Nahisi nilimegewa

Nahisi nilimegewa

Kwanza inabidi mzielewe sheria za uhamiaji za Marekani. Kama huzijui na kuzielewa ni rahisi sana kunilaani mimi na kuniona zumbukuku niliyejitakia yaliyonitokea. Jamaa alikuwa deported kutoka Marekani. Ukiwa deported kutoka Marekani unapigwa marufuku kurudi kwa miaka kadhaa, kama sijakosea (sina hiyo sheria hapa kwenye makabrasha yangu lakini inasema hivyo.)

Pili, hakumtekeleza huyo mama mtoto wake. Kwani hata baada ya kuwa deported jamaa aliendelea kumhudumia kifedha huyo mdada na hata mtoto alipozaliwa jamaa aliendelea na majukumu yake. Labda mimi sijui maana ya 'kutelekezwa' lakini sidhani hali iliyomkuta jamaa unaweza kuiita 'utelekezaji'.

Na baada ya jamaa kuwa deported mdada hakuwa tayari kuondoka na kumfuata huko alikoenda. Ndio hapo uhusiano wao ulipovunjika. Kwa hiyo siyo kwamba jamaa alimwacha mdada. Ni 'circumstance' tu ndizo zilizosababisha wasiwe pamoja. Baada ya jamaa kuwa deported akaendelea na maisha yake na akaanza kutoka na watu wengine. Mdada wangu naye akaendelea na maisha yake na ndipo alipokutana na mimi sasa.

Na nisingeweza kwenda nae. niende nae ili iweje? Hapana bana. Nina ego na mimi. Na ndio maana nikaweka bayana kuwa akienda uhusiano wetu unakufa akibaki unaendelea. Akaamua kwenda nami sikusita, nikavunja uhusiano. Sasa wengi wenu mmepuuzia uamuzi niliochukua ambao mimi nadhani ulikuwa wa kijasiri, thabiti na sahihi. Mmeng'ang'ania kusema eti kwa nini nilimwachia aende....sasa sijui mimi ningemzuiaje mtu mzima aliyekwishaamua kufanya hivyo. Mapenzi sio utumwa na unyapara, at least kwangu mimi. Ukikiuka matakwa yangu unapigwa chini na maisha yanaendelea kama kawa na hicho ndicho kilichotokea. Kwangu mimi kwenye mahusiano hakuna kulazimishana.


Narudisha kauli Mkuu!

Kwa kuwa mwanzo wewe hukujieleza namna hii!

Hivyo binafsi ulinipotosha nilielewa kuwa umetumia zaidi Uanaume wako katika kuamua hili na si mapenzi!

Ila sasa napata picha kuwa toka mwanzo kuwa huyo dada ni opportunist; sijui uliliona hilo tangu mwanzo she stayed with you with hopes kuwa things will work out in her favour! In the end ameamua kuendeleza uhusiano wa zamani!

Hapo sikulaumu hata mimi would have done the same!
 
Narudisha kauli Mkuu!

Kwa kuwa mwanzo wewe hukujieleza namna hii!

Hivyo binafsi ulinipotosha nilielewa kuwa umetumia zaidi Uanaume wako katika kuamua hili na si mapenzi!

Ila sasa napata picha kuwa toka mwanzo kuwa huyo dada ni opportunist; sijui uliliona hilo tangu mwanzo she stayed with you with hopes kuwa things will work out in her favour! In the end ameamua kuendeleza uhusiano wa zamani!

Hapo sikulaumu hata mimi would have done the same!

Hahahahaaa....unaona sasa? Haya hebu niambie weye, ingekuwa wewe ungemzuiaje demu aisende? Maana watu wananilaumu mimi kwa 'kumwachia' aende? Na wamekimbia kabisa hawataki kuja hapa na kutoa maoni yao ya jinsi gani ningemzuia zaidi ya kile nilichokifanya.

Kwa maoni yangu, mtu yoyote mwenye chembe ya busara za kawaida angefanya kama mimi nilivyofanya. Sasa huenda kuna njia nyingine ambayo ningeweza kutumia kumzuia asiende. Can you think of any?
 
Hahaha hiyo kali...kweli umpelekee simba nyama aitazame hata kama hana njaa ataichezea
 
Mkuu ulikuwa sahihi kabisa....Nimesoma tena na tena nadhani uwamuzi wako ni wa kiume na sahihi.....Swali> Je baada ya mdada kurudi na kukataa kuendeleza uhusinao nini kinaendelea
 
Mkuu ulikuwa sahihi kabisa....Nimesoma tena na tena nadhani uwamuzi wako ni wa kiume na sahihi.....Swali> Je baada ya mdada kurudi na kukataa kuendeleza uhusinao nini kinaendelea

She's now my booty call.....

Kumbe na wewe umeona eeh? Yaani uamuzi wangu ulikuwa zaidi ya sahihi! Nashukuru kwa wewe nawe kuliona hilo.
 
aaaaaah Brasilian friend kumbe uliuvunja uhusiano wenu ..pole sana ila ulitakiwa uwaze mara mbili mbili..mie sina hakika sana kama walimegana
 
Baada ya kurudi nilimwuliza kama alimegwa na yeye alikataa katakata. Mimi kwa upande wangu sikumwamini hata kidogo na nikamwacha.

Kumbe mnasomaga vitu nusunusu halafu mnarukia mahitimisho eeeh? Hiki kipande ni kutoka bandiko langu la mwanzo. Hukuona kuwa nilisema nilimwacha?

aaaaaah Brasilian friend kumbe uliuvunja uhusiano wenu ..pole sana ila ulitakiwa uwaze mara mbili mbili..mie sina hakika sana kama walimegana

Lakini wewe unakwepa swali langu. Wewe ulisema/ulihoji kuwa kwa nini nilimruhusu au kwa nini nilimwachia aende. Nikakujibu kuwa zaidi ya kupinga kwa maneno kile alichokuwa anataka kufanya hakuna jingine zaidi ambalo mimi ningeweza kufanya. Sasa wewe unadhani ningemzuiaje kwenda zaidi ya kumweleza kuwa sikupendezewa na hilo wazo la yeye kwenda? Acha kucheza mchiriku, jibu swali langu tafadhali.
 
Kumbe mnasomaga vitu nusunusu halafu mnarukia mahitimisho eeeh? Hiki kipande ni kutoka bandiko langu la mwanzo. Hukuona kuwa nilisema nilimwacha?



Lakini wewe unakwepa swali langu. Wewe ulisema/ulihoji kuwa kwa nini nilimruhusu au kwa nini nilimwachia aende. Nikakujibu kuwa zaidi ya kupinga kwa maneno kile alichokuwa anataka kufanya hakuna jingine zaidi ambalo mimi ningeweza kufanya. Sasa wewe unadhani ningemzuiaje kwenda zaidi ya kumweleza kuwa sikupendezewa na hilo wazo la yeye kwenda? Acha kucheza mchiriku, jibu swali langu tafadhali.

Ok ok thank you Brasil nimekuelewa vema sana siulizi tena
 
Friday
2 July 17:00 Port Elizabeth Quarter-finals Netherlands
22px-Flag_of_the_Netherlands.svg.png
Match 57
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil

hapa Brasil inabidi lazima ushinde ili kupunguza maumivu ya hako kadada ka toronto
 
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na msichana mmoja mrembo sana. Hakuwa mrembo tu bali pia alikuwa na akili zilizoendana na urembo wake. Nilimpenda sana kwani niliona hatimaye nimempata anayeendana na mimi.

Wakati tunakutana nilimkuta akiwa tayari ana mtoto mmoja. Mtoto huyo alikuwa na umri wa miezi tisa. Baba wa mtoto huyo aliachana na huyo msichana wakati akiwa bado mjamzito wa miezi mitano na hata alipozaliwa jamaa hakuwepo na hakuja kumwona mwanae hadi alipofikisha umri wa miaka miwili.

Ndani ya miaka miwili ya uhusiano wetu jamaa akaanza kumshinikiza demu wangu ampeleke mtoto Toronto ili akamwone baba yake. Demu wangu akawa kwenye mazingira magumu kwa sababu tokea amzae huyo mwanae, baba yake alikuwa hajamwona na alikuwa anataka sana mwanae amjue baba yake. Wakati huo huo uhusiano wetu ulikuwa umekolea na mimi fikara za kumvalisha pete zikawa zimeanza kutawala kichwani mwangu.

Kwa takribani mwezi mzima akawa anafikiria ni jinsi gani ataweza kwenda kumpeleka mtoto Toronto bila kuharibu uhusiano wetu. Kumpandisha mtoto ndege na kuwakabidhi watu wa ndege halikuwa wazo zuri kwa sababu mtoto alikuwa bado mdogo sana. Mwishoni kukawa hakuna jinsi zaidi ya yeye mama mtu kumpeleka mtoto kwenda kumwona baba yake.

Siku ya siku ikafika. Mama na mtoto wakapanda ndege kwenda Toronto kumwona baba wa mtoto. Nikaachwa nyuma peke yangu. Toronto walifikia kwa huyo jamaa. Na jamaa alikuwa akiishi kwenye condo ya vyumba viwili. Ufikiaji wao hapo haukunipendeza licha ya demu wangu kuniahidi kuwa atakuwa analala sebuleni huku jamaa akilala chumbani kwake na chumba kile kingine cha pili atalala mtoto.

Walikaa huko kwa wiki mbili. Kila siku akiwa huko alijitahidi kunipigia simu angalau mara moja kuongea na mimi. Ilikuwa wakati mgumu sana kwangu mimi kwani sikumwamini hata kiduchu eti kuwa atakuwa analala sebuleni. Nikamwambia amwambie hivyo mtoto wa chekechea na si mimi kwani ingawa nilizaliwa usiku, sikuzaliwa jana usiku!!

Baada ya kurudi nilimwuliza kama alimegwa na yeye alikataa katakata. Mimi kwa upande wangu sikumwamini hata kidogo na nikamwacha.

Wadau, hivi kweli mnadhani alikuwa ananiambia kweli? Mtu kafikia kwa jamaa halafu kakaa wiki mbili, hivi kweli hawakumegana? Komredi Fidel hebu nipe mawaidha yako...unalionaje hili? Nilimegewa? Mimi nadhani nilimegewa ingawa sina ushahidi wa bunduki inayofuka moshi.


remember old is gold
 
Sidhani kama hapa kuna la kuumia maana makosa ya kumruhusu tayari yalishafanyika. Kama vile ulivyopiga moyo konde pale ulipoamua kuishi naye na kuanza kummega wakati ulijua kuwa tayari alishamegwa! Rudia tena kuupiga konde moyo na songa mbele. Usimwache kama bado.
 
Sidhani kama hapa kuna la kuumia maana makosa ya kumruhusu tayari yalishafanyika.

Ok, let me try to make sense out of this nonsense. Hayo makosa ya "kumruhusu" alifanya nani? Unajaribu kusema mimi ndiye niliyoyafanya? Kama ni hivyo nilimruhusu kivipi wakati mimi niliweka wazi pingamizi langu na yeye akaamua kwenda licha ya hilo pingamizi langu. Ningefanya nini zaidi? Nijuze tafadhali

Kama vile ulivyopiga moyo konde pale ulipoamua kuishi naye na kuanza kummega wakati ulijua kuwa tayari alishamegwa!

Hapa ndio kabisa sielewi hata ulichokuwa unamaanisha ni nini. Watu wazima wanaokutana ukubwani na kuanza uhusiano wa kimapenzi mara nyingi wanakuwa tayari wameshamega na kumegwa. Sasa hoja yako hapa hasa ni ipi? Wewe hujawahi kumega (au kumegwa) mtu ambaye keshamegwa na wengine kabla yako? Mantiki zingine bana aaah...zinaweza kukufanya uanze kunyofoa nywele zako kama yule mwendawazimu Juma Kilaza.

Rudia tena kuupiga konde moyo na songa mbele. Usimwache kama bado.

Matatizo ya kukurupuka na kusoma vitu kwa juu juu bila kuvielewa ndio haya sasa. Unatoa rai eti nipige moyo konde na nisonge mbele wakati nimesema tokea mwanzo kuwa hili jambo lilitokea miaka kadhaa iliyopita (mwanzoni mwa muongo huu kwa usahihi zaidi). Umeanzia wapi kuisoma hii mada?
 
DC brother dont get me wrong of course Women want to be treated like ladies, with respect and adoration lakini sio u supplicate kwake... sasa kama huyu Brasil kwanini amkubalie mchumba wake afuunge safari kumpelekea mtoto X... wewe unategemea huyo mwanamke anamheshim kweli?

what kind of man will allow that?
Yaani ningekuwa karibu na wewe ningekupa bonge la HUG!duuh kumbe wengine hatujakua-kiukweli naomba uwe my online sissy. Mimi pia ningekula mzinga. Kwa hiyo dada Noname una maana kikawaida huyo dada kamegwa?i.e labda huyo dada si kama tunaowaona maofisini na njiani ndio anaweza kuwa salama?Duuuu:crying:?
 
Nilikuwa nataka tu kuona wengine wangekuwa na fikara gani endapo na wao wangekuwa katika hali kama hiyo.

But make no mistake about it, I wholeheartedly trust my judgement and I did get it right when I ended things before she even left for Toronto. I may be a lot of things but dumb I am not.

Duu mkuu Brasil-habari za Ikungulyabashashi?Nakusifu kwa kuwa watu wengi walisema uliwezaje kumuachia m laddy wako kwenda huko kwenye simba mla watu?Lakini walikuwa hawajui kuwa mawazo yako na wao ni sawa i.e aliondoka akijua kuwa contract imekwisha!
Ungekuwa kijini kwetu ingebidi ukaoshwe usije ukaangukiwa na mkasa kama huo tena maishani/au uksaliwe msikitini au kanisani-duuuu ulichokiona ndio 100% compatible kinaondoka unakiona hivi hivi?Ila ngoja tumsikie dada Fladdy atueleze mwanamke akitaka kuondoka unamzuiaje-huo utaalamu tunausubiri.Akisahau m PM na mm unitumie hiyo risepta. Na mwisho sasa huyod ada bado yuko humu mitaani nijaribu kama naweza kumdhibiti?Maana nasikia kuna mitishamba ungemuwekea kwn maji asigeweza kuondoka angekuwa anaona vinyota tu,nitupie kontakti nimjaribu :amen:
 
Duu mkuu Brasil-habari za Ikungulyabashashi?Nakusifu kwa kuwa watu wengi walisema uliwezaje kumuachia m laddy wako kwenda huko kwenye simba mla watu?Lakini walikuwa hawajui kuwa mawazo yako na wao ni sawa i.e aliondoka akijua kuwa contract imekwisha!
Ungekuwa kijini kwetu ingebidi ukaoshwe usije ukaangukiwa na mkasa kama huo tena maishani/au uksaliwe msikitini au kanisani-duuuu ulichokiona ndio 100% compatible kinaondoka unakiona hivi hivi?Ila ngoja tumsikie dada Fladdy atueleze mwanamke akitaka kuondoka unamzuiaje-huo utaalamu tunausubiri.Akisahau m PM na mm unitumie hiyo risepta. Na mwisho sasa huyod ada bado yuko humu mitaani nijaribu kama naweza kumdhibiti?Maana nasikia kuna mitishamba ungemuwekea kwn maji asigeweza kuondoka angekuwa anaona vinyota tu,nitupie kontakti nimjaribu :amen:

Za Ikungu mhola kabisa! FL1 kashindwa hoja na kaja na viroja vya eti kanielewa vema na hataniuliza tena as if kusema hivyo ni kujibu swali nililomwuliza. Na hakuna hata mmoja wao hawa great thinker aliyekuja na pendekezo la jinsi gani ningemzuia kwenda zaidi ya yale vile nilivyofanya mimi.

Mtu mzima akiamua kufanya jambo atafanya tu. Labda umvalishe straight jacket na kumfungia selo. Na ukifanya hivyo hayo siyo mapenzi tena.
 
Mayyyne, i need to find time to go thru the entire thread... kinda touchy issue!
 
Za Ikungu mhola kabisa! FL1 kashindwa hoja na kaja na viroja vya eti kanielewa vema na hataniuliza tena as if kusema hivyo ni kujibu swali nililomwuliza. Na hakuna hata mmoja wao hawa great thinker aliyekuja na pendekezo la jinsi gani ningemzuia kwenda zaidi ya yale vile nilivyofanya mimi.

Mtu mzima akiamua kufanya jambo atafanya tu. Labda umvalishe straight jacket na kumfungia selo. Na ukifanya hivyo hayo siyo mapenzi tena.

Ngoja nikusanye list ya kina dada -bahati mbaya dada FL1 labda amegadhibika,tuwatumie PM,mmoja baada ya 1 huenda tukapata muungwana akatuambia njemba yake ilivyomzuia. Nilipokuwa DAR nilikuwa naona vibao vimeandikwa dawa ya kumvuta mpenzi wako-hata kama yuko nchi nyingine,labda kuna mtu atatuambia zinafanya kazi,kama ungemuweka hiyo labda asingeondoka au kama si hivyo labda jamaa aliisha apply kule kwa hiyo shemeji(who was supposed to be)alikuwa anavutika kama mbwa na mdomo wa chatu. Pole ndg yangu-lakini sasa umekuwa kama mtu aliyen'gatwa na nyoka eeeeeeh?:A S-confused1:
 
Back
Top Bottom