Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Maswali yako ni "closed questions".

Sema tu unataka ufafanuzi upi. Nitajitahid.
Yaaani ni hivi.

Mfano mtu awe hataki kujihusisha na siasa kwa maana asiende kupiga kura kwa mgombea yeyote,yaani yeye akishapita kiongoz yeyote ndio wake.
Akawa hana uhudhuriaji wa kwenye kampeni yeye yuko na mambo yake.
Hana habari za siasa kabisaa hana chamaaa.

Jee mtu kuishi hivi inaweza kumletea madhara katika maisha yake ya kawaida?
 
Yaaani ni hivi.

Mfano mtu awe hataki kujihusisha na siasa kwa maana asiende kupiga kura kwa mgombea yeyote,yaani yeye akishapita kiongoz yeyote ndio wake.
Akawa hana uhudhuriaji wa kwenye kampeni yeye yuko na mambo yake.
Hana habari za siasa kabisaa hana chamaaa.

Jee mtu kuishi hivi inaweza kumletea madhara katika maisha yake ya kawaida?
Haina madhara yoyote na nijuavyo hao ndiyo wengi zaidi kuliko wanaojihusisha na siasa.
 
Wakuu huu ni uzi maalumu kwa hawa wakongwe wawili ambao nimekuwa nikifatilia maandiko yao.ni

Mshana Jr na FaizaFoxy.

Leo naomba wanishauri katika mambo yafuatayo na watoe maneno yao ambayo yanawafanya wawe ni watu wenye kuheshimiwa.

Naomba ushauri kwenye mambo haya hapa.

1.jee naweza kuachana na siasa nikafanya mambo yangu yakaenda pasi na kuwa na chama chochote yaani nikaachana na siasa moja kwa moja?
Je inawezekana kwa tanzania ya leo?

2. Je kuna uwezekano wa mtu mchawi kujigeuza paka au mbwa au kitu kingine mbali na binadamu?
Je upo uwezekano huo?


3.je inawezekana kwangu kumuacha mwanamke kwa sababu ya ujeuri wake na kutokuwa na maelewano mazuri na mama yangu mzazi?

Wakubwa zangu wawili nahitaji busara zenu kwa upana kabisa mdadavue. Huu uzi ni kwa ajili yenu.

Heshima kwenu wakuu.
Ungewainbobo we mzee vipi?!!
 
Yaaani ni hivi.

Mfano mtu awe hataki kujihusisha na siasa kwa maana asiende kupiga kura kwa mgombea yeyote,yaani yeye akishapita kiongoz yeyote ndio wake.
Akawa hana uhudhuriaji wa kwenye kampeni yeye yuko na mambo yake.
Hana habari za siasa kabisaa hana chamaaa.

Jee mtu kuishi hivi inaweza kumletea madhara katika maisha yake ya kawaida?
Hakuna madhara,
Tupo wengi tunaishi bila kushabikia chama chochote cha siasa.
 
Back
Top Bottom