Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Aah sawa kiongz wangu na vp zile tetes kwamba et ukiambatanisha na vyet vya chuo wanakukata hawakuchagui vp kuna ukwel wowte hapo mkuu
Izo ni taarifa tu UA tunamezeshana ila kaka kila level ya elimu ina idadi kamili inayoitajika kwaio kama ni watu 20 wa level ya chuo ikiwa bahati yako utachukuliwa ila tu kwa level ya nyinyi watu wenye elimu ya chuo UA ni idadi ndogo sana ambayo UA wanachukua labda icho ndo wanachoshndwa watu kutofautisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila guys acheni kuamini kila kinachosemwa pasipokua na ushahidi wowote aya mambo sikuizi yamekua yanakuja kwa kushtukiza tu na kwa siri pia mbaka pale kila kiti kinapokua kimekamilika ndipo taarifa rasmi inatolewa izo ni ronja tu hata mwaka Jana kuna wengine walisema wamembiwa na baba zao mabligedia kua waliofanya usaili awatokwenda kozi na usaili utarudiwa lakini kipo wapi mwez wa 12 watu wameenda kozi na sasa wanafuraia maisha ya uservice tu kwaio kikubwa kuomba mungu mambo yaje mapema na kumbuka taarifa UA inatolewa kwenye vyombo vya habari kwaio itafahamika tu sio jambo la siri kwamba watajua wachache wengine wasijue apana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya Sasa... Hatiimaye Milango imefungukaaaaaa.....
upload_2017-9-1_10-24-42.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom