Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,845
- Thread starter
- #141
much obliged your Honor!!
Come up with something new. This is tired, worn out and cliched!
much obliged your Honor!!
Kwisha habari yako.............. huyo bilashaka alimegwa kukumbushia penzi lao la zamani..... kama uliwahi kummgega demu kipindi cha nyumba na ukaja kupata bahati ya kukutana nae na akafika kwenye makazi yako 99% ukiomba tunda unapewa bila wasi wasi.....
Kwa jinsi nilivyofuatilia argument yenu na bht, no offence lakini mkuu mi naona wewe ndiye unayeitafuta ligi.Sasa kwa nini ulitaka kuleta ligi?
Kwa jinsi nilivyofuatilia argument yenu na bht, no offence lakini mkuu mi naona wewe ndiye unayeitafuta ligi.
...bro, hakuna tofauti kama alitembea nae au la. Huyo ni baba mtoto wake. Hakuna kizuizi cha kuwazuia kukumbushiana.
Maamuzi uliyafanya miaka miwili iliyopita, simamia maamuzi yako upate faraja akilini.
Come up with something new. This is tired, worn out and cliched!
Kwa jinsi nilivyofuatilia argument yenu na bht, no offence lakini mkuu mi naona wewe ndiye unayeitafuta ligi.
whatever!!!
....licha ya demu wangu kuniahidi kuwa atakuwa analala sebuleni huku jamaa akilala chumbani kwake na chumba kile kingine cha pili atalala mtoto.
Walikaa huko kwa wiki mbili. Kila siku akiwa huko alijitahidi kunipigia simu angalau mara moja kuongea na mimi...
Whatever to you miss all that and bag of chips!!!!:smiling:
Kwa hiyo Mbu unahalalisha kukumbushia?
here we are!!!
Halafu ligi yenyewe ushaipata na una-enjoy maana mpinzani wako ameamua kukuachia ufunge magoli utakavyo. Miye yangu miguu tu hapa hahaahah.Kivipi wakati na yeye yupo anashiriki? Lol....
Dah...nilijua tu
Halafu ligi yenyewe ushaipata na una-enjoy maana mpinzani wako ameamua kukuachia ufunge magoli utakavyo. Miye yangu miguu tu hapa hahaahah.
hata mi nilijua sasa ngoja nikuache maana nimekufikisha ulipotaka
Haya kwa heri ya kuonana