Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Msiwaze wazee mzigo utatema siku yeyote cha msingi ni kuwa na subra...!!
 
fun
Huenda kuna sabab za wao kuchelewesha ndo mana cha msingi nikusikilizia
fu nunu ni kwamba kuna OP nne jkt hazijapata ajira labda mpaka ibaki OP moja ndiyo watoe tena, kwahyo hapo labda mwakani miezi ya mwisho
 
JKT haitoi ajira jamani tufungue akili zetu.... nafasi zitatoka tuu tuache kufanyana kua ni lazima wote waliopo JKT waajiriwe na vyombo vya ulinzi & usalama, tuweke akilini kwamba mikataba yao inaeleza wazi wazi kua baada ya mkataba kuisha ni lazima kijana arudi nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichikigundua ni kwamba huu Uzi umehseni Darasa LA saba na form four. Endeleeni kuchokoza chokoza mwisho watatoa hizo nafasi
 
fun

fu nunu ni kwamba kuna OP nne jkt hazijapata ajLA,a labda mpaka ibaki OP moja ndiyo watoe tena, kwahyo hapo labda mwakani miezi ya mwisho
Labda labda nyingi, ina maana hauna uhakika na unenalo, ni kweli hauna uhakika kwa kusema kwamba ni lazima op ziajiriwe wakat jkt haiajir ila inatoa mafunzo tu kisha watu wanasikilizia ajira ndani ya miaka miwili ya mkataba na kama hukupata ajira basi warud kwenu kwan si lazima muajiriwe wote.
 
Labda labda nyingi, ina maana hauna uhakika na unenalo, ni kweli hauna uhakika kwa kusema kwamba ni lazima op ziajiriwe wakat jkt haiajir ila inatoa mafunzo tu kisha watu wanasikilizia ajira ndani ya miaka miwili ya mkataba na kama hukupata ajira basi warud kwenu kwan si lazima muajiriwe wote.
Sikuizi ukienda JKT haurudi mtaani lazima uende ajira yoyote labda utake mwenyewe na siyo kwenda kule kutafuta ajira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom