The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,839
- 53,790
Nipe namba yake ili aje kula huku kwangu hata kilo mbili kwa siku kama anaweza kuimaliza.
😀😀😁😁😆😆😆🤣🤣🤣 Kisa kilo ya nyama 🙄🙄🙄😲😲😲😲??,nyie 😲😲 kwel kuwa uyaone siyo magorofa,mambo yenyewe ndio hayaaaa 🤔🤔🤔Tupo town hapa lakini cha ajabu demu anaishi kama tupo itilima. Demu hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki. Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja! Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magum. Ushauri wenu tafadhali.
Dah 😁😁😁😁akikujibu nitagUna miaka mingapi kwanza mdogo wangu???
Hela natafuta bro ila bidada naona ananiangusha kwa matumizi ya kipuuziTafuta hela
haa sawa broMrudishe kwao Itilima,nipo Meatu kikazi nitapita hapo kesho kutwa nimchukue
nshamwambia sana labda kurudia tenaVinaelekezeka boss Kaa nae chini mwambie huku ni daslam sio itilima mfundishe kuishi Kwa bajeti je ungepata mchoyo ungesemaje
🤣🤣🤣Si mnakula wote lakini???
kwangu mambo ya matumizi yanagusa hatima yangu ya bdae siyachukulii kiraisi kiongoz na huu ni mfano mmojawapo tuMahusiano yamekuwa rahisi sana siku hizi,watu hawana kuvumiliana,ndio sababu ndoa nyingi zinakufa kijinga. Jambo rahisi namna hiyo la kuzungumza ndio unataka kumrudisha mtu kwao?
25 fazaUna miaka mingapi kwanza mdogo wangu???
Idea nzuri. Badala ya kupeleka kilo moja we peleka nusu au robo kabisa.Uwe unanunua nusu kilo ili ufungiwe kwenye gazeti la michezo maana unaleta mchezo na nyama wewe.
haa sawaAmrudishe kwao hapo Itilima,nipo Meatu nitapitia hapo kesho kutwa wakati narudi zangu Tanganyika
😂😂 Naunga mkono hojaKula nyama nyamaza
Nusu kilo ya nyama inakuwazisha hivi..!! Maana ingekuwa nusu kilo usingelalama.Tupo town hapa lakini cha ajabu demu anaishi kama tupo itilima. Demu hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki. Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja! Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magum. Ushauri wenu tafadhali.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣level za kuweka kwenye friji vinywaji bado.