Nahisi mpenzi wangu ana govi

Nahisi mpenzi wangu ana govi

Status
Not open for further replies.
Aisee kamwambie alikate haraka sana na alizike mbali wewe uko wapi tafiti zimeonyesha kuwa mkono wa sweta ni chanzo kikubwa cha magojwa ya zinaa ukiwemo ugonjwa hata wa UKIMWI pamoja na kaswende pia ni chanzo kikubwa kueneza kansa ya mlango wa uzazi Cervical Cancer tena kapime uhakikishe hajakuachia magonjwa huyo especially human papiloma virus
Hao wanaokupa ushauri mwngine usio wa kitaalam achana nao

Thanks kwa ushauri wako nitaufanyia kazi.
 
Ndorooobo wewe. Unawezaje kuwa na mpz miezi 18 bila kujua kama ametahiriwa au la. Nyie mapenzi yenu mnafanya usiku tu na hasa wakikata umeme.
 
Dadeq Zako Kwanza Umevunja Amri Ya 5... Inayokukataza Usizini, Pia mwambie jamaa alikate dubwasha lake maana hata mungu alimwambia musa awatahiri watu wake ndo mana hata yesu alitahiriwa...
ila usizini tena muombe mungu akunyooshee mapito yako ili tamaa ya kuduchuana isikusogelee... sawa??!
 
Daah una bahati kweli! Mpeleke akatahiriwe baada ya hapo uguza kidonda cha tohara akipona tu hakikisha anakugegeda wewe kwanza kabla ya mchepuko! Hiyo ni sawa na kutoa bikra. Jamaa hatakusahau kamwe, kwa sababu utakuwa utamu wake mpya nje ya Govi*nda
 
Usiache mbachao kwa msala upitao. Mshauri kama kweli anakupenda na anaipenda afya yako ata litoa.
 
Aisee kamwambie alikate haraka sana na alizike mbali wewe uko wapi tafiti zimeonyesha kuwa mkono wa sweta ni chanzo kikubwa cha magojwa ya zinaa ukiwemo ugonjwa hata wa UKIMWI pamoja na kaswende pia ni chanzo kikubwa kueneza kansa ya mlango wa uzazi Cervical Cancer tena kapime uhakikishe hajakuachia magonjwa huyo especially human papiloma virus
Hao wanaokupa ushauri mwngine usio wa kitaalam achana nao
Kinacho nishangaza hao wanaofanya hizo tafiti (wazungu) hawataili
 
Najutia kukata govi...ningekuwa nalo leo ningekuwa habari ya mujini...kitu nachuro. huhitaji kuvaa ndomu..unafunga mbele na rubber band unamkamua mtu ukikojoa unaenda toi kufungua rubber unamwaga mzigo...

Ha ha ha
 
DIKE,

Wee mtoto ! kwa hiyo hata kuishika hujawahi miaka yote hiyo!!!! nyie ni wenyeji wa mikoa ipi?
 
DIKE usihangaike ku "google" njoo huku nikuonyeshe iliyotahiriwa inavyofanana!
 
Last edited by a moderator:
Mmii nina govi na sasa nina miaka 29. Nimesoma boarding skuls nyingi tu na mpaka sasa nimefanya degree na nipo kazini.

Kiukweli mwanzo nlikuwa najutia sana kuwa na govi coz shule walikuwa wananicheka sana ila tangu nlipoweza kujitambua sijawahi kabisa kuwaza hata kukata hii kitu. Katika wanawake wote nliowahi kukutana nao hapa Dar na mikoani kila mwanamke anapagawaga kimpango wake na sijawahi kufanya sex na mwanamke yeyote akanipiga chini. Sana sana huwa sijui wanasimuliana maana marafiki zao naonaga nao wanajigonga mpaka washkaj zangu wananiambiaga nina dawa za kishirikina kumbe hata!

Kuna wakati unafanya sex na mdada mpaka unaona kweli kachanganyikiwa hajielewi wakat huo huo anakwambia ashakuwa na wanaume wengine b4 lakini huu mziki ni mpya. Wengi sana ninaokutana nao huwa wanapagawa ila nahisi ni kwa sababu hiki wanachopataga kwangu hawakuwahi kukipata sehem yyte coz govi kwa hapa mjini ni one in thousands!

Kuna mdada niliwahi kuwanae mwaka juzi alisema tangu anaanza kuwajua wanaume hakuwahi kupata orgasm inside vagina yaani hakuwahi kukojozwa na mwanaume kwa pennis penetration ya kawaida mpaka labda kwa masturbation ya critoris ila suprisingly I did it for da first time na alishasahu kufikishwa kileleni kwa njia ya kawaida bt alinishangaa jinsi nlivyomkuna mpaka akafika. Alinipenda kama ndo nmemtoa bikra ya pili vile. Alikuwa ana mchumba na alitaka kumuacha bt mimi sikuwa interested nae kuwa mke wangu so tukaishia kuwa partners tu akijisikia alikuwa ananitafuta namtuliza.

