Watanzania tunanyanyasika sana na watawala: Umeme ni mfano halisi

Colgate3

JF-Expert Member
Jun 13, 2020
800
1,424
Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
..................
Note: wewe unayesoma na husemi neno likupate jambo
 
Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
Ni wakimbizi na mapandikizi ndio wanatunyanyasa hii nchi
 
Back
Top Bottom