Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,111
- 136,813
- Thread starter
- #181
They say love is blind, but jealousy sees too much.
Kama uliamini hawezi kukaa huko bila kufanzwa, kwa nini ulimuachia aende?
Sasa ningemfunga kamba asiende? Nilimpa ultimatum na akachagua na mimi nikaamua.
Halafu what is with this "kumegwa" terminology, ninavyojua kinachomegwa unaweza kuona kimemegwa, wewe umeona kimemegwa au kiko vile vile?
Don't worry too much about the terminology used. Mengine ni kwa ajili ya kuleta ladha na kunogesha mada.
Kama una wivu hivyo wewe ulikuwa si mtu wa kujiingiza katika uhusiano na mtu mwenye "baby father" tayari, maana napata picha in your future kutakuwa na complications zaidi katika hii threesome.
We all succumb to the green eyed monster at some point in our lives. It is human and I was no exception. If you tell me you haven't then you are a bold faced liar