Nafikiria kubadili aina ya marafiki nilionao.

Nafikiria kubadili aina ya marafiki nilionao.

Master hao rafiki wa Vitu vyako.
Hutakiwi kufundishwa somo moja mara mbili na watu tofauti.
Ni mara moja tu.... Filter kali mita mia mbele.
 
Usiwalaumu.

Kikawaida shida zinakujaga ili kukuonyesha uhalisia wa maisha, kukufundisha, na kukumbusha kuwa maisha ni wewe pekee yako.

Siku ukiwa na shida mara nyingi mifumo yako yako yote ina paralyze mpaka unaowategemea nao pesa wanakuwa hawana. Au hawana msaada.

Kwa kulifahamu hili. Unatakiwa u relax.
Mara nyingi shida ikitokea msaada unakuja kusiko tarajiwa. Hiyo ni kanuni. Ndio maana unatakiwa uwe mwema. Kwa sababu Wema unalipa hasa wakati wa matatizo na shida.

Unaposaidia watu(ikiwemo rafiki zako) ili wakusaidie huo sio wema bali ni msaada wa uwekezaji.
Na wengi hupata malipo ya hasara
 
Mimi hapana kwakweli sasa unashinda na njaa alafu ukija kuumwa madonda ya tumbo unaingia tena gharama kujitibu huo ni uzwazwa..
Mimi kwenye swala la afya ni la lwanza na nachukua kila precautions maana kujitibu ni gharama sana na kunafilisi sio mchezo.
kuna raia wanapiga deshi ata siku mbili na sio kwamba hawana ela no

Ni ile mtu anajiskia raha kuona hela zake wala hataki kutumia.

Halafu anajifanya aise buddy sina appetite kabisa yani🤣
 
Utabadili sana mkuu lakini ukweli ni kuwa kama hauna vikundi vya kusaidiana na kukopeshana ni ngumu mtu binafsi kukukopea hivi sasa linapokuja suala la shida ya pesa watu binafsi ni wagumu sana kukukopea
 
Mko salama?
Toka jumamosi nilikua na shida kama ya laki 5 hivi,kila rafiki niliyejaribu kumpigia aniazime anasema hana.mimi nikiwa nazo huwa ni mwepesi kutoa ila siku nikikwama sina msaada kutoka kwenye cycle yangu.
Nafikiria kubadili aina ya watu wanaonizunguka kabisa.
Usiwaze mara mbili fanya sasa
 
Usiwalaumu.

Kikawaida shida zinakujaga ili kukuonyesha uhalisia wa maisha, kukufundisha, na kukumbusha kuwa maisha ni wewe pekee yako.

Siku ukiwa na shida mara nyingi mifumo yako yako yote ina paralyze mpaka unaowategemea nao pesa wanakuwa hawana. Au hawana msaada.

Kwa kulifahamu hili. Unatakiwa u relax.
Mara nyingi shida ikitokea msaada unakuja kusiko tarajiwa. Hiyo ni kanuni. Ndio maana unatakiwa uwe mwema. Kwa sababu Wema unalipa hasa wakati wa matatizo na shida.

Unaposaidia watu(ikiwemo rafiki zako) ili wakusaidie huo sio wema bali ni msaada wa uwekezaji.
Na wengi hupata malipo ya hasara

Wema usio uwekezaji ni wa kuwafanyia wasiojiweza. Ila hawa wanaojiweza lazma uwe na faida kwa pande zote mbili ili kuepuka kutumika kama ambavyo Tang'ana ametumika.

Mimi ni selfless by nature, sijifichi ndivyo nilivyoumbwa ila maisha yalinifundisha kwa njia ngumu kabisa kuwa binadamu hawana kumbukumbu. Unaweza kujitoa kwa kujiumiza kwa watu wengi ila shida ikikufikia, utasaidiwa na strangers au watu ambao hukuwatarajia.

Naelewa kila mtu kwenye maisha ana nafasi yake ila watu wanaojitoa kwako, sio wa kuwaweka nje ya priorities zako. Sio kwa sababu unategemea malipo ila kwa sababu unastahili kuzungukwa na watu wenye moyo mzuri , sio kwa ajili yako tu ila kwa familia yako pia maana marafiki zako ndio future connection ya watoto wako. Ukijaza selfish bastards, huwezi kujua watafanya nini ukiondoka
 
Wema usio uwekezaji ni wa kuwafanyia wasiojiweza. Ila hawa wanaojiweza lazma uwe na faida kwa pande zote mbili ili kuepuka kutumika kama ambavyo Tang'ana ametumika.

Mimi ni selfless by nature, sijifichi ndivyo nilivyoumbwa ila maisha yalinifundisha kwa njia ngumu kabisa kuwa binadamu hawana kumbukumbu. Unaweza kujitoa kwa kujiumiza kwa watu wengi ila shida ikikufikia, utasaidiwa na strangers au watu ambao hukuwatarajia.

Naelewa kila mtu kwenye maisha ana nafasi yake ila watu wanaojitoa kwako, sio wa kuwaweka nje ya priorities zako. Sio kwa sababu unategemea malipo ila kwa sababu unastahili kuzungukwa na watu wenye moyo mzuri , sio kwa ajili yako tu ila kwa familia yako pia maana marafiki zako ndio future connection ya watoto wako. Ukijaza selfish bastards, huwezi kujua watafanya nini ukiondoka

Uko sahihi.
Unazungumzia Wema kama biashara ambao kimsingi sio Wema. Bali ni uwekezaji.
Wema kikawaida haunaga na hauhitaji malipo hasa malipo ya pesa. Mtu anapotoa fadhila hiyo ni shukrani.

Kama ulivyosema hapo.

Familia ndio msingi mkuu na connection ya kwanza ya kutendeneana hayo mambo ya kulipana kwa Wema. Biashara ya Wema.

Mpe mdogo wako. Shemeji yako. Mkwe wako, Baba mdogo na ndugu zako.
Lakini hawa marafiki wa siku hizi mnakutana juu kwa juu ukubwani utawakosea tuu bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom