Nimeandika mwenyewe mineMhhhh umeandikiwa au umeandika wewe??
Nimeandika mwenyewe mine
nawaambia hawa wakosefu wa shukrani wenye midomo ya shombo wanafk na wakosefu wa fadhila
yyaani kila jema liwe kwao tuuuu
kila jemaaa wafanyie wao tuuuu
wema angemsapoti daimond humu angetukanwa na haoa hao waanzisha thread tena matusi mazito mazito
kamsapoti kiba bado kwa tatizo
walitakaje labda?
hakuna analowafurahisha huyu mtoto wa mwenzenu ht mojaa
hebu muonege aibu bass...
mumuache sasa ni zamu ya aly kupata sapoti ya wema isac abraham sepetuu
ninyi white party mlipata sapoti kubwa sana na media zote ziliwabeba na wasanii karibu wote waliwaunga mkono
wafuasi wa daimond waache unafki wa kutaka wawe wao ndo wao tuu
huu utakua sio ushindani kamwe
na wema huyoo
mumpende,mumchukie mtajibeba mwaka huuu na aly ndo anampromoti vizuri tuuu....
m
Me wemq ni wangu awe michirizi, awe IQ ndogo, awe malaya au vyovyote vile. Hao mabikra acha wamuandame.
Sasa Si raisi wa maji taka amesusa kujikampenia kwny TUZO basi watulie wanyolewe. Wengine watapiga tuu
yaan iyo video ya bafuni ikichukua tuzo naaaaapa...ntaku..nya kuanzia tegeta hadi mbagala...tena kwa mafungu mafungu
Sijui ni kwanini mwamchukia mtoto wa watu kiasi hicho.. Awe kahaba ni yeye na ndo maisha alochagua nashangaa mnavomsema hivo akati nyie usikute ndo mmekubuhu ila kwavile ni yeye basi mmekazana
ifike sehemu mkubali kwamba hii ni nchi huru na kila mtu ana haki ya kuishi atakavyo..... Mnanikwaza sana kwa kweli
Hawa sio makubuhu tuu...yaani wanaomponda wamepiga umalaya migodini kwa wana apolo..nyuchi zao sasa ni balaa tupu hahahaaaaaaaaaaaaa..
Kwenye nyuchi zao unaweza kuingiza mikono miwili kwa pamoja afu ukapiga makofi uko ndani kwa ndani..
Wamebeba mabehewa wanajikuta wanamwona wema ndo anagawa papuchi
Acheni wivu si muwaambie hao wasanii wenu nao wapande waonekane kwani wamefungwa kamba wasifanye yao?
Wivu mbaya na baraka kwa mnaoshambulia
Endeleeni kutoa kiki.....
Jumamosi kuna wadau wa nchi zingine za Africa wanatoka USA kwenda UK kuangalia show ya D our international superstar.
Labda Diamond anasomaga humu, eti D unashikilia watu na kuwafungia ndio maana wanakusimanga ushuke ili wao wapande? Eti D kwani hakuna nafasi za kupanda maana sielewi kwanini wewe yaani wewe kila kitu kila upovu wao wewe kila wakiinama wakiinuka wakilala wakiamka wakienda chooni wewe?
Eti D Ile bidii zako ulivyojijenga na kuwekeza kwani wao hawana nafasi kufanya? kwani duniani inabidi kuwa wewe kupanda juu?...si unaona unavyotamanisha maisha yako kwa watu wakati ulipokuwa unauza mitumba nao wanaimba walishindwa kuweka akili zao ambazo hawana hadi leo.
Eti D kwani Mungu katika muziki alisema uwezo na akili ya kuwa msanii anatoa kwa mmoja tu? Eti D studio ipo moja unayokaa masaa 24 wengine hawawezi kuja kuimba?
Eti D unavyopanga mambo yako na ulipokuwa unasoma shule ulitimia dagtari moja na wenzako darasa lote?
Eti D ulipoenda kusaidia wa Tandale nafasi ya kupita kutoa misaada ilikuwa ya mtu mmoja tu wengine wamefungiwa kwenda makwao?
Eti D hivi umefanya nini hadi ukishuka wewe ndio wengine wapande? Kule BET ambapo hata wanamuziki wa nchi hiyo hawapewi nomination uliwafungia maishani mwao wasipate?
Eti D ukiandika chako kwani kimewazuia watu kupanda? Maana wanataka kufa ili eti ushuke kwani ngazi ipo moja?
Eti D bando wanazonunua kukuandika umewanunulia au wamenunua wao maana hawawezi pita siku bila kukupa promo haswa humu JF? Eti D promo hizo umewaomba wakupe? Eti wakiandika mabaya humu mbona bado washabiki wako wanazidi na wao hawashabikii wanaowapenda?
Eti D kama mie napenda muziki nitakaoupenda kwani imenikataza na kusema lazima wewe tu, si mie nineamua tena sababu kubwa kukuzimia zaidi ni baada ya wao kushusha maneno ya ajabu?
Eti D nyota yako uliiba kqa qatu ukawatoa roho ukaichukua ukaipandikiza kwako? Eti D Tanzania wanazuia wasanii wengine kufanya kazi zao kwa bidii?
