Nahisi mpenzi wangu ana govi

Nahisi mpenzi wangu ana govi

Status
Not open for further replies.
Najutia kukata govi...ningekuwa nalo leo ningekuwa habari ya mujini...kitu nachuro. huhitaji kuvaa ndomu..unafunga mbele na rubber band unamkamua mtu ukikojoa unaenda toi kufungua rubber unamwaga mzigo...
*****..🤣
 
Inaonekana mkuu hata koni hulambi?
Mwanamme govinda ni sawa na kuwa na panga butu mkuu,,
 
Tatizo waafrika ni waoga Sana na haya mapokeo,kiukweli hakuna madhara! Ebu fikiria maswali haya:
Je, waliokufa kw ukimwi hawakutahiriwa?
Je, waliokufa kwa kansa hawakutahiriwa?
Je,waliotahiriwa wanaishi milele!

Kiukweli swali lako upo sahihi Ila usiwe na wasiwasi kwani huo mda wa mwaka mmoja na nusu umeshaambukizwa magonjwa ya zinaa kupitia govi?

Kuna tofauti kubwa Kati ya usoni na sehemu za Siri afu kumbuka kutunza Siri za mgegedaji wako! KUPANGA NI KUCHAGUA!
 
Habari zenu wana Jf.

Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwa mda wa mwaka na nusu. Kuna vitu huwa anafanya vinanifanya mimi nihisi hajatahiliwa, kwanza akipandisha kitandani wakati wa mechi anapovua nguo lazima abakize boxer anaivulia kitandani.

Pia tukienda kuoga anarudisha uume kwa nyuma. Kuna siku nilianza kugoogle kuangalia uume uliotahiriwa unakuaje nikapata picha zikawa zipo kwenye gallley alivyorudi jioni akaziona alichukia sana.

Kwasasa anataka katikati ya mwezi wa saba akajitambulishe kwetu najiuliza maswali mengi sielewi nifanyeje.

Naomba msaada wa mawazo
==========

Mchango
doh... mwaka mzima mnagegedana hujajua tu kua ni govinda au laa...

maana kwa mapenzi ya sasahivi mda wa kulana tunda lazima mtomasane vilivyo kwa mwanamke kuchezea na kuushika mti nyama wa mpenzi we wengine huunyonya pia je ww hujawahi hata kuushika au kuunyosha uweze kujua?

au ndo yale mapenzi ya mda wa kugegedana mnazima taa mixa kujifunika shuka na style ni kifo cha mende mwanzo mwisho..

angalizo: mwanaume ambae hajatahiriwa ni rahisi kupata magonjwa ya zinaa kwahiyo chukua tahadhari kama mnapendana
 
Who Cares?,
Unajitetea au unamtetea Govinder wako?? Govi "halifai"!
huyu mleta mada ni MUONGO SANA
DIKE yeye kaleta swali tumsaidie papo hapo analeta majibu kwa post ya kupaste kuwa GOVI ni zuri
sasa anatujoke? au kajigeuza mwanamke ali atetee govi
kiufupi Govi ni uchafu wasisingizie Biblia, kwani wanaume wote walitahiriwa wasijichanganye na Adam wa Hawa kwaniyeye aliumbwa, ila Mungu alimwambia Abraham tahiri wanaume wa nyumba yako yote
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom