Wadau inawezekana kuwa kweli dada hakumegana (hili neno silipendi just by the sound of it sounds a little bit rude) na huyo baba mtoto ila ndo hivyo inakuwa ngumu kweli Brasil kumuamini. Ukiachilia mkasa huu, hata huku kwetu uswahilini msichana akikutana na ex wake tu in good spirit and intentions labda ana shida au nini huyo mwanaume wake mpaka amuelewe inakuwa kazi, it takes extra eefforts to convince that you didnt do a thing with him hata kama you met in a public place. kwa hii case ya Brasil, mama mtoto ukiachilia alikuwa under the same roof with baba mtoto but it doesnt mean kwamba alimegana naye ingawa hisia za Brasil (and other men/people wanaojadili this thread) ziko like 80% kuwa alimegana naye.
Sasa mie nauliza in connection with this thread, kwa nini inakuwa ngumu hivyo kumuamini na rahisi sana kuconclude kuwa mpenzio kamegana na ex wake?? eti nyie wanaume mbona mwawa wagumu hivyo mpaka mtupe shida kwanza ndo mkubali??na wengine hata hawakubali kabisa na uhusiano unavunjika kwa sababu tu ya hisia ambazo saa zingine zinamislead.