Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,624
You are very wrong...faiza namjua vizuri...nimemprovoke...ili aandike aya zake...maana kama umesoma hapo juu vizuri....alikuwa hataki kuandika mambo mengi...Huo ni uonezi wa waziwazi. Nimeshaona michango mingi sana ya Faizafoxy yenye maana japo kuna wakati sikubaliani naye lakini ni mchangiaji mzuri na mwenye ufahamu wa juu pengine kukuzidi wewe.
Usipende akubali kila kituunachokipenda wewe sababu ni Faizafoxy na wewe ni ras Jeff
Huyo faiza...hawezagi kuandika hata.. aya moja...anajua kukosoa tu tuneno twa kiswahili...
= You areYour very wrong...faiza namjua vizuri...nimemprovoke...ili aandike aya zake...maana kama umesoma hapo juu vizuri....alikuwa hataki kuandika mambo mengi...
Kwahiyo unaprovoke watu ina maana nipo sawa na nilichokiandikaYou are very wrong...faiza namjua vizuri...nimemprovoke...ili aandike aya zake...maana kama umesoma hapo juu vizuri....alikuwa hataki kuandika mambo mengi...
Kisharekebisha= You are
Hebu kuwa na akili....umeishi form ngapi?Kwahiyo unaprovoke watu ina maana nipo sawa na nilichokiandika
Sasa huo ni uchawi wa "chuma ulete".Anilipe consultation fee nimfafanulie A to Z
Nimeishia darasa kama lako la sabaHebu kuwa na akili....umeishi form ngapi?
unajua maana ya ku-provoke mada au mjadala....!!?
Ruqyah ni uchawi? Naona umeuhusisha nao.Nafahamu taratibu za Ruqyah.
Jifunze kuandika sentence zisizo na utata ili ueleweke.Hebu kuwa na akili....umeishi form ngapi?
unajua maana ya ku-provoke mada au mjadala....!!?
Huyu MTU lnaonekana anabusara sana
Yaaani ni hivi.
Mfano mtu awe hataki kujihusisha na siasa kwa maana asiende kupiga kura kwa mgombea yeyote,yaani yeye akishapita kiongoz yeyote ndio wake.
Akawa hana uhudhuriaji wa kwenye kampeni yeye yuko na mambo yake.
Hana habari za siasa kabisaa hana chamaaa.
Jee mtu kuishi hivi inaweza kumletea madhara katika maisha yake ya kawaida?
Keep your struggle elsewhere you big fool... usijipendekeze kwangu banaNimeishia darasa kama lako la saba
Yes mkuu usijali mkuu umejibu swali lako.Hivi ndio ambavyo mimi ninaishi na kwa upande wangu huwa sioni kama kuna ambacho nimepoteza au nina poteza...
Samahani kwakujibu swali ambalo sio langu
Poa sana ndugu yangu. Napenda unisaidie kujifunza kuongea kiingereza kakaKeep your struggle elsewhere you big fool... usijipendekeze kwangu bana
Inawezekana ..Sasa huo ni uchawi wa "chuma ulete".
Yeye hataki kujifunza anataka kufahamu tu inawezekana au haiwezekani na kama inawezekana ni vipi.