Ni jinsi utakavyopatana na huyo mwenye bajaji, lakini 5,000/= ndiyo fair price. Kama wewe ni mwanafunzi unaenda kuanza masomo pale inabidi ufanye utaratibu wa kutafuta pa kulala kwa siku hiyo ili kesho yake ukaanze mchakato wa kupewa pa kuishi
Kweli kabisa wageni tunapata shida..ticha uje unipokeage siku nkija darSiku hizi tochi barabarani hazina guarantee, anaweza akafika saa tano na nusu na mwendo kasi haifanyi kazi.
Hata akifika mapema, logistics za mwendo kasi ni lazima aulize kwa mtu, Ubungo unamuliza nani?
Maana pale kuna wazee wa fursa (wanaosubiri watu kutoka mikoani wawalize).
Aisee pale ni pabaya sana kwa mgeni.
Mkuu bora azunguke tuu, umpitishe tena kariakoo si balaa hilo ngoja atulie kwanzaWamechangia vizuri wachangiaji ila nadhani hawafahamu Tua ngoma ipo eneo gani. Tua ngoma ipo mara tu baada ya kupita kongowe hivyo kupitia feri ni kuzunguka sana. Kuna mabasi ya moja kwa moja kutoka Tuangoma hadi kariakoo nadhani hiyo ndio itakuwa njia nafuu na fupi, akifika Kariakoo sasa hapo atapanda Mwendo kasi na kufuata maelekezo kama yalivyotolewa hapo juu ya kushuka Ubungo Maji na Kupanda boda boda kushuka Utawala
Kweli kabisa wageni tunapata shida..ticha uje unipokeage siku nkija dar
SawaUnijulishe siku moja kabla ili nikuandalie chumba chako kabisa.
Sawa
Unitembeze na sehemu nzur zoteUtataka nikuandalie na nini tena?
Unitembeze na sehemu nzur zote
Mkuu kama hutojali njoo PM nikupe ABC ya pale, kuna ndugu yangu anasoma hapo anatokea home mbagalaNaomben maelekezo ya kufika udsm natokea tunduma.
Ukishafika Ubungo, ushafika Udsm. Udizim ipo 'hapo hapo' Ubungo.
Panda Shuttle hapo Mabibo Hostel zitakushushia Utawala.
Ukishuka, vuka barabara nenda zako upande wa pili, na hapo utakuwa umefika UDSM Main Campus, recently, panajulikana kama Mwalimu Nyerere Mlimani Campus
Hahaha asee Kop umenichekesha sana [emoji23] [emoji23]Huo Ujanja Wake Wote Wa Tunduma Hawezi Kuufanya Dar tena Hata Kule Tegeta Hawezi Kuufanya achiliambali Ubungo.
Tena Kibaya Zaidi Ole Wake Akifika Ubungo Aibiwe Simu! Hapo Nakuhakikishia Ataondoka na Boxer tu pamoja na Korodani Zake.
Siumpe ushauri hapa kwa faida ya wengine. Kwani unafikiri ni yeye tu anayefaidika na huu uzi?Mkuu kama hutojali njoo PM nikupe ABC ya pale, kuna ndugu yangu anasoma hapo anatokea home mbagala
Duuh[emoji15] [emoji15]Hahaha, siku hizi mwenyewe nimezeeka, maeneo siyajui kabisa.
Siku nikitoka nashangaa shangaa tu, nabaki huku kijijini tu mara nyingi.
Alale ndani ya basi. Kukikucha anakanyaga tu hapo mpaka UDSM!Munayosema Ni Sawa Kwa Mimi Na Nyinyi!
Lakini Huyu Mwenzenu Anatokea TUNDUMA kwahiyo DAR atafika SAA 2 au 3 usiku Kwani atafika MLANDIZI saa 11 jioni, Lakini Kutoka Hapo MANDIZI Foleni iliyopo Basi KIMARA atafika Saa 2 usiku, Kutoka Kimara Mpaka Ubungo Kulingana Na Foleni anaweza Fika Saa 2½ au 3 usiku.
Sasa Muda huo Atafikaje UDS?
Ukiwa Ubungo kufika main Campus ni Easy tu Ghorofa za Udsm zinaonekana tuPa kufikia nmeshapapata kuna ndugu atanipokea ye anakaa toangoma.
Sasa ndo natak kujua kwamb nkishakuwa hapo toangoma labda napand magar ya wap mpk wapi ili nifike huko main campus
Apande Mbagala Simu2000 then Simu 2000 to UdsmKhaaaa toangoma palefu nahisi iyo ipo kongwe mbagara sasa unapanda gar toka kongowe mpka mbagara then mbagara panda za mbgara makumbusho shuka makumbusho chukua za makumbusho mbenzi au gongoramboto shuka magufuli hostel
Alale ndani ya basi. Kukikucha anakanyaga tu hapo mpaka UDSM!
Sasa kama huna pa kwenda usiku huo utaenda wapi?Mimi Ninaposafiri Kikazi Kwenda Mikoani Na Kurudi basi Hata Kama Nitaingia Ubungo Saa NNE Usiku Basi Huwa Ninasepa tu kitaa.
Hili la Kulala Ubungo Ndani Ya Basi Sijawahi Kulisikia Je Wanaruhusu Mkuu?