Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 221
- 139
Kikawaida ndugu unaweza ona ya kawaida kwa mtazamo wako lakini Luna baadhi ya maswali yamevuka mipaka lakini ikiwa hujui utaona ni ya kawaida ndio maana baadhi ya vitu nikamuelekeza Libya sehemu husika ya kujibiwa maswali yake kwa ufasaha humu tayari mmeshaambizana Luna form zinauzwa ndio apate nafasi sasa mambo kama haya ndugu hayafai hata kidogo sawa kiongozi, Mimi sasa hv nikwambie unipeleke sehemu hiyo inayouzwa form utanipeleka? Jadilini masuala ya nafasi kutoka lini na si form zinauzwa wapi? Na si kila aliye humu mtandaoni basi ana ronja ya uhakika, na msitafute shida na mateso yasiyokuwa na lazima kwa baadhi ya mambo, jeshi ni rafiki wa RAIA tii sheria utaona mambo yanavyonyooka, utafanikiwa ukienda kiutaratibu.Hakika sikuafiki kabisa! Kiukweli maswali yanayoulizwa ni ya kawaida ambapo kila mtu inapaswa ajue. Na tena ni halali ya kila mwananchi. Wengine hawajafikia malengo kwa kosa la kutokujua. Kwa kutumia mitandao tujulishane yale tusioyajua ili tuyajue.