Eti D zile project zako za kuingiza pesa uliwanyang'anya? Eti D unavyopiga picha zako na kurusha na hata mpenzi wako pia akiwemo wao umewakataza wasipige? Eti D wewe kupenda wao wamekatazwa?
Eti D mbona K na K wana maisha yao wapaa na pia B na J wanayao wanapanda? Eti umeshawaona mashabiki hata walio nchini mwetu wakitukana mmoja wao ashuke? Sasa kwanini wewe?
Eti D unalazimisha watu kutopenda miziki au wasanii wengine? Eti D kushabikiwa kwako ulitembelea nyimba hadi nyumba kuomba au kuhonga ushabikiwe?
Eti D.........
hebu acheni unafki wenu hapa nyie
hv zari white party mbona amesapotiwa sana mpk hapa jf ht kwa sie tusiomkubali huyo msanii
nyie watu ni wabinafsi sana tena sana mnataka asapotiwe yy tuuu
yy tuuu who the hell is he...
kwank wema kumsapoti aly k una ubaya?
mbona aunty alimsapoti daimond nyie vipi
hebu muacheni wema wa watu
mbona jokate hamsemii
wema hana jema ht mojaaa...
mnataka wema amsapoti mondi ili aonekane anajipendekez au
hv mngekua nyinyi ndo wema au jokate mngewezaaa...
wanafki nyie wakubwa hamna lolote roho mbaya inawasumbua
wakaanga sumu nyie
hebu kwendegeni hukoo
vichefu chefu wakubwaaa
ptuuuuuuuuuuuuuu........
Sio nongwa ila tunamshangaa ALLY kwa kuwaacha WAJINGA FULANI kwa kutumia mgongo wake kwa ajili ya visasi vyao na sio kwamba wanampenda
diamonds are for forever! go diamond go!! i just like this guy nitavote mpaka!
Very well said. I dont understand watu wanaomchukia Diamond, (simchukii Kiba, ni msanii na I love some of his work), hata kama anamashauzi, he has achieved everything through his hard work. He works hard, na halipui kazi zake. For that matter he deserves everything that he gets. Another thing nyie mnaomchukia Diamond mnashindwa kujua ni kwamba the boy is talented and creative. Hata mumtukane, mumpaishe Ali Kiba, mumseme vibaya Zari, mumseme vibaya kisa yeye ni wa Tandale, be rest assured that all that is not going to change what he was born with.
Halafu nimeona watu wanatokwa na mapovu kisa Diamond kasema"hashuki ng'oo". Please people this should tell you that the boy is confident in his ability to survive in the industry. Diamond knows that he doesnt need Wema wala hao wanawake aliotoka nao kitambo au hao rich gang ushuzi, au hao team Kiba na team Wema to remain in the industry. He knows his talent will keep him at the top. Only his hard work will keep him at the top. So hata Kiba azoe tuzo zooote kwa ajili ya ushabiki wa team Wema, we all know when it comes to talent and creativity Diamond wins hands down.
PS: Please people stop mentioning Mr Nice whenever Diamond's success is up for discussion. Mr Nice was a one hit wonder. Mr Nice had no respect for his producers or his management and then it was made worse by the fact that he couldnt come up with anything better after his first album, he did not wisely invest his money, in short Mr Nice didnt have a brain to save his life. So please, all those waiting on Diamond's down fall, dont hold your breath.
By the way, Nigeria has PSquare, Davidom Iyanya etc, do they also have this kind of ushabiki? Just wondering!
wanakera sana hawa sijui washabiki sijui wafuasi wa huyo daimond
kwanza wanafki wanataka kila mtu ampende au kila mtu amkubali kitu ambacho watasubiri sana hakitokuepo kamweeee
kwenye white party hunu wengi tulimsapoti ht sie tusiomkubali
leo usitegemee mie nimpigie kura dai ninuache kibaa au rich mavoko...wazimu huo labda au nmerogwa na mganga kafa...
wema kwao hana akili,hajielewi,malaya yy
kila sifa mbaya anayo wema..
sawa ana mapungufu yake wema km wema ila kwenu nyie huko hamna weakness ht mojaaaa....
muacheni wema she is human being like others stop being too much negativity to her jamani
nimegundua nyie so called wafuasi wa daimond ni wanafki na mna roho mbaya sana nyie
na huyo sijui msanii wenu mnafki tu
ndo maan hamna ht msanii mmoja aliyemuunga mkono
last year alikua wapi kuongea yote haya aliyoyongea
na nimegundua kwanza ni mtu asiyependa challenges ht kidogo
wana roho mbaya sana hawa mazezeta yake
mmmmmxxxxiiiiuuuuuuuuuuuu zao wote wanaompinda wema
Mwambie wema nae aache kujipendekeza kwa diamond kumtumia tumia vi text msgs na kumtaja kila sekunde kwenye show yake. Oh... Na kutokasirikia marafiki kisa wamemsapoti diamond. Akubali matokeo au Ale shubiri itampunguzia machungu ya kumtamani tena diamond na hatamrudia ng'oooo!
Aah dada wewe