Nahisi mpenzi wangu ana govi

Nahisi mpenzi wangu ana govi

Status
Not open for further replies.
Nina mpenzi tunapendana sana. Kwa kweli ni raha tupu. Hivi karibuni nimegundua hajatahiriwa. Imeniumiza maana sikutegemea na wala sikugundua mapema. Nami nampenda sana. Je, kuna madhara yoyote kuwa na mpenzi mwenye govi? Nini nifanye?

Dada umepata bahati alafu unajitia uchizi
 
Mwaka na nusu mnalala pamoja na hujui kuwa?
eeeh?

Unaweza usiamini lakini sikujua hata. Alikuwa anajificha sana na sikugundua na kilichonifanya nigundue ni baada ya kupima na kuacha kutumia kondom...... nafikiri umenielewa
 
daaah mwaka na nusu .........wakati anapovua boksa unakuwa umefumba macho???!!!!

huwezi amini nisemalo ni kweli. Mapenzi anayonipa yalinifanya nisiweze kugundua lolote analoficha. kwa mfano huwa hawezi lala bila boxer au night dress wakati mie nalala zangu uchiiii. na wakati wa mchezo huwa anavua tukiwa tayari kwa hiyo sikuweza gundua lolote!
 
Kwa hiyo unataka wana JF waende wakamkamate wamtahiri kwa nguvu au.....Mambo mengine sio lazima kuyaleta mitandaoni..........


Mkuu umenielewa? ninachotaka nielimishwe madhara ninayoweza pata mimi (mwanamke) kwa kuwa na mpenzi mwenye govi.
 
Aisee kamwambie alikate haraka sana na alizike mbali wewe uko wapi tafiti zimeonyesha kuwa mkono wa sweta ni chanzo kikubwa cha magojwa ya zinaa ukiwemo ugonjwa hata wa UKIMWI pamoja na kaswende pia ni chanzo kikubwa kueneza kansa ya mlango wa uzazi Cervical Cancer tena kapime uhakikishe hajakuachia magonjwa huyo especially human papiloma virus
Hao wanaokupa ushauri mwngine usio wa kitaalam achana nao

Asante kwa ushauri mzuri.
 
Dadeq Zako Kwanza Umevunja Amri Ya 5... Inayokukataza Usizini, Pia mwambie jamaa alikate dubwasha lake maana hata mungu alimwambia musa awatahiri watu wake ndo mana hata yesu alitahiriwa...
ila usizini tena muombe mungu akunyooshee mapito yako ili tamaa ya kuduchuana isikusogelee... sawa??!


Huna ujualo wewe mdhambi tu, maana umeona kuzini peke yake ndio dhambi. Na hiyo amri ya 5 unayoizungumzia ni ipi? Mungu unayemuongelea wewe ni mungu jua au mungu nyota?
 
Mkuu umenielewa? ninachotaka nielimishwe madhara ninayoweza pata mimi (mwanamke) kwa kuwa na mpenzi mwenye govi.
Hakuna madhara........cha muhimu ni kukumbuka tu kulisafisha hilo sweta......maana wakati mwingine linakuwa kama kiroba cha uchafu.........
 
huwezi amini nisemalo ni kweli. Mapenzi anayonipa yalinifanya nisiweze kugundua lolote analoficha. kwa mfano huwa hawezi lala bila boxer au night dress wakati mie nalala zangu uchiiii. na wakati wa mchezo huwa anavua tukiwa tayari kwa hiyo sikuweza gundua lolote!

wakati mwingine ongeza kautundu kidogo angalia basi inafanana vipi imepinda, nyooka inavinyweleo lol
 
Yaan dada hadi Leo hii hujajifunza kushika kipaza?
 
Wakati mnafanya chomoa livute na mkono lokivutika basi ni govi na ukijua chukua kisu na ulichinje hilo linyama libaya sana
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom