Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Ni ndege kabisa mkuu imesajiliwa Tanzania 5H-
Mafunzo unafanyia wapi,?
Ni ndege kabisa mkuu imesajiliwa Tanzania 5H-
Hahaaaa hili tangazo kwakweli halieleweki, mtoa mada hauko serious kabisa...Mi majuzi nlipanda kwenda mafia na hako kandege cenna basi mvua ikinyesha tunaloa ndani, kindege kinayumbishwa mbaya....kule juu Rubani kaanza kupekua mavitabu, sina hamu, tulikuwa watu 4 tu!!
![]()
Kwanza mwaga CV yako[pamoja na masaa uliyokuwa nayo ikiwemo type rating.vile vile ni ndege ya aina gani utatumia kwa mafunzo hayo?Natoa mafunzo ya urubani kienyeji kwa yeyote anayehitaji gharama ni nafuu na lugha ni kiswahili
Karibuni
Ficha upumbavu wako mkuu...yule pilot sasa nikuambie wakati tunaanza kuruka kadirisha kadogo aliacha wazi, akafunga baadae...na hayo maji yakiingia na matone mengi tu yakivujia pale dirishani, hivi wewe umeshawahi hata kuziona hizo ndege lakini? So nikae hapa nianze kudanganya kwakuwa umekaririshwa kuhusu ndege eeh..eti kuna oxgen maalum, acha uboya!!Acha uongo wa kipumbavu wewe,ndege haiwezi kupitisha maji wakati mkiwa angani wakati wa mvua,then mkabaki salama,imekuwa fuso hiyo? Ndege hata dirisha tu halitakiwi kufunguliwa,kuna hewa ndani ya oxgen maalumu,sasa hayo maji yalipita wapi?
Ficha upumbavu wako mkuu...yule pilot sasa nikuambie wakati tunaanza kuruka kadirisha kadogo aliacha wazi, akafunga baadae...na hayo maji yakiingia na matone mengi tu yakivujia pale dirishani, hivi wewe umeshawahi hata kuziona hizo ndege lakini? So nikae hapa nianze kudanganya kwakuwa umekaririshwa kuhusu ndege eeh..eti kuna oxgen maalum, acha uboya!!
Hapana dada ni cessna 150
au wewe hujafunga?
Acha uongo wa kipumbavu wewe,ndege haiwezi kupitisha maji wakati mkiwa angani wakati wa mvua,then mkabaki salama,imekuwa fuso hiyo? Ndege hata dirisha tu halitakiwi kufunguliwa,kuna hewa ndani ya oxgen maalumu,sasa hayo maji yalipita wapi?
Nadhani wiseboy keshaelewa hilo...Ndege ndogo ndogo kama hizi haziruki umbali wa kufikia kuhitaji pressurization (nenda kagoogle hii). In short kwa umbali wa ndege ndogo kwenda juu hata wakitaka kuruka milango wazi wanaweza. So hiyo habari bado inaweza kuwa kweli kabisa.
Mkuu, mkiwa kule juu ANY object kama vile maji au hewa kiingia ndani ya ndege ni msala. Yaani hamtotoka salamaHahaaaa hili tangazo kwakweli halieleweki, mtoa mada hauko serious kabisa...Mi majuzi nlipanda kwenda mafia na hako kandege cenna basi mvua ikinyesha tunaloa ndani, kindege kinayumbishwa mbaya....kule juu Rubani kaanza kupekua mavitabu, sina hamu, tulikuwa watu 4 tu!!
![]()
Karibu sana mkuu
Hizo control column tutaziita =stelingi
Hicho kibwana chekundu ni master=sie tutakiita ''mkuu''
Natoa mafunzo ya urubani kienyeji kwa yeyote anayehitaji gharama ni nafuu na lugha ni kiswahili
Karibuni
Hahaaaa hili tangazo kwakweli halieleweki, mtoa mada hauko serious kabisa...Mi majuzi nlipanda kwenda mafia na hako kandege cenna basi mvua ikinyesha tunaloa ndani, kindege kinayumbishwa mbaya....kule juu Rubani kaanza kupekua mavitabu, sina hamu, tulikuwa watu 4 tu!!
![]()
Hiyo ndege ni yanani? kama ni yako ulitoa pesa wap? kama ni ya taasisi kwanini unataka kuwafilisi? maana naamini cku mwanafunzi wako akirusha ndege bac atatokomea hewani mazima.