Nafikiria kubadili aina ya marafiki nilionao.

Nafikiria kubadili aina ya marafiki nilionao.

Mko salama?
Toka jumamosi nilikua na shida kama ya laki 5 hivi,kila rafiki niliyejaribu kumpigia aniazime anasema hana.mimi nikiwa nazo huwa ni mwepesi kutoa ila siku nikikwama sina msaada kutoka kwenye cycle yangu.
Nafikiria kubadili aina ya watu wanaonizunguka kabisa.
Huenda hawana Kweli, Mimi Nina jamaa Yangu mmoja TUu,huyu akisema hana,hana Kweli, wengine ni uzushi tuu!
 
kila mtu analinda kile alichonacho shiling ikishaingia kutoka ni mtiti balaa

Hivi unajua kuna watu wako radhi kulala au kushinda njaa ilimradi tu wasitumie hela zao yan wazione tu ndio raha yao😆
Kama mama Yangu,hata ukimpa akushikie, kwenda kuchukua uwe na maelezo ya kutosha!
 
sababu umesema ni rafiki zako manake wana kitu, sasa badala ya kuwabadilisha maana binadamu ni walewale kwa nini usije na system flani baina yenu ili muwe na utaratifu mzuri wa kusaidiana mkiwa na matatizo?
 
Mko salama?
Toka jumamosi nilikua na shida kama ya laki 5 hivi,kila rafiki niliyejaribu kumpigia aniazime anasema hana.mimi nikiwa nazo huwa ni mwepesi kutoa ila siku nikikwama sina msaada kutoka kwenye cycle yangu.
Nafikiria kubadili aina ya watu wanaonizunguka kabisa.
Hata wewe huna hio 500k kwa maana hio mmoja wa rafiki zako angekuomba hio hela usingeweza kumpa.
Kuna huduma za kifedha kwenye mitandao ya simu,bank,vikoba huko kote hukuweza kupata hio 500k? Jitazame kabla hujabadili hao wenzio.
 
kuna raia wanapiga deshi ata siku mbili na sio kwamba hawana ela no

Ni ile mtu anajiskia raha kuona hela zake wala hataki kutumia.

Halafu anajifanya aise buddy sina appetite kabisa yani🤣
Kwamba mtu akae siku mbili bila kula na hela anazo ni zake ili aziangalie tu?! Mkuu hebu tupumzishe.
 
Mko salama?
Toka jumamosi nilikua na shida kama ya laki 5 hivi,kila rafiki niliyejaribu kumpigia aniazime anasema hana.mimi nikiwa nazo huwa ni mwepesi kutoa ila siku nikikwama sina msaada kutoka kwenye cycle yangu.
Nafikiria kubadili aina ya watu wanaonizunguka kabisa.
Ata utakao watafuta watakua kama hao ,
huo uaminifu Ni zawadi uliyo nayo wewe utumie kwenye kupanga budget zako vizuri ili ikidhi hitaji lako la laki tano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom