FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Mimi ni Muislam.Nimegundua wewe ni "Answar sunna"😁😁😁😁
Mimi ni Muislam.Nimegundua wewe ni "Answar sunna"😁😁😁😁
Hakuna. Ikishakuwa uchawi basi hauwezi kutumika kwa uzuri.Kwa hiyo. Bwana mokaze kuna uchawi ukiutumia vizuri hakuna tatizo?
Hahahaha nimefurahi kusikia na mimi nina impact fulani katika jamii.
Ahsante.
Kwa hiyo. Bwana mokaze kuna uchawi ukiutumia vizuri hakuna tatizo?
Kama umenielewa nilichoandika sidhani kama ungeuliza hilo swali, na kama ungalijua definition ya uchawi "sihr" nadhani usinge uliza hilo swali kabisa.
Nadhani aya hiyo ya 17:85 ukiisoma vizuri utaona "ila kidogo tu".
Kidogo nini iliyokusudiwa kwenye hiyo aya? Mimi nasema ni "ilm ruh", wapo wachache na kwa uchache waliojaaliwa ilm hiyo.
Dogo umeingia cha kike. Katika watu wasio na busara humu anaongoza Mshana Jr na kufuatiliwa kwa karibu sana na shemeji yake FAIZAFOXY





Nikikuonaga tu hapa hua namkumbukaga #MalariaSugu, aliewahi kua member hapa JFMarahaba. Ahsante.
Nilipoongelea ilm ruh sikumaanisha "reincarnation" ambayo kwa uhakika ni dhana potofu.
Nilipoongelea ilm ruh pia sikumaanisha uumbaji (creation) Bali ni uhai ambao "existing".
Ningependa kama ulinielewa hivyo basi ondoa shaka. Mimi naweza kuongelea "incarnation" ambayo dalili zake zipo wazi ndani ya Qur'an...
Qur'an 2:28
How can you disbelieve in Allah when you were lifeless and He brought you to life; then He will cause you to die, then He will bring you [back] to life, and then to Him you will be returned.
Hiyo ni "incarnation" na siyo "reincarnation" kama sintofahamu iliyojitokeza.
Amma kuhusu ilm ruh na uchache wake pia nilikusudia kama ilivyo dalil ya Qur'an...
Quran 17:85
And they ask you, [O Muhammad], about the soul. Say, "The soul is of the affair of my Lord. And mankind have not been given of knowledge except a little."
Kama uonavyo katika aya hiyo kuwa kuna wachache na kwa uchache waliopewa ilm ya roho.
Kwanza nigependa hayo yaeleweke ili tuondoe utata wowote kama upo.
Mkuu, Faiza. Samahani Cm iliishiwa moto.
Yakupasa ukumbuke kauli yako pale uliposema;-
" katika ilm ya roho jee kuna uwezekano wa mtu kuitoa roho au yeye au ya mwingine kwenye kiwiliwili kimoja na kuingiza kwenye kiwiliwili kingine amma cha binadamu au hata cha chui (for the sake of uzi na swali namba mbili) na kukitumia kiwiliwili kile kwa matakwa yake?. Binafsi nasema upo uwezekano huo""
Hiyo ni kauli yako, mimi ninasema haikuwezekana,haiwezekani na haitawezekana na kama inawezekana lete mfano hai ili uthibitishe madai yako.
Umenukuu aya ya Qur'an kutetea hoja yako hiyo, nadhani hujaitafakari vizuri hiyo aya, aya inataja matukio manne ya maisha ya mwanadamu, inaanza:-
1) lifeless, 2) brought to life, 3) cause to die, 4) Brought back to life.
Ufafanuzi:- 1) Life less ni hali kabla mtu hajaumbwa, 2) brought to life ni pale ambapo mtu kisha umbwa kama mimi na wewe sasa hivi.3) Cause to die ni kwamba baadaye tutakufa, 4) brought back to life ni kwamba baada ya kufa tutafufuliwa siku ya kiyama. Ndiyo maana ya hiyo aya na wala siyo hiyo dhana ya "incarnation".
Umetoa aya nyingine (17:85) kuzungumzia juu ya ilm ya roho, katika hii aya nimeona watu wengi sana wakikosea katika kuifahamu, aya inasema hivi
" Na wanakuuliza kuhusu roho sema: Roho ni katika mambo ya mola wangu. Nanyi hamkupewa katika elimu ila kidogo tu."
Angalia hayo maneno-""------ Nanyi hamkupewa katika elimu ila kidogo", neno "Nanyi" linasimama badala ya wale waliomuuliza mtume mtukufu (saw) kuhusu elimu ya roho ndipo Allah anamwambia mtume (saw) awaambie hao kwamba elimu yao juu ya roho ni ndogo na hawanabudi kumfuata mtume (saw) ili awafundishe elimu ya roho iliyokuwa KUBWA zaidi.
Katika manabii wote ni mtukufuvmtume (saw) ndiye aliyekuwa na elimu kubwa kabisa ya roho.
Soma,somatena na rudia kusoma hiyo aya na tafakari inshallah utaona huu ukweli ninao kueleza.
Unasubili nini nyangau ww umepona mbavu? Au nimuite Tena?Wasomaji tupo tunasubiri mdadavuo!
Kwa hiyo. Bwana mokaze kuna uchawi ukiutumia vizuri hakuna tatizo?
Kaama umegundua hivyo ndiyo nini sasa?
Ilmu ya roho ni ipi kwa mujibu wa ufafanuzi eako mkuu?
Nikikuonaga tu hapa hua namkumbukaga #MalariaSugu, aliewahi kua member hapa JF
Sihr haina positive side.Mkuu Safuha,ningependa uelewe hivi, chochote tulichoumbiwa wanadamu kinayofaida na ipo aya ya Qur'an kuthibitisha hilo (sikumbuki ipo sura gani) .
Ni matumizi ya mwanadamu ndiyo hufanya kitu kikawa kibaya au kizuri, mfano kusema uongo ni dhambi, lakini anapokuja jambazi kwako na akakuuliza mahali ulipoweka fedha je utamuambia ukweli au uongo ela zilipo ?? na wakati ulikuwa unayo nafasi ya kumdanganya ili asichukue ela!!, na hivyo hivyo "sihr" kama itatumika kwa njia ya manufaa hiyo siyo dhambi na ndiyo maana nikasema utafiti ufanywe ili kuona faida ya "sihr" kwa watu, mfano sihr inaweza kutumika kama "Warfare strategy" dhidi ya maadui- kuwapoteza maadui nk,
Katika Qur'an Sihr inatajwa kwa ubaya sababu ni kwamba wale watu kama mfano, wachawi wa Musa (as) walitumia uchawi kupinga haki na hayo ndiyo matumizi mabaya ya "elimu ya Sihr" na elimu hiyo ikitumika katika njia hiyo elimu yote inakuwa haina maana.
Kumbuka kuna sihr na elimu ya kutengeneza sihr.
Mifano mingine ya kukufanya uelewe somo; nguvu za nyuklia zinaweza kutumika kwa ajili ya mabomu hapo hapo zinaweza kutumika kuzalishia umeme, Gongo inaweza kutumika kunywa hapohapo inaweza kutumika kama nishati (fuel), Cocaine inatumika kwa kubuia lakini inapotumika katika prescribed dosage itamsaidia kichaa kama dawa na Bangi ni hivyo hivyo--- kwa msingi huo ni matumizi ndiyo focus ya ubaya au uzuri wa kitu.
Mfano wa mwisho,Nguruwe analiwa hapohapo Viungo vya nguruwe vimethibitika kuwa na nafasi kubwa kabisa kuwa viungo mbadala ya viungo vya binadamu-- katika wanyama wote ni Nguruwe pekee ndiyo mwenye nafasi hiyo, Macho, mafigo, maini nk vinayo nafasi kubwa "to be transplanted" kwa binadamu.
Sasa mkuu, unapoangalia negative side of a matter do not forget also kuangalia its positive side.
Naona mwezi umeandama mapema.. Nilitaraji ukichaa wako utakurudi mwakani mwezi wa pili... Kunywa dozi mapema kabla hatujakurudisha LutindiUnasubili nini nyangau ww umepona mbavu? Au nimuite Tena?
Sihr haina positive side.
Nitarudi.