I really love my pennis coz kuna muda wakt nipo chuo iliwahi kuniweka mjini kwa mwaka mmoja na nusu nakula nakunywa na pesa napewa na nalindwa mi kazi yangu ni kupiga show za maana tu. Utaanzia wapi kuniambia nikate!?

Kitu kingine nahisi mimi huwa naenjoy sana sex. Sidhani kama wenzangu waliotahiriwa huwa wanafikia hii raha ninayoipata coz nahisi kwao hakuna friction ya kutosha ni kama ni kuchomeka na kuchomoa tu bt nadhan kwangu friction ni kubwa huenda ndo maana na girls huwa wanaenjoy.

Ila kukaa na govi kuna changamoto zake. Usafi ni muhimu sana katika mwili wako. Mfano mimi nikiwa home naoga 3 to 4 times a day ila si kwa sababu ya govi pia napenda sana kuoga na kuwa msafi. Sasa kwa wenzangu wa kula lazima kuoga hiyari ni balaa. Pia kuna jinsi ya kuuweka uume wako ili ukae unapata hewa kama uliotahiriwa. Hii inasaidia kuonekana mzuri unavutia pia ngozi ya ndani inakaa nje mda mrefu hivyo inakuwa ngumu na hivyo kuhimili frictions bila kuleta michubuko haraka hii husaidia kuzuia maambukizi ya magonjwa kirahisi. Inasaidia pia kuuweka uume katika shape ya kutahiliwa na kwa sababu inakaa hivi mda wote inakuwa automatically ipo katika shape hiyo hata ukiitoa inarudi tu na ni ngumu sana mwanamke kujua kama hujatahiriwa coz inavutia kama nyingine tu. Pia siwezi kufanya sex na mwanamke yeyote mpaka nioge kwanza nijisafishe vizuri hii inaniweka vizuri psycologically na kumset free mwanamke kucheza na dushe langu bila wasiwasi.

Some of girls washaninyonya cone several times bt sijawahi kuona wakishtuka au wakiniuliza kitu ila naona kama wanaishangaa mashine yangu huenda wanaifananisha na wanazoonaga kwenye movie na sio wanazoonaga live kwa wengine bt otherwise huwa wanaenoy nami nawa set free kuchezea dushe langu bila wasiwasi.

Kiafya naamini ina madhara lakini sio kama tunavyokaririshwa. Usafi ni muhimu sana ukiwa na govi na tuelewe kuwa govi halisababishi magonjwa ila kama haliko sterilized linachangia transmission kirahisi tu especially kwa STDs na UTI.

Tusipotoshane, wazungu wanaowaambia muyakate wao hawayakati ingia google usome % ya wanaume wa kiingereza waliotahiri utashangaa! Haifiki hata nusu! Sio kwamba tuwaige kwa kutotahiri ila tujue kuwa kutahiri sio kila kitu. Wao wanaenjoy na wake na waume zao kwa hayo hayo magovi na tunawaona wana akili ila sisi akionekana mwenye govi ni sheedah!

All in all I really love my pennis and I feel lucky kuwa nalo mpaka leo. Nawashukuru walionilea kuliacha mpaka leo na siwezi kumsikiliza ----- yeyote aniambie nilikate. Tena nahisi tutagombana kabisa na huyo mtu maana faida yake naiona mimi.

Wewe kama umeshalikata ujue ndo halirudi tena ila mimi ninalo bado na silikati coz naona faida zake kwangu ni nyngi kuliko hasara zake na hizo hasara zake pia nshajua jinsi ya kuziepuka/kuzicontol kwa hiyo ni kama hazipo tena.

Kwa maoni binafsi au kutaka ushauri njoo PM kwa maoni ya kawaida we endelea hapa hapa wala usijali. Hata ukitaka kutukana we tukana tu ila ndo ivo ushakuwa na mkosi ulikata lako mi sikati.
 
Nahisi wanawake wanaohondomolwa na govi wananogewa sana.nikipeleka taswira kwenye mgegedano naona aplication ya forwad movement kwenye papuchii govi linakuna papuchii hapo ke anapata raha ya ziada.na backward movement govi linafunika kichwa...

Au kama wanawake wsliogegedwa na givi hembu njooni njooni mueleze utamu mnaopata ili tusibuni.pia mshaurini mwenzenu aendelee kuliwa na govi.tahadhari cku huyo jamaa akitoka nje mmekwisha na magonjwa.
 
Nina mpenzi tunapendana sana. Kwa kweli ni raha tupu. Hivi karibuni nimegundua hajatahiriwa. Imeniumiza maana sikutegemea na wala sikugundua mapema. Nami nampenda sana. Je, kuna madhara yoyote kuwa na mpenzi mwenye govi? Nini nifanye?
 
we endelea kurubudika tu..govinda ni salama kwa matumizi ya faragha
 
Kama anakuridhisha wewe burudika tu hakuna madhara labda magonjwa ya zinaa ni rahisi kuenea
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom