Poa poa uskondeUlete mrejesho mkuu
Nipe information mkuuMnadanganyana tu, Nafasi za JKT zinaanza mwezi wa tatu mwishoni mpaka wa nne, then kati ya mwezi wa tano na wasita mnapelekwa kwata
Usijali mkuu, nitakujulisha, usidanganywe na mtu, nafasi zipo soonNipe information mkuu
TafurahiUsijali mkuu, nitakujulisha, usidanganywe na mtu, nafasi zipo soon
Walioenda wana pass out mwezi wa NNE....so let's be ready kuanzia huo mwezi wa NNE...Ngoja walioenda wamalize 6months zao
Kiongozi acha utani bwana,zipo wapi?Zimetoka hizi hapa
Kwahio unashaur afanyaje ili aingie jeahJamaa yangu tulipiga naye mujibu wa sheria tukamaliza ila yeye alipenda kurudi jkt akaomba nafasi za kujitolea akapata akapangiwa bulombora ile kufika wakakuta alishapita jkt wakamrudisha wakamwambia jkt haipigwi mara mbili
Bado. Ila na wewe kwa uzuri wote huo unataka kwenda jkt ?Jamani naomba kuulza nafasi za jkt 2017 zimetokaaa?
Ndio ili baadae nijiunge na jwtz uzuri veeepe kule hamna cha uzuri jombaBado. Ila na wewe kwa uzuri wote huo unataka kwenda jkt ?
Ni kweli kule uzuri hakuna ila wazuri wanapata shida ndugu yangu ila lisikupe taabu hilo maana kikubwa ni akili yako tu Angel.Ndio ili baadae nijiunge na jwtz uzuri veeepe kule hamna cha uzuri jomba
Why jwtz? Kwani polisi,uhamiaji,magereza,usalama wa taifa,fire,tanapa wakija kukuchukua huwezi kwenda? In short huu ni utawala mpya wa rais na General wa jeshi ni mpya so bado hazijatangazwa maana kila mtu anakuja na sylabus za uongozi wake.Zikitoka nitakustua maana kuna watu bado mpaka now wanaendelea na kozi so vigumu kuchukua wengine huku makambini kuna kozi zinaendelea.Ndio ili baadae nijiunge na jwtz uzuri veeepe kule hamna cha uzuri jomba