Nafikaje udsm(main campus)

Nafikaje udsm(main campus)

Umemshauri Vizuri Sana Kutoka T/Ngoma Mpaka UDSM.

Mimi Namuongezea Kwa Sehemu Ulioiacha.

• Kutoka TUNDUMA Mpaka UBUNGO (DAR) utafika SAA MBILI usiku au Zaidi.

• Ukishafika UBUNGO utaona Daraja (Flyover) watu Wanapanda Juu Kwahiyo Nawewe Panda Juu halafu Shukia Kwa Ndani Utakata Tiketi Ya Mwendo Kasi (Basi) Kwa Shilingi 650/=.. Lakini Kwa Muda Huwo Mabasi Yanajaa Nyomi Kwahiyo Likisimama tu Basi Kimbilia Uingie Hivyohivyo.

• Ukiwa Ndani Ya Mwendo Kasi Ukiangalia Kwa Dereva Kule Juu ya WindScreen Basi linasoma Vituo Vyote Linavyosimama.
Wewe Hakikisha Unashuka Kituo Cha Mwisho Kabisa Ambacho Basi Litasoma Final Destination Ferri Terminal.

• Ukifika Ferri Shuka Utaona Watu Wanakoelekea Kutoka Hapo Stand, Then Elekea Upande Wa Pwani Utaona Bango Kubwa Hivi then Mbele Ya Hilo Bango ndiyo Utaelekea Kukata Tiketi Ya Kivuko Kwa Sh. 200/= Na Kuingia Jengo la Abiria.
Note: Tiketi Za Kivuko Kama Hujawahi Kuzitumia Zinaweza Zikakuzingua Wakati Wakuingia Kwenye Jengo la Abiria Kwani Zinasoma Kielectronic. Kwahiyo Zikikuzingua Basi Angalia Upande Wa Kushotoni Utakuta Kuna Uwazi Wewe Pita tu Kwanye Huo Uwazi, Haina Shida Wala Usijali.

• Lango la Jengo la Kusubiria Abiria Likifunguliwa tu Utaona Watu Wanakimbilia Kwenye Kivuko, Lakini Wewe Hata Usijilazimishe Kukimbilia Bali nenda Taratibu tu Mpaka Ndani Ya Kivuko.

• Kivuko Kikishafika Upande Wa Pili Abiria Nyote Mutashuka...
Ukishashuka Fuata Abiria Wenzio Wanakoelekea Mpaka Nje Ya Geti Utakutia Njia Panda; Njia Moja imeelekea Kushoto Na Nyengine imeelekea Kulia. Hakikisha Unaiacha Njia Ya Kushoto Usiifuate, Na hapo Fuata Njia Ya Kulia.

Hiyo Njia Ya Kulia ifuate Moja Kwa Moja Bila Ya Kupinda Popote baada Ya Masafa Kama Ya Mita 150m hivi itakupeleka Mpaka Stand Kuu ya Kigamboni.
Njiani Kuelekea Stand Na Hapo Stand Wenyewe Muna Biashara Kibao za Vyakula, Vinywaji na Matunda Kama Una Ubao Basi Unaweza Ukajipendelea tu.

Hapo Stand Tafuta Gari iliyoandikwa T/NGOMA - FERRI. Ukishapanda Gari ya Abiria Mpigie Simu Mwenyeji Wako Ushuke Gari Kituo Gani then Yeye atakusubiri Hapo.

Note: Hakikisha Usije Ukapanda Gari ya KIBADA - FERRI utaishia Njiani Kibada Stand.
Mkuu pale ubungo ungemuelekeza vzur kuhusu mwendo kasi, anawezaingia kwenye gari asilojua then pale faya ngoma ikakunja kulia.
Sasa watu wa tunduma sisi tunakuaga wabishi sana anaweza anza kubishana pale gerezani akitaka gari limpeleke mpaka feri.
Au la anaweza dai wamrudishie 350 maana safari haijaisha.
Ama anawezashuka gerezani akaanza kuilaumu serikali kwamba "yani jana tuu kivuko kilikuwepo hapa, leo hii me nafika kivuko kimetolewa".
 
Mkuu pale ubungo ungemuelekeza vzur kuhusu mwendo kasi, anawezaingia kwenye gari asilojua then pale faya ngoma ikakunja kulia.
Sasa watu wa tunduma sisi tunakuaga wabishi sana anaweza anza kubishana pale gerezani akitaka gari limpeleke mpaka feri.
Au la anaweza dai wamrudishie 350 maana safari haijaisha.
Ama anawezashuka gerezani akaanza kuilaumu serikali kwamba "yani jana tuu kivuko kilikuwepo hapa, leo hii me nafika kivuko kimetolewa".

Hatuwezi Kuendelea Tena Na Huu Uzi Kumfahamisha Chochote Kwasababu Yeye Mleta Uzi Haoneshi Kuleta Mrejesho Wowote hapa ili tujue Yuko Katika Situation gani Na Tumsaidie Vipi.

So, Kwa Upande Wangu Mjadala Nimeshafunga.
 
me nadhan kama ww ni mgen kabisa wa hii dar ni bora huyu mwenyeji wako afanye kukupeleka tu hadi apo UDSM
 
Mbo
Atoe maelezo mazuri anaweza kusaidiwa, kama unaenda kujoin chuo kunakuwa mzunguko ile wiki ya kwanza, hustle za Tuangoma mpaka UDSM kwa mgeni hili jiji ni changamoto.

Otherwise kuwe na mtu wa kumpokea ampeleke Tuangoma then UDSM, walau mara moja tu.
Vyuo vinafunguliwa November
 
Hatuwezi Kuendelea Tena Na Huu Uzi Kumfahamisha Chochote Kwasababu Yeye Mleta Uzi Haoneshi Kuleta Mrejesho Wowote hapa ili tujue Yuko Katika Situation gani Na Tumsaidie Vipi.

So, Kwa Upande Wangu Mjadala Nimeshafunga.

Watoa ushauri tunajipendekeza.
 
dsm siyo rahisi hivyo kama inavyohadithiwa humu,hata kama ni mjanja huko mikoan kwa hili jiji lazima upole na adabu vitamalaki.Kama kuna nyumba ya wagen karibu na ubungo ni vema akaelekezwa then usiku akishuka stend achukue bajaj apelekwe.
Changamoto ya kwanza itakayomkabili mgeni ni kutoka ndani ya ubungo stendi
 
Fika Ubungo shuka hapo rudi kwenye mataa,Fuata barabara ya kulia kwako (mwendo kama mita 800,_vuka upande wa pili utaona barabara inapandisha Mlimani.) Ukiwa hapo utaona Magorofa yapo kwenye mitimiti.Fuata hiyo barabara utavuka geti nendaaa utaone CoEt,nendaaaa utaona CoAF nendaaaaa utaona UTAWALA.Utakuwa umefika UDSM Main Campus.
 
Back
Top Bottom