Nahisi mpenzi wangu ana govi

Nahisi mpenzi wangu ana govi

Status
Not open for further replies.
Labda niulize swali kabla sijashauri.Je anakupa utamu unaostahili kwa mda wote huo?Kama ndio piga kimya hicho c kilema kama hapana ongea naye kiustaarabu atakuelewa tu.
 
Ukoo wetu ukitoa govi hupati mtoto(yaan unakosa uwezo wa kumpa mimba mwanamke)..labda huyo mpenzi wako atakuwa ni mmoja ndani ya ukoo wetu.
 
Hakuna shida, utamu unaopata unatokana na hilo govi!endelea kufaidi tu
 
Tangaza nia hapa mwenye nalo awasiliane nawe.

nilitamani nitest govi
ila mpenzi wangu hana ingekua kuna uwezo mtu analivaa alafu unalivua ningemwambia

ila hayo magovi ni matamu balaaa nasikia

vipi ukinaniii unajisikiaje????
 
Govinder wako kabila gani?
Wajaluo, wahaya wasukuma wa bariadi na makabila mengine kufweka mkono wa sweta ni anasa....pata uzoefu ..ukiwa nalo condom haina kazi tna weunatafuta rubber bend unafunga kwa mbele unakula mzigo kiloho safi.
 
DIKE

Akili zingine jamani!! Unaolewa na govi au unaolewa na mwanaume? Kama hulitaki hilo govi (japo hujaliona) si umshauri akakatwe tu! Kisa cha kuja kututangazia hapa upuuzi wenu nini bana!! Aghhhhhh
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimelikata nikiwa chuo mwaka wa I nimekata govi langu kutokana na kelele za mila na desturi nilizojaribu kuiga. Kusema ukweli baada ya kulikata hadi sasa ladha ya ngono ilipotea. Sasa hivi nikiwa kwenye mzingo na ukizingatia naniino ishakosa ule ulaini wake issue ya kike sihisi vizuri kama kipindi kile.

Nimeamua wanangu ntawashauri kama wanataka raha ya ngono wastaili kabisa.

Mungu angekua apendi hii kitu na hasa kama isingekuwa na maana yake asingeiweka tungezaliwa pasipokuwa nayo.
 
Pole sana mpe za USO jamaa yako akatoe kigozi hicho.

Halafu hivj na muwa unakula ama nyie mnapiga basic football
 
Who Cares?, hata mimi nimelimiss sana nilipolitoa kabisa sikuona tena radha ya k kama zamani hata nilioshiriki nao niliona mabadiliko makubwa sana
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom