Nafundisha Marubani kienyeji

Nafundisha Marubani kienyeji

Halafu nshakujua..........wewe ni huyo hapo kulia..........
siku nyingine usipande hizo ndege kama una presha ya turbulance utakufwa you know............me I don't like them panzi........
Preta ....za masiku aisee, Chuga hawajambo huko? Mi nilikaa hapo nyuma ya Pilot
 
Last edited by a moderator:
kwanza mwaga cv yako[pamoja na masaa uliyokuwa nayo ikiwemo type rating.vile vile ni ndege ya aina gani utatumia kwa mafunzo hayo?
Halafu kwenye aviation lugha rasmi kwa hapa kwetu ni kiingereza sasa ukifundisha hao wanafaunzi wako kwa lugha ya kishwahili watakuwa wanatumia lugha gani na waongoza ndege wakati wakiwa mafunzoni angani
taarifa pamoja na ufafanuzi unaweza kusaidia kupata wateja
zile za icao hazitabadilika from alfa to zulu na nyinginezo za kitaalamu,sehemu ya maelezo nitatumia kiswahili,chombo ni cessna 150 hii ni kumpeni mwanga halafu akutaka kuendelea unasogea kwenye shule rasmi.mkuu kuhusu cv yangu usijali,mie ni mkongwe toka enzi za east africa airways na kina capt.uriyo
 
zile za icao hazitabadilika from alfa to zulu na nyinginezo za kitaalamu,sehemu ya maelezo nitatumia kiswahili,chombo ni cessna 150 hii ni kumpeni mwanga halafu akutaka kuendelea unasogea kwenye shule rasmi.mkuu kuhusu cv yangu usijali,mie ni mkongwe toka enzi za east africa airways na kina capt.uriyo

Baelezeee
 
hiyo ndege ni yanani? kama ni yako ulitoa pesa wap? Kama ni ya taasisi kwanini unataka kuwafilisi? Maana naamini cku mwanafunzi wako akirusha ndege bac atatokomea hewani mazima.
shehe ndege hii ni gharama nafuu kuliko coaster
sikununua mpya
 
acha uongo wa kipumbavu wewe,ndege haiwezi kupitisha maji wakati mkiwa angani wakati wa mvua,then mkabaki salama,imekuwa fuso hiyo? Ndege hata dirisha tu halitakiwi kufunguliwa,kuna hewa ndani ya oxgen maalumu,sasa hayo maji yalipita wapi?
inapitisha mkuu,tumelenga videge vidoko a.k.a panzi......
 
Na hicho ndo kidirisha kikichovuja maji...ukizoom vizuri utaona matone kwa pale chini...sasa ukiendelea kubisha nitakudharau sana!! wiseboy

96gtnr.jpg
HILO BOMBA LINAITWA STRUT
SIYE KWA KISWAHILI TUTAITA ''KIPAGO''
:A S wink:
 
mkuu, mkiwa kule juu any object kama vile maji au hewa kiingia ndani ya ndege ni msala. Yaani hamtotoka salama
kwa ndege hizi kila kitu chaingia wala hakuna msala,tena dirisha unaweza kufungua na kufunga.
 
mkuu gharama ya mafunzo ni bei gani au dola ngapi, maana tusije tukasumbuana tu baadae
 
kwa ndege hizi kila kitu chaingia wala hakuna msala,tena dirisha unaweza kufungua na kufunga.
Bora usaidie kujibu haya mambo manake hawa watu sijui wanaifikiriaje ndege yaani, hawajiongezi kabisa aisee!! Its shame
 
Bora usaidie kujibu haya mambo manake hawa watu sijui wanaifikiriaje ndege yaani, hawajiongezi kabisa aisee!! Its shame

Aise Sisinga,kweli bora wewe umetoa ushuhuda,wazushi woote kimyaaaa

Maaana wengine wana zile hadithi za utoto kwamba Ndege ikifunguka dirisha lazima watu wote wafe.

Mbona kuna Ndge Zanzibar yenyewe ilifunguka Mlango kabisaaa,na watu walitua.

Hivi vi Cessna,mie nilipanda mara moja naenda Pemba nikasema sirudii teeena.
Kwanza ukishuka kwenye hivi vindege kama dakika kumi hivi hamuelewani,maana unasikia kelele za ndege bado zimo kichwani.Ukilala usiku ndio kabisaaaa unaonaka kama injin ipo kichwani.

Yaani kama sio kuanzi ATR na kuendelea basi hunipandishi,vinatisha saaana angani.
 
zile za icao hazitabadilika from alfa to zulu na nyinginezo za kitaalamu,sehemu ya maelezo nitatumia kiswahili,chombo ni cessna 150 hii ni kumpeni mwanga halafu akutaka kuendelea unasogea kwenye shule rasmi.mkuu kuhusu cv yangu usijali,mie ni mkongwe toka enzi za east africa airways na kina capt.uriyo

Ha ha ha........wisky alpha papa echo november alpha kilo india tango uniform charlie hotel alpha .........charlie echo siera siera november alpha 208.............wafurahi........
 
ha ha ha........wisky alpha papa echo november alpha kilo india tango uniform charlie hotel alpha .........charlie echo siera siera november alpha 208.............wafurahi........
november oscar tanga echo delta mike alpha delta alpha mike
 
Back
Top Bottom