Nahisi mpenzi wangu ana govi

Nahisi mpenzi wangu ana govi

Status
Not open for further replies.
Ina maana hata mkiwa gizani hujawahi kumgusa mgegedo kwa mkono wako au wewe ndo mwanaume wa kwanza hujui waliotahiriwa wakoje?
 
DIKE,

Ongea.NAE vizuri ila kama umekuwa ukienjoy poa endelea ila kwa msichana wa kileo mwaka na nusu bila kujua maumbile ya mpenzi wako?????????? Maana kuny....na kuna husika sasa sijui nyinyi mnaishije
 
DIKE,


Mnakula gizani kama mzee tola
Kuna uwezekano huyo ndio wa kwanza kukutafuna au huwa unafumba macho wakati unaliwa
Mwaka na nusu hujaona what you own? Woman njoo nikuoe....
 
Lakini we wa ajabu sana hembu muambie Leo nataka Nile cone uone anavyotaka kuhangaika!!
 
Kazi kweli kweli huo ni mtaji maana anaweza kutumika ktk ngoma kama filimbi
 
dondosha mkono wa sweta...mshauri aisee akakate hiyo kitu
 
DIKE,

Aisee kamwambie alikate haraka sana na alizike mbali wewe uko wapi tafiti zimeonyesha kuwa mkono wa sweta ni chanzo kikubwa cha magojwa ya zinaa ukiwemo ugonjwa hata wa UKIMWI pamoja na kaswende pia ni chanzo kikubwa kueneza kansa ya mlango wa uzazi Cervical Cancer tena kapime uhakikishe hajakuachia magonjwa huyo especially human papiloma virus.

Hao wanaokupa ushauri mwngine usio wa kitaalam achana nao
 
Huyo 100% ana govi. Sasa mkiduu anadoo peku au anavaa ndom maana mpaka lipenye labda km na wewe umejaaliwa
 
Wanawake na nyie...mnhhhh.

umepata bahati ya kuliwa na "natural man " unapiga mikelele...waulize wambea wenzio kuwa mara ya mwisho kuliwa na mwenye govi ilikuwa lini utashangaa...wanawake wote mjini na ujanja wao hawajawahi kuliwa na mwenye govi...mtunze sana huyo mchumba wako..wakina wema na lulu wakimjua umekwishaaaa.

kwa taarifa yako tuu..wanasema wenye magovi ni "watamu" kuliko waliokata....nimelimiss govi langu masikini....na pia wanasema team vibamia woote wamekata hivyo basi magovi wooote ni team mandingo.

Kuna mambo humu jamani eti natural man
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom