Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond


Dalili za uoga washaona team mondi hawatetereki na kampeni zao.
 
Mwimbo ulivuma sana miaka hiyo unaitwa Mbagala alipoanzaga utaona na sura ya kigeni ucheki link chini hapa

https://youtu.be/hZBXVkAcbWo

asante mkuu ila nilikua namuuliza huyo anaedai kua chibu alishutia wimbo huo jalalani akataka kufananisha idea yake na mwana ulioanzia kushutiwa chooni nikataka anijibu kua kwani wimbo wa mbagala si unabeba idea ya jalala sasa kwanini asishutie jalalani? Ila naona amekaa kimya.
 
duuu!!!atakasirikiwa sasa hivi na team kiba na wema maana wanavyojua kujishtukia!!

Watu tusicheke mjini.hapa na kuongea na watu kisa wao watanuna.


Watu wanasikitisha kupaisha mambo sababu zao binafsi na kutumia wasaniii, ni kama kila mtu asifanye lake la moyoni anadakiwa.

Bora watoke na kusema nakuonea wivu wewe fulani au fulani.

Wanafanya kama vile awards zimeanza leo TZna duniani na ndio mara ya kwanza mshindi atakuwa mmoja kwa kila kipengele, kama vile kabla kila aliyewania alibeba tuzo.
 

Poa karibu, yaani umemuuliza vizuri sana.
 
Waunganishe team zote ,Mwisho wa siku itafahamika tu ,

Mdogomdogo tuna fanya kweli,Go Chibu Go!!
 
Akishinda video bora yatakuwa maajabu ya mwaka...

Kwa jinsi Wamemkera Diamond kuna hatihati kama atahudhuria tuzo hizo... Ukimuona Daimond amekubali kuja siku hiyo ya KTMA ujue anachukua nyingi, hawezi kuja kuabishwa kipumbavu kirahisirahisi

Atakujaje na yeye mwoga, hataki kushuhudia wenzie wakipewa haahahahhahahahahah!
 

Mtajipwelepweta mwaka huu, hakuna cha ktma wala channel O, mpaka dogo domo lake liache kutema uchafu
 
Kama kukampeni angeaza na msanii wake Mirror anaemmeneji na kuinvest pesa yake. Zaidi ya hapo ni ushamba tu wa kutokubali matokeo ya kuachwa na Dangote.

Badala ya kutoa povu si umkampenie mtu wako, vinginevyo wema, jokate wana haki ya kufanya wakitakacho hahaah na kimezaa matunda hadi daimond kuandika gazeti mchezo,. Hatareeeer
 
Ahsante mkuu. Akili hii ktk hii post ma team wema hawawezi elewa.
Bravo.

Unataka akatae kukampeniwa inamuhusu nini,.ugomvi wa domo na wema havimuhusu, cool kiba hana mashauzi ndo maana anapendwa.
 
nalichukiaje hilo kahaba??? wanamsema zari bibi, zao zenyewe zimekomaa utasema gamba la kobe, aweza kuwa bibi lakini yake ina mvuto na laini kama sufi! team michirizi mpoooooo???

Kahaba kuliko zari? Hahahahahahaha wonders shall never end.
 
tatizo watu wana mcho lakini hawawezi ona, yaani hilo kahaba limezeeka kuliko mimi! mmmmxxxxiiiiiiieeewwwww, DIAMOND ALIFANYA LA MAANA SANA KUSONGA MBELE, bora mbibi anayekielewa mara mia, kuliko kijana kahaba hana future kama huyo kahaba!

Hahahhhaha wapi katunziiiiii, wapi baba mutoto, mwaka huu mtatoboa screen kwa hasira hahahahahha! Wapi bibi trunktree
 

Wabongo ndo zao kusifia vya nje, vyao wakivilaani na kuvidhihaki, ila wengi ni stress tu, kama ni ukahaba zari kamzidi wema maana yeye east africa yote katembeza.
 

Mwambie mondi naye aache kumtajataja wema kwenye kila wimbo, hahaha werevu twaona atiiii, mwambie wema alimdump so amove on na bibi bomba, asipaniki sana wema akimsapoti kiba. Tunasubiri part 2, vipi.hajarelease? Hahahahahahah
 
Team Wema na team kiba matusi ya nini.. Fanyeni kampeni zenu huku mkijiamini mwisho wa siku raia wataamua.

Timu mondi mkiongozwa na Mfalme wenu mlianza kupaniki baada ya kuona mabango ya kiba! Mkaanza kelele, asiyejiamini hapo??? Sisi ndo raia na kiba ndo anapigiwa kura. Mwambie mondi tunasubir part 2
 
Hahahhhaha wapi katunziiiiii, wapi baba mutoto, mwaka huu mtatoboa screen kwa hasira hahahahahha! Wapi bibi trunktree

Katunzi wa wapi picha ile ya wiki kama 48 zilizopita basi ka mimba inakaa muda wote huu haya subirieni tu ni uamuzi wenu.

Ila watu mnavyoongelea waume za watu siku ikija nyie kuongelewa kama mke au mume mtajisikiaje.

Mbona wa TZ wengi hamna heshima na kuheshimiana? Ungekuta ni sibling wako mngepalalia udaku kiasi hiki.

Mnasikitisha kisa ni chuki....haya kuleni bata na kukosa usingizi kisa Diamond.
 

Huyo anaeblogia anampenda kajaa wivu nae, kaa sio basi angekuwa anamsifia anapostahili. yeye hapendi kuona wengine wanapaa anajipiga kichwa na stress za maisha ya watu kuwaandika uongo asilimia kubwa akidhani anawashusha kumbe bonge la promo za bure. kashazoeleka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…