna watu wenye uweze wa kuathiri mawazo na akili za wengine wanapotaka iwe hivyo, (the great power of mind), mtu kama huyo ukikaa naye anaweza akakuathiri vibaya na akakupoteza vibaya.---(aladhi yuwasiwasi fii sudur nnasi--) hawa watu wa aina hii ndiyo wanaofanya "sihr" ya kupoteza na kutia wasiwasi ndani ya akili za watu.

Umeonyesha kuwa pombe ni haramu, naam,ni kweli. Sasa wapi "sihr" ni haramu??
 
Wapi sihr ni halali?



Na Wewe wapi imeandikwa sihr ni haramu ??!!,

Ni suala la "common sense", kwamba kile kitu ambacho hakijatajwa kwamba ni haramu au halali basi ni matumizi yake ndiyo yata determine uharamu wake au uhalali wake, yaani ni matumizi katia kipindi hicho ndiyo yanafanya kionekane "haramu" au "halali", zingatia sihr kimsingi ni "art" ya kufanya kitu kionekane "sivyo ndivyo" na art hiyo watu wanazaliwa nayo au wanajifunza mfano wacheza MAZINGAOMBWE.
 
Back
Top Bottom