FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Maswali yako ni "closed questions".Nilikuwa nahitaji ufafanuzi na busara zenu wazee wetu.
Nilitegemea utaandika kwa urefu kidogo.
Sema tu unataka ufafanuzi upi. Nitajitahid.
Maswali yako ni "closed questions".Nilikuwa nahitaji ufafanuzi na busara zenu wazee wetu.
Nilitegemea utaandika kwa urefu kidogo.
Yaaani ni hivi.Maswali yako ni "closed questions".
Sema tu unataka ufafanuzi upi. Nitajitahid.
Una ujuzi wowote wa uchawi?Siamini uchawi lakini nafahamu upo.
HahahahaaNa sisi ambao sio wakongwe lakini tuna busara, tuna comment hapa hapa?
Nafahamu taratibu za Ruqyah.Una ujuzi wowote wa uchawi?
Haina madhara yoyote na nijuavyo hao ndiyo wengi zaidi kuliko wanaojihusisha na siasa.Yaaani ni hivi.
Mfano mtu awe hataki kujihusisha na siasa kwa maana asiende kupiga kura kwa mgombea yeyote,yaani yeye akishapita kiongoz yeyote ndio wake.
Akawa hana uhudhuriaji wa kwenye kampeni yeye yuko na mambo yake.
Hana habari za siasa kabisaa hana chamaaa.
Jee mtu kuishi hivi inaweza kumletea madhara katika maisha yake ya kawaida?
1) Inawezekana.
2) Inawezekana.
3) Inawezekana.
Na sisi ambao sio wakongwe lakini tuna busara, tuna comment hapa hapa?
Ungewainbobo we mzee vipi?!!Wakuu huu ni uzi maalumu kwa hawa wakongwe wawili ambao nimekuwa nikifatilia maandiko yao.ni
Mshana Jr na FaizaFoxy.
Leo naomba wanishauri katika mambo yafuatayo na watoe maneno yao ambayo yanawafanya wawe ni watu wenye kuheshimiwa.
Naomba ushauri kwenye mambo haya hapa.
1.jee naweza kuachana na siasa nikafanya mambo yangu yakaenda pasi na kuwa na chama chochote yaani nikaachana na siasa moja kwa moja?
Je inawezekana kwa tanzania ya leo?
2. Je kuna uwezekano wa mtu mchawi kujigeuza paka au mbwa au kitu kingine mbali na binadamu?
Je upo uwezekano huo?
3.je inawezekana kwangu kumuacha mwanamke kwa sababu ya ujeuri wake na kutokuwa na maelewano mazuri na mama yangu mzazi?
Wakubwa zangu wawili nahitaji busara zenu kwa upana kabisa mdadavue. Huu uzi ni kwa ajili yenu.
Heshima kwenu wakuu.
Nawewee ungekuja inbobo we vepe?Ungewainbobo we mzee vipi?!!
Nakujaje inbobo wkt wewe umetangaza hadharani dingilaiNawewee ungekuja inbobo we vepe?

Nakujaje inbobo wkt wewe umetangaza hadharani dingilai![]()
![]()
Hakuna madhara,Yaaani ni hivi.
Mfano mtu awe hataki kujihusisha na siasa kwa maana asiende kupiga kura kwa mgombea yeyote,yaani yeye akishapita kiongoz yeyote ndio wake.
Akawa hana uhudhuriaji wa kwenye kampeni yeye yuko na mambo yake.
Hana habari za siasa kabisaa hana chamaaa.
Jee mtu kuishi hivi inaweza kumletea madhara katika maisha yake ya kawaida?
Hahaha nimefurahi nimekua sababu ya kicheko chako... wow!Umenichekesha sana.
Hahaha nimefurahi nimekua sababu ya kicheko chako... wow!
My God, hapo nitakuletea Joti au Tausi.Acha hizo, nisije kukuomba uwe unanichekesha kila siku.
So far asante.
My God, hapo nitakuletea Joti au Tausi.