MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Popote alipo huyu Mtu ajue kuwa Krav Maga namkubali na Mimi pia natamani Siku moja niwe kama Yeye.
Huyu Mtu Yeye Kazi yake ni Kusoma Kwanza upepo wa Watanzania hasa Kifikra kisha anaanza Kucheza na Akili zetu.
Ana uwezo wa Kutengeneza Jambo au Tukio la Kuibua Hisia Kubwa kisha kwa muda mfupi akatuhamisha haraka Kifikra.
Kwa jinsi huyu Mtu alivyoweza kutuhamisba katika Suala la Sabaya, Bajeti na Tozo hakika nampigia Saluti zote tu.
Na nahisi huyu Mtu Akili zote za Watanzania ameziweka Mfukoni mwake na anaziendesha atakavyo Yeye.
Halafu sijui huyu Mtu ana Dawa gani kwani kuna muda Watanzania tunakuwa na Hasira ila Yeye Kiustadi anazituliza zote.
Tumelilia hapa Katiba akatuletea Mzee Mpili na juzi tumelia Tozo katuletea Haji Manara na Barbara Gonzalez.
Nahisi huyu Mtu kama yupo nchini Tanzania atakuwa analipwa Mshahara mkubwa na ana Sifa pia ya Mazingaombwe.
Nasikia tena kwa Tukio la Kihisia la Mwanasiasa lililopo sasa kati ya leo na jumanne kuna Tukio la Kutusahaulisha.
Natamani mno Mwanasaikolojia Nguli anitajie huu Ugonjwa wa Kushadadia jambo kwa Kasi na Mihemko Mitandaoni Kisha Watu hao hao wanalisahau hilo Jambo au wanaacha Kulijadili na Kudakia mengine Kitaalam unaitwaje na Tiba yake hasa ni nini.
Chuo cha huyu Mtu kipo wapi nikijue?
Huyu Mtu Yeye Kazi yake ni Kusoma Kwanza upepo wa Watanzania hasa Kifikra kisha anaanza Kucheza na Akili zetu.
Ana uwezo wa Kutengeneza Jambo au Tukio la Kuibua Hisia Kubwa kisha kwa muda mfupi akatuhamisha haraka Kifikra.
Kwa jinsi huyu Mtu alivyoweza kutuhamisba katika Suala la Sabaya, Bajeti na Tozo hakika nampigia Saluti zote tu.
Na nahisi huyu Mtu Akili zote za Watanzania ameziweka Mfukoni mwake na anaziendesha atakavyo Yeye.
Halafu sijui huyu Mtu ana Dawa gani kwani kuna muda Watanzania tunakuwa na Hasira ila Yeye Kiustadi anazituliza zote.
Tumelilia hapa Katiba akatuletea Mzee Mpili na juzi tumelia Tozo katuletea Haji Manara na Barbara Gonzalez.
Nahisi huyu Mtu kama yupo nchini Tanzania atakuwa analipwa Mshahara mkubwa na ana Sifa pia ya Mazingaombwe.
Nasikia tena kwa Tukio la Kihisia la Mwanasiasa lililopo sasa kati ya leo na jumanne kuna Tukio la Kutusahaulisha.
Natamani mno Mwanasaikolojia Nguli anitajie huu Ugonjwa wa Kushadadia jambo kwa Kasi na Mihemko Mitandaoni Kisha Watu hao hao wanalisahau hilo Jambo au wanaacha Kulijadili na Kudakia mengine Kitaalam unaitwaje na Tiba yake hasa ni nini.
Chuo cha huyu Mtu kipo wapi nikijue?