Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Why jwtz? Kwani polisi,uhamiaji,magereza,usalama wa taifa,fire,tanapa wakija kukuchukua huwezi kwenda? In short huu ni utawala mpya wa rais na General wa jeshi ni mpya so bado hazijatangazwa maana kila mtu anakuja na sylabus za uongozi wake.Zikitoka nitakustua maana kuna watu bado mpaka now wanaendelea na kozi so vigumu kuchukua wengine huku makambini kuna kozi zinaendelea.
Ntashukury sana usisahau bx
 
mamy fanya tu mambo mengine mwaka huu....mgumu...sana hasa kwa wenye malengo ya kutafuta hizo nafasi za kiserikali...jishughurishe ata na kilimo, biashara...ama fani nyingineyo yoyote lakini kungoja hizi nafasi za bahati nasibu ni kujipotezea muda...
 
Binti, nafasi zaweza kutoka mwezi wa 4-6 na baada ya hapo ni hatua za udahili kama umekidhi vigezo.

Kisha taratibu za kupangiwa kambi zitafata baadae. Usijali ndugu, utasikia tu taarifa.

Uwe na tabia ya kutembelea Ofisi ya Mkuu wako wa Mkoa au Wilaya naye ataku-update juu ya maswala hